-
Changamoto zinazomkabili Biden mwaka mmoja baada ya kushinda uchaguzi wa rais Marekani
Nov 07, 2021 23:12Mwaka mmoja baada ya kushinda uchaguzi wa rais na miezi 10 tangu alipoapishwa kushika usukani wa kuiongoza Marekani, Joe Biden anasumbuliwa na changamoto nyingi. Sambamba na hayo takwmu za karibuni zinaonesha kuwa, asilimia ya Wamarekani wanaoridhishwa na utendaji wa Biden imeporomoka na kwenda chini ya 45.
-
Serikali ya Biden yaidhinisha mauzo ya silaha kwa Saudi Arabia
Nov 06, 2021 12:17Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Marekani imeidhinisha mauzo ya makombora yenye thamani ya dola milioni 650 kwa Saudi Arabia.
-
Dalili za kupungua nafasi ya Marekani Asia Magharibi
Nov 05, 2021 23:56Tarehe 4 Novemba imetengwa katika kalenda ya Iran kuwa siku ya mapambano dhidi ya uistikabari wa dunia (ubeberu/ujeuri)
-
Al Houthi: Uuzaji wa silaha za Marekani kwa Saudia ni mwendelezo wa jina dhidi ya taifa la Yemen
Nov 05, 2021 09:19Mjumbe wa Baraza Kuu la Siasa la Yemen amesema kuwa hatua ya Rais Joe Biden wa Marekani ya kuidhinisha mauzo ya makombora kwa Saudi Arabia inakinzana waziwazi na wito wa kuwepo suluhu na amani nchini Yemen na inaunga mkono muungano vamizi unaoendelea kufanya mashambulizi dhidi ya watu wa Yemen.
-
Marekani yaafiki kuiuzia Saudi Arabia makombora yatakayogharimu dola milioni 650
Nov 05, 2021 04:17Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema nchi hiyo imeafiki ombi la Saudi Arabia la kuuziwa makombora ya anga kwa anga pamoja na zana zinazohusika kwa thamani ya dola milioni 650.
-
Timothy Langan: Ubaguzi wa rangi na wa kimbari unatishia Marekani zaidi kuliko Daesh
Nov 04, 2021 20:24Maafisa wa usalama wa Marekani wameiandikia barua Kongresi ya nchi hiyo wakisema kuwa, ukatili na ubaguzi wa rangi na wa kimbari ni tishio kubwa zaidi kwa nchi hiyo kuliko mashambulizi ya kigaidi ya makundi yenye misimamo ya kufurutu mipaka kama Daesh.
-
Kukosoa Uturuki utendaji wa Umoja wa Ulaya ulio dhidi ya Uislamu
Nov 04, 2021 20:23Ukosoaji mtawalia wa viongozi wa Uturuki dhidi ya Umoja wa Ulaya hususan sera za chuki dhidi ya Uislamu za umoja huo, zinapaswa kutathminiwa kama juhudi za Ankara za kukabiliana na sera za madola ya Magharibi dhidi ya serikali ya Rais Recep Tayyip Erdogan na kuimarisha wenzo wa kuishinikiza jumuiya hiyo ya Ulaya.
-
Rais Raisi: Uharamia wa Marekani wa kuiba mafuta ya Iran ni kitendo cha aibu
Nov 04, 2021 08:34Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wizi wa mafuta ulioyofanywa na Marekani katika Bahari ya Oman ni kitendo cha aibu na fedhena.
-
Mwangwi wa dharba ya IRGC dhidi ya jeshi ya Marekani, vyombo vya habari vya US vyafyata mkia
Nov 04, 2021 04:23Kushiindwa kwa jeshi la Marekani mbele ya operesheni makini ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika maji ya Bahari ya Oman kumeibua mwangwi mkubwa katika vyombo vya habari vya kimataifa.
-
Sheikh Naeem Qasim: Juhudi za Marekani za kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya zimefeli
Nov 04, 2021 04:22Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa uvamizi wa Marekani nchini Syria na juhudi za nchi hiyo za kutaka kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya zimefeli na kugonga mwamba.