-
Jeshi la Marekani lilificha mauaji ya watoto na wanawake 64 Syria
Nov 14, 2021 04:37Imebainika kuwa, jeshi vamizi la Marekani lilificha kwa makusudi taarifa za kufanyika mashambulizi mawili ya anga yaliyoua makumi ya watoto wadogo na wanawake wa Syria mwaka 2019.
-
CBS: Shambulizi la Iran dhidi ya kambi ya Marekani ya Ainul Asad ni moja kati ya mashambulizi makubwa zaidi katika historia
Nov 12, 2021 04:24Tovuti ya mtandao wa habari wa Marekani CBS imefichua mapya yaliyokuwa yamefichwa na serikali ya Marekani kuhusu shambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya kambi ya jeshi la nchi hiyo ya Ainul Asad nchini Iraq.
-
Vikwazo vya Upande mmoja, kizuizi cha malengo ya ustawi endelevu
Nov 12, 2021 00:10Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, vikwazo vya upande mmoja vya Marekani vinazizuia nchi mbalimbali kupata vyanzo vya fedha na ustawi unaohitajika kwa ajili ya kutimiza malengo ya ustawi endelevu.
-
Iran yaiachilia huru meli iliyokuwa imebeba mafuta ya kuibwa
Nov 11, 2021 01:30Meli ya mafuta iliyokuwa inashikiliwa Iran kutokana na kuhusika katika wizi wa mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imeachiliwa kufuatia hukumu ya mahakama na baada ya mafuta hayo kurejeshwa.
-
Iran: Marekani iwajibishwe kwa matatizo yanaoikumba Afghanistan
Nov 10, 2021 10:56Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani na waitifaki wake wanapaswa kubebeshwa dhima kutokana na migogoro na matatizo mengine yanayoshuhudiwa hii leo nchini Afghanistan.
-
Mwanahabari wa Marekani ashitakiwa kwa ugaidi Myanmar
Nov 10, 2021 10:53Mwandishi wa habari wa Marekani ambaye anazuiliwa na vyombo vya usalama nchini Myanmar kwa miezi kadhaa sasa amefunguliwa mashitaka ya ugaidi na uhaini, na yumkini akahukumiwa kifungo cha maisha jela.
-
Madai ya Marekani ya kuwa na wasiwasi kuhusu mashambulio ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Afghanistan
Nov 09, 2021 23:08Thomas West, mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala Afghanistan amedai kuwa, Washington ina wasiwasi na suala la kuongezeka hujuma na mashambulio ya makundi yenye mfungamano na kundi la Daesh na uwepo wenye kuendelea wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda.
-
Khatibzadeh: Kwa kuondoka Marekani nchini Iraq, amani na usalama wa nchi hiyo utapatikana
Nov 08, 2021 07:55Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, endapo Marekani itaondoka nchini Iraq, amani na uthabiti wa nchi hiyo ya Kiarabu utapatikana.
-
Madai ya White House: Tutarejea katika mapatano ya JCPOA iwapo Iran itafanya hivyo
Nov 08, 2021 04:37Jake Sullivan Mshauri wa Usalama wa Taifa wa serikali ya Marekani kulingana na madai ya Washington kwa mara nyingine tena amedai kuwa eti kama Iran itarejea katika mapatano ya JCPOA nayo pia itafanya hivyo.
-
Waethiopia wailaani Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao
Nov 07, 2021 23:15Wananchi wa Ethiopia wamefanya maandamano makubwa ya kutangaza uungaji mkono wao kwa serikali ya Waziri Mkuu, Abiy Ahmed na jeshi la nchi hilo linalokabiliana na waasi wa eneo la Tigray; huku wakiikosoa Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao.