Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Changamoto zinazomkabili Biden mwaka mmoja baada ya kushinda uchaguzi wa rais Marekani

    Changamoto zinazomkabili Biden mwaka mmoja baada ya kushinda uchaguzi wa rais Marekani

    Nov 07, 2021 23:12

    Mwaka mmoja baada ya kushinda uchaguzi wa rais na miezi 10 tangu alipoapishwa kushika usukani wa kuiongoza Marekani, Joe Biden anasumbuliwa na changamoto nyingi. Sambamba na hayo takwmu za karibuni zinaonesha kuwa, asilimia ya Wamarekani wanaoridhishwa na utendaji wa Biden imeporomoka na kwenda chini ya 45.

  • Serikali ya Biden yaidhinisha mauzo ya silaha kwa Saudi Arabia

    Serikali ya Biden yaidhinisha mauzo ya silaha kwa Saudi Arabia

    Nov 06, 2021 12:17

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Marekani imeidhinisha mauzo ya makombora yenye thamani ya dola milioni 650 kwa Saudi Arabia.

  • Dalili za kupungua nafasi ya Marekani Asia Magharibi

    Dalili za kupungua nafasi ya Marekani Asia Magharibi

    Nov 05, 2021 23:56

    Tarehe 4 Novemba imetengwa katika kalenda ya Iran kuwa siku ya mapambano dhidi ya uistikabari wa dunia (ubeberu/ujeuri)

  • Al Houthi: Uuzaji wa silaha za Marekani kwa Saudia ni mwendelezo wa jina dhidi ya taifa la Yemen

    Al Houthi: Uuzaji wa silaha za Marekani kwa Saudia ni mwendelezo wa jina dhidi ya taifa la Yemen

    Nov 05, 2021 09:19

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Siasa la Yemen amesema kuwa hatua ya Rais Joe Biden wa Marekani ya kuidhinisha mauzo ya makombora kwa Saudi Arabia inakinzana waziwazi na wito wa kuwepo suluhu na amani nchini Yemen na inaunga mkono muungano vamizi unaoendelea kufanya mashambulizi dhidi ya watu wa Yemen.

  • Marekani yaafiki kuiuzia Saudi Arabia makombora yatakayogharimu dola milioni 650

    Marekani yaafiki kuiuzia Saudi Arabia makombora yatakayogharimu dola milioni 650

    Nov 05, 2021 04:17

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema nchi hiyo imeafiki ombi la Saudi Arabia la kuuziwa makombora ya anga kwa anga pamoja na zana zinazohusika kwa thamani ya dola milioni 650.

  • Timothy Langan: Ubaguzi wa rangi na wa kimbari unatishia Marekani zaidi kuliko Daesh

    Timothy Langan: Ubaguzi wa rangi na wa kimbari unatishia Marekani zaidi kuliko Daesh

    Nov 04, 2021 20:24

    Maafisa wa usalama wa Marekani wameiandikia barua Kongresi ya nchi hiyo wakisema kuwa, ukatili na ubaguzi wa rangi na wa kimbari ni tishio kubwa zaidi kwa nchi hiyo kuliko mashambulizi ya kigaidi ya makundi yenye misimamo ya kufurutu mipaka kama Daesh.

  • Kukosoa Uturuki utendaji wa Umoja wa Ulaya ulio dhidi ya Uislamu

    Kukosoa Uturuki utendaji wa Umoja wa Ulaya ulio dhidi ya Uislamu

    Nov 04, 2021 20:23

    Ukosoaji mtawalia wa viongozi wa Uturuki dhidi ya Umoja wa Ulaya hususan sera za chuki dhidi ya Uislamu za umoja huo, zinapaswa kutathminiwa kama juhudi za Ankara za kukabiliana na sera za madola ya Magharibi dhidi ya serikali ya Rais Recep Tayyip Erdogan na kuimarisha wenzo wa kuishinikiza jumuiya hiyo ya Ulaya.

  • Rais Raisi: Uharamia wa Marekani wa kuiba mafuta ya Iran ni kitendo cha aibu

    Rais Raisi: Uharamia wa Marekani wa kuiba mafuta ya Iran ni kitendo cha aibu

    Nov 04, 2021 08:34

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wizi wa mafuta ulioyofanywa na Marekani katika Bahari ya Oman ni kitendo cha aibu na fedhena.

  • Mwangwi wa dharba ya IRGC dhidi ya jeshi ya Marekani, vyombo vya habari vya US vyafyata mkia

    Mwangwi wa dharba ya IRGC dhidi ya jeshi ya Marekani, vyombo vya habari vya US vyafyata mkia

    Nov 04, 2021 04:23

    Kushiindwa kwa jeshi la Marekani mbele ya operesheni makini ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika maji ya Bahari ya Oman kumeibua mwangwi mkubwa katika vyombo vya habari vya kimataifa.

  • Sheikh Naeem Qasim: Juhudi za Marekani za kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya zimefeli

    Sheikh Naeem Qasim: Juhudi za Marekani za kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya zimefeli

    Nov 04, 2021 04:22

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa uvamizi wa Marekani nchini Syria na juhudi za nchi hiyo za kutaka kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya zimefeli na kugonga mwamba.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS