Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • "Mgogoro wa Taiwan kuziingiza China na Marekani kwenye Vita vya Tatu vya Dunia"

    Oct 11, 2021 23:03

    Kiongozi mmoja mwandamizi wa Bunge la Russia amesema kuwa, ugomvi uliopo hivi sasa bina ya Marekani na China kuhusu Taiwan unaweza kuzusha mapigano ya kijeshi baina ya nchi hizo mbili na hata kupelekea kuzuka Vita vya Tatu vya Dunia.

  • Russia and China: Shughuli za kibaolojia za Marekani zimeuweka hatarini usalama wa dunia

    Russia and China: Shughuli za kibaolojia za Marekani zimeuweka hatarini usalama wa dunia

    Oct 08, 2021 23:58

    Russia na China zimetoa taarifa ya pamoja zikikosoa shughuli za vituo vya kibaolojia vya Marekani na kusema vinauweka hatarini usalama wa dunia.

  • Biden akiri kuhusu kubaki nyuma uchumi wa Marekani; dalili ya kuporomoka nchi hiyo

    Biden akiri kuhusu kubaki nyuma uchumi wa Marekani; dalili ya kuporomoka nchi hiyo

    Oct 07, 2021 21:09

    Akizungumza karibuni katika jimbo la Michigan, Rais Joe Biden wa Marekani amesema nchi nyingine za dunia ziko mbioni kuishinda Marekani katika nyanja nyingi. Amesema licha ya kuwa Marekani bado inauongoza ulimwengu kiuchumi lakini inaendelea kupoteza taratibu nafasi yake hiyo.

  • Hizbullah: Tuna haki ya kuvunja mzingiro wa Marekani dhidi ya Lebanon

    Hizbullah: Tuna haki ya kuvunja mzingiro wa Marekani dhidi ya Lebanon

    Oct 06, 2021 09:26

    Afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kundi hilo la muqawama lina haki ya kutumia njia zote halali kulilinda taifa la Lebanon, na kuvunja vikwazo na mzingiro wa Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen: Saudi Arabia ni kibaraka wa Marekani

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen: Saudi Arabia ni kibaraka wa Marekani

    Oct 06, 2021 04:45

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Serikali ya Uokovu wa Taifa nchini Yemen amesema kuwa maslahi ya Marekani ndiyo yanayotawala maamuzi ya Saudi Arabia na washirika wake katika suala la kusitisha vita na uvamizi wao dhidi ya taifa la Yemen.

  • Marekani: Tuko tayari kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini bila ya masharti yoyote

    Marekani: Tuko tayari kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini bila ya masharti yoyote

    Oct 05, 2021 07:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema kuwa, nchi yake iko tayari kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini bila ya masharti yoyote yale.

  • Waliouawa na corona Marekani wapindukia laki saba, sababu na athari zake

    Waliouawa na corona Marekani wapindukia laki saba, sababu na athari zake

    Oct 04, 2021 01:03

    Baada ya kupita yapata miaka miwili sasa tangu mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona ulipoikumba Marekani, idadi ya Wamarekani waliouawa na virusi hivyo imepindukia laki saba. Katika kipindi cha miezi mitatu na nusu iliyopita pekee zaidi ya Wamarekani laki moja wameaga dunia kutokana na Covid-19 licha ya kiwango kikubwa cha chanjo kilichotolewa nchini humo.

  • Russia: Marekan inawahamishia Afghanistan magaidi wa Daesh

    Russia: Marekan inawahamishia Afghanistan magaidi wa Daesh

    Oct 03, 2021 01:09

    Naibu Kamanda wa Wilaya ya Kati ya Jeshi la Russia amesema kuwa jeshi la Marekani linawahamisha magaidi walioko Syria na kuwapeleka Afghanistan.

  • Foreign Policy: Sera ya mashinikizo ya juu ya kabisa ya Marekani dhidi ya Iran imeshindwa kikamilifu

    Foreign Policy: Sera ya mashinikizo ya juu ya kabisa ya Marekani dhidi ya Iran imeshindwa kikamilifu

    Sep 30, 2021 22:56

    Jarida la Foreign Policy la nchini Marekani limeeleza katika ripoti yake kwamba, sera za mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani dhidi ya Iran imeshindwa kikamilifu; na Tehran haina hofu yoyote kuhusiana na Marekani.

  • Wasiopiga chanjo wavunjisha tena rekodi ya vifo vya corona Marekani

    Wasiopiga chanjo wavunjisha tena rekodi ya vifo vya corona Marekani

    Sep 30, 2021 02:57

    Idadi ya watu wanaokufa kutokana na corona nchini Marekani imekuwa ikiongezeka kila siku katika kipindi cha miezi miwili iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS