Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mapinduzi ya Kiislamu

  • Rais: Taifa la Iran limesimama kidete katika misingi ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Rais: Taifa la Iran limesimama kidete katika misingi ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 10, 2022 12:08

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao na mabalozi wa nchi za nje hapa mjini Tehran kwa mnasaba wa kukumbuka ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Taifa la Iran limesimama imara katika misingi ya itikadi za mapinduzi yake."

  • Sheikh Ibrahim Zakzaky: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni ya Waislamu wote ulimwenguni

    Sheikh Ibrahim Zakzaky: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni ya Waislamu wote ulimwenguni

    Feb 07, 2022 12:51

    Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran hayaishii tu katika mipaka ya Iran na wananchi wa taifa hili bali ni mali ya Waislamu wote ulimwenguni.

  • Rouhani: Taifa la Iran lilisambaratisha udikteta na ubeberu

    Rouhani: Taifa la Iran lilisambaratisha udikteta na ubeberu

    Jan 30, 2021 12:20

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Taifa la Iran kwa mapambanao na muqawama limeweza kusambaratisha ubeberu."

  • Iran yalalamikia taarifa ya Ufaransa ya kumuunga mkono mhalifu aliyenyongwa

    Iran yalalamikia taarifa ya Ufaransa ya kumuunga mkono mhalifu aliyenyongwa

    Dec 14, 2020 04:50

    Iran imemuita balozi wa Ufaransa mjini Tehran Philippe Thiebaud kulalamikia taarifa ya wizara ya mambo ya nje ya nchi hiyo ya Ulaya ambayo imelaani kutekelezwa hukumu ya kunyongwa Ruhullah Zam, aliyepatikana na hatia ya kusimamia mtandao uliokuwa ukiendesha propaganda chafu dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Brigedia Jenerali Dehqan: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalitoa pigo la kihistoria dhidi ya Marekani

    Brigedia Jenerali Dehqan: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalitoa pigo la kihistoria dhidi ya Marekani

    Sep 24, 2020 12:03

    Mshauri wa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Iran katika masuala ya sekta ya viwanda vya ulinzi amesema kuwa, ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalikuwa pigo kubwa zaidi la kihistoria dhidi ya Marekani na yaliinasua nchi hii kutoka katika makucha ya ukoloni wa Magharibi.

  • Kiongozi Muadhamu atilia mkazo udharura wa kujifunza fikra za hayati Imam Khomeini

    Kiongozi Muadhamu atilia mkazo udharura wa kujifunza fikra za hayati Imam Khomeini

    Jun 04, 2020 07:39

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema jana alihutubia taifa kwa njia ya televisheni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyoaga dunia hayati Imam Ruhullah Khomeini, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akisema kuwa kutaka mabadiliko, kuwa na ari ya kufanya mabadiliko na kuyafanya mageuzi ni miongoni mwa sifa muhimu za hayati Imam Khomeini.

  • Sheikh Isa Qassim: Umma wa Kiislamu una wajibu wa kulinda Mapinduzi ya Kiislamu

    Sheikh Isa Qassim: Umma wa Kiislamu una wajibu wa kulinda Mapinduzi ya Kiislamu

    Jun 04, 2020 07:38

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Bahrain amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini (MA) yanafanana na ya Mitume na kusisitiza kwamba umma wote wa Kiislamu una wajibu wa kuyalinda mapinduzi hayo.

  • Rouhani: Iran inaendelea kustawi licha ya njama za maadui

    Rouhani: Iran inaendelea kustawi licha ya njama za maadui

    Feb 11, 2020 12:18

    Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kustawi na kuimarika licha ya uhasama na njama za maadui hususan Marekani, na kwamba 'Mapinduzi ya Kiislamu' lilikuwa chaguo la taifa zima la Iran.

  • Taifa la Iran laadhimisha miaka 41 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Taifa la Iran laadhimisha miaka 41 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 11, 2020 12:09

    Mamilioni ya wananchi wa Iran wamejitokeza mabarabarani katika miji na vijiji vya nchi hii kushiriki matembezi ya Bahman 22, kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 41 wa Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Hakim: Mapinduzi ya Kiislamu yaliibua mlingano mpya katika eneo

    Hakim: Mapinduzi ya Kiislamu yaliibua mlingano mpya katika eneo

    Feb 11, 2020 04:45

    Mwenyekiti wa Mrengo wa Kitaifa wa Hikmat nchini Iraq amesema, Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini MA yameweza kuvunja njama zote za maadui dhidi ya Iran katika kipindi cha miaka 40 iliyopita sambamba na kuibua mlingano mpya katika eneo la Asia Magharibi na dunia nzima kwa ujumla.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS