-
Iran na EU zajadili namna ya kuondolewa vikwazo vyote haramu katika JCPOA
Oct 27, 2021 10:28Ofisi ya uwakilishi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Ulaya imetangaza kuwa, kuondolewa vikwazo vyote haramu na visivyo vya kisheria ilivyoekewa Iran ndio ajenda kuu ya mazungumzo ya Brussels kati ya Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa na mratibu wa kamisheni ya pamoja ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Wamarekani ni miongoni mwa watu wenye manung'uniko makubwa kwa serikali yao
Oct 27, 2021 09:31Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa na kituo cha utafiti cha Pew kuhusu nchi zilizoendelea kiuchumi duniani unaonyesha kuwa Wamarekani ni miongoni mwa watu wasioridhishwa na utendaji na wana manung'uniko makubwa kwa serikali yao.
-
Newsweek: Maelfu ya makombora ya Marekani yanayovuka bara yanatishia amani ya dunia
Oct 27, 2021 00:36Jarida la Marekani la Newsweek limeashiria ongezeko la vichwa vya nyuklia duniani na kuandika kuwa, maelfu ya makombora ya Marekani yenye uwezo wa kuvuka bara ni tishio kwa amani ya dunia.
-
Madai ya Ufaransa kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran, kuendelezwa sera za kindumakuwili za Ulaya
Oct 23, 2021 22:55Sambamba na mkutano wa Ijumaa ya wiki hii baina ya wawakilishi wa Marekani na nchi za Ulaya uliofanyika mjini Paris, Ufaransa imeitaka Iran ipunguze shughuli zake za kuzalisha nishati ya nyuklia.
-
Pelosi atetea makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, amkosoa Yair Lapid
Oct 22, 2021 20:51Spika wa Kongresi ya Marekani ametetea makubaliano ya nyuklia ya JCPOA baina ya Iran na nchi za kundi la 5+1 katika mazungumzo yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa utawla haramu wa Israel mjini Washington.
-
Kurejea Marekani katika Baraza la Haki za Binadamu la UN; shaka na shubha kuhusu suala hilo
Oct 16, 2021 22:55Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa juzi Alhamisi liliiarifisha Marekani kuwa moja kati ya wanachama 18 wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa. Duru ya miaka mitatu ya baraza hilo itaanza kuanzia Januari Mosi mwaka ujao wa 2022. Nchi wanachama wa baraza hilo huchaguliwa katika kila duru katika upigaji kura unaofanyika kwa njia ya siri.
-
Kushindwa Marekani kuzuia kuanzishwa tena uhusiano wa nchi za Kiarabu na Syria
Oct 16, 2021 03:53Akizungumza Jumatano mbele ya waandishi habari mjini Washington, Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema nchi hiyo haina nia ya kuunga mkono juhudi za kuboreshwa uhusiano na serikali ya Syria.
-
Kuendelea jinai za wanamgambo wa SDF kaskazini mwa Syria kwa uungaji mkono wa Marekani
Oct 14, 2021 22:52Kwa mara nyingine tena katika siku za karibuni kumeongezeka jinai zinazofanywa na wanagambo kwa jina la vikosi vya kidemokrasia vya Syria (SDF) dhidi ya wakazi wa maeneo yanayoshikiliwa na wanamgambo hao huko Syria.
-
Hizbullah yaikosoa Marekani kwa kuingilia uchunguzi wa mlipuko wa Bandari ya Beirut
Oct 13, 2021 09:25Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kutia pua katika uchunguzi juu ya mlipuko uliotokea mwaka jana katika Bandari ya Beirut.
-
Taliban yazionya Marekani na nchi za Ulaya dhidi ya kuidhoofisha serikali yake
Oct 13, 2021 04:09Msimamizi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan amezitahadharisha tawala za Magharibi juu ya hatua yoyote ya kuudhoofisha utawala mpya ulioundwa na kundi hilo.