• Onyo la Trump kwa Netanyahu baada ya kutishia kuishambulia Iran

    Onyo la Trump kwa Netanyahu baada ya kutishia kuishambulia Iran

    May 29, 2025 02:47

    Rais wa Marekani, Donald Trump ameripotiwa kuvutana na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu katika mazungumzo yao ya simu, baada ya nduli huyo wa vita wa utawala wa Kizayuni kutishia kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran, na hivyo kuhatarisha mazungumzo ya kidiplomasia yanayoendelea kati ya Tehran na Washington.

  • Hamas yaafiki pendekezo la US la kuondoka askari wote wa Israel Gaza

    Hamas yaafiki pendekezo la US la kuondoka askari wote wa Israel Gaza

    May 29, 2025 02:37

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema imefikia makubaliano na Mjumbe Maalum wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, Steve Witkoff kuhusu "mfumo jumla" wa kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.

  • Russia yajibu baada ya Trump 'kumtishia nyau' Putin eti 'anacheza na moto'

    Russia yajibu baada ya Trump 'kumtishia nyau' Putin eti 'anacheza na moto'

    May 28, 2025 03:18

    Rais wa Marekani, Donald Trump ametoa matamshi ambayo yanaonekana ya kumtishia mwenzake wa Russia, Vladimir Putin, ambapo amesema "anacheza na moto," bila kufafanua nini hasa anamaanisha.

  • Je, kwa nini uadilifu wa rangi ni nara tupu isiyotekelezeka huko Marekani?

    Je, kwa nini uadilifu wa rangi ni nara tupu isiyotekelezeka huko Marekani?

    May 28, 2025 02:32

    Miaka mitano baada ya kuuawa kikatili George Floyd, kijana Mmarekani mweusi, na polisi wa nchi hiyo, hatua na sera zilizoahidiwa kutekelezwa na serikali ya Marekani na makampuni mengi makubwa ya kiuchumi nchini humo kwa ajili ya hakikisha haki na usawa vinadumishwa kati ya jamii na watu wa rangi tofauti wa nchi hiyo zimesahaulika kabisa.

  • Kwa nini Trump ana vigezo vya kibaguzi kuhusu suala la nyuklia?

    Kwa nini Trump ana vigezo vya kibaguzi kuhusu suala la nyuklia?

    May 25, 2025 22:44

    Siku ya Ijumaa, Mei 23, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini dikri mpya kadhaa zinazolenga kuongeza uwezo wa uzalishaji wa nishati ya nyuklia, kupunguza kanuni za udhibiti na kupanua sekta ya urutubishaji wa madini ya urani nchini humo.

  • Harvard yaushtaki utawala wa Trump kwa kupiga marufuku wanafunzi wa kigeni

    Harvard yaushtaki utawala wa Trump kwa kupiga marufuku wanafunzi wa kigeni

    May 24, 2025 03:35

    Chuo Kikuu cha Harvard kimeushtaki utawala wa Donald Trump kwa kuizuia taasisi hiyo mashuhuri ya elimu ya Marekani kusajili wanafunzi wa kigeni, kikiitaja hatua hiyo kuwa ni ulipizaji kisasi kinyume na katiba, kutokana na wanachuo hao kukaidi amri za kisiasa za Ikulu ya White House.

  • Trump aitishia EU kwa ushuru wa forodha wa 50%

    Trump aitishia EU kwa ushuru wa forodha wa 50%

    May 24, 2025 03:21

    Rais wa Marekani Donald Trump amependekeza "ushuru wa moja kwa moja wa 50%" kwa nchi zote za Umoja wa Ulaya, akitaja nakisi ya biashara ya dola milioni 250 kila mwaka na umoja huo. Amependekeza kuwa kiwango hicho kipya cha ushuru kianze kutekelezwa Juni 1.

  • Waafrika Kusini wamjia juu Trump kwa kuongopa kwenye kikao na Ramaphosa

    Waafrika Kusini wamjia juu Trump kwa kuongopa kwenye kikao na Ramaphosa

    May 23, 2025 08:25

    Wananchi wa Afrika Kusini wameeleza kughadhabishwa na madai ya uwongo yaliyobuliwa na Rais wa Marekani Donald Trump wakati wa mazungumzo yake na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini katika Ikulu ya White House.

  • Mbunge wa US ataka Gaza iangamizwe kwa nyuklia kama Hiroshima

    Mbunge wa US ataka Gaza iangamizwe kwa nyuklia kama Hiroshima

    May 23, 2025 08:25

    Mbunge wa jimbo la Florida wa chama cha Republican, Randy Fine ameashiria shambulio la bomu la nyuklia la Marekani dhidi ya Japan wakati wa Vita vya Pili vya Dunia na kutoa wito wa kuangamizwa Gaza kwa silaha za nyuklia.

  • Je, kwa nini Trump amenyamazia kimya mauaji ya kimbari huko Gaza, huku akidai yametokea Afrika Kusini?

    Je, kwa nini Trump amenyamazia kimya mauaji ya kimbari huko Gaza, huku akidai yametokea Afrika Kusini?

    May 23, 2025 02:27

    Akizungumza siku ya Jumatano katika kikao chenye mvutano na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Rais Donald Trump wa Marekani alichukua hatua ya kushanga kwa kumuonyesha video ya kiongozi mmoja wa mrengo wa kulia wa Afrika Kusini aliyetoa wito wa kuuawa wakulima weupe ili kuthibitisha madai yake kuhusu kile kinachodaiwa kuwa mauaji ya kimbari dhidi ya wazungu wa nchi hiyo.