Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Mahakama ya ICC yafumbia jicho jinai zilizofanywa na Marekani nchini Afghanistan

    Mahakama ya ICC yafumbia jicho jinai zilizofanywa na Marekani nchini Afghanistan

    Sep 28, 2021 08:39

    Licha ya uhalifu mkubwa na ukiukaji wa haki za binadamu uliofanywa na Marekani nchini Afghanistan katika kipindi cha miongo miwili iliyopita, Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) sasa inakusudia kuweka kando uchunguzi kuhusu uhalifu wa kivita uliofanywa na wanajeshi wa Marekani na NATO nchini humo.

  • Marekani yatoa onyo kwa Uturuki dhidi ya kununua tena silaha kutoka Russia

    Marekani yatoa onyo kwa Uturuki dhidi ya kununua tena silaha kutoka Russia

    Sep 27, 2021 22:55

    Marekani imesema kuna uwezekano wa kuiwekea Uturuki vikwazo vipya kwa sababu ya ununuzi wa mtambo wa ulinzi wa anga wa S-400 kutoka Russia.

  • Asilimia 70 ya Wademocrat hawataki Trump agombee urais mwaka 2024

    Asilimia 70 ya Wademocrat hawataki Trump agombee urais mwaka 2024

    Sep 27, 2021 01:02

    Asilimia 70 ya Wademocrat nchini Marekani wanapinga jaribio la aina yoyote la rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump kugombea katika uchaguzi wa rais mwaka 2024.

  • Juhudi za Biden za kujaribu kupunguza mvutano baina ya Marekani na Ufaransa

    Juhudi za Biden za kujaribu kupunguza mvutano baina ya Marekani na Ufaransa

    Sep 23, 2021 22:46

    Kufuatia mazungumzo ya simu ya Marais Joe Biden wa Marekani na Emmanuel Macron wa Ufaransa hapo siku ya Jumatano, viongozi hao wametoa taarifa ya pamoja wakisema wameamua kuendelea na mashauriano kwa ajili ya kutatua hitilifu zilizojitokeza baina ya pande mbili kuhusu mkataba wa kiusalama wa AUKUS.

  • Baada ya kuongezeka mzozo, wakuu wa majeshi ya Marekani na Russia wakutana Finland

    Baada ya kuongezeka mzozo, wakuu wa majeshi ya Marekani na Russia wakutana Finland

    Sep 23, 2021 01:07

    Baada ya kupamba moto mzozo katika uhusiano wa Marekani na Russia na kuingia kwenye hatua hatari na kufikia hadi viongozi wa Washington kusema kuwa Russia ni adui mkubwa wa Marekani kuliko China, juhudi za kupunguza mivutano hiyo zimeanza kuchukuliwa kupitia kukutanishwa wakuu wa majeshi ya nchi hizo mbili katika mji mkuu wa Finland, Halsinki.

  • Brookings Institution: Mienendo ya Biden katika vita vya Saudia nchini Yemen haitofautiani na ya Trump

    Brookings Institution: Mienendo ya Biden katika vita vya Saudia nchini Yemen haitofautiani na ya Trump

    Sep 21, 2021 23:50

    Taasisi ya Brookings Institution huko Marekani imeandika makala ikisema kuwa serikali ya sasa ya Marekani imekiuka ahadi yake ya kukomesha vita vya muungano wa Saud Arabia na washirika wake dhidi ya taifa la Yemen na kukata misaada na himaya yake kwa muungano huo.

  • Wamarekani wengi: Upo uwezekano wa kutokea vita vingine vya ndani Marekani

    Wamarekani wengi: Upo uwezekano wa kutokea vita vingine vya ndani Marekani

    Sep 21, 2021 02:30

    Karibu nusu ya Wamarekani wanaitakidi kuwa, upo uwezekano wa kutokea vita vingine vya ndani nchini humo.

  • Sisitizo la Umoja wa Mataifa juu ya kukiuka sheria vikwazo vya upande mmoja vya Marekani

    Sisitizo la Umoja wa Mataifa juu ya kukiuka sheria vikwazo vya upande mmoja vya Marekani

    Sep 20, 2021 22:09

    Alena Douhan, ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu taathira hasi za vikwazo vya upande mmoja dhidi ya haki za binadamu amesisitiza kwamba vikwazo vya upande mmoja vya Marekani vinakiuka wazi sheria za kimataifa.

  • Korea Kaskazini yazionya US, UK na Australia kuhusu makubaliano yao ya nyambizi ya nyuklia

    Korea Kaskazini yazionya US, UK na Australia kuhusu makubaliano yao ya nyambizi ya nyuklia

    Sep 20, 2021 05:44

    Korea Kaskazini imesema makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya nchi tatu za Marekani, Uingereza na Australia ni hatua hatari sana.

  • Trump: Marekani inaelekea kuwa shimo la maji taka kutokana na wahamiaji

    Trump: Marekani inaelekea kuwa shimo la maji taka kutokana na wahamiaji

    Sep 20, 2021 03:45

    Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump ameashiria wimbi kubwa la wahajiri wanaomiminika nchini humo na kusema: Marekani inaelekea kuwa shimo la maji taka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS