-
Kwa nini Marekani inafuatilia suala la kuongeza bajeti za kijeshi za wanachama wa NATO?
May 22, 2025 03:17Marco Rubio, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kufikia mkutano wa kilele wa NATO mwezi Juni mwaka huu, nchi zote wanachama wa muungano huo wa kijeshi zitakuwa zimekubaliana kutenga asilimia 5 ya pato lao la ndani kwa ajili ya ulinzi katika kipindi cha muongo mmoja ujao.
-
Je, ulinzi wa anga wa Yemen unaweza kuwa tishio kwa ndege za F-35 za Marekani?
May 17, 2025 22:58Marekani ilianzisha mashambulizi makubwa ya anga dhidi ya Yemen Machi 15, mwaka huu, ambayo ilikuwa operesheni muhimu zaidi ya kijeshi ya Marekani Asia Magharibi tangu Rais Donald Trump wa Marekani aingie tena madarakani.
-
Pezeshkian: Iran inafanya mazungumzo, lakini haigopi vitisho vyovyote
May 17, 2025 07:00Rais Masoud Pezeshkian amesisitiza kuwa, Iran haitasalimu amri na kuachana na haki zake licha ya vitisho, akieleza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitaachana na mafanikio yake ya heshima katika nyanja yoyote ile, iwe kisayansi au kijeshi.
-
Trump apanga kuwahamishia Libya Wapalestina milioni 1 wa Gaza
May 17, 2025 06:59Imefichuka kuwa, maafisa wakuu wa serikali ya Rais wa Marekani, Donald Trump wanashughulikia mpango wa kuhamisha takriban nusu ya wakazi milioni 2.2 wa Ukanda wa Gaza uliozingirwa na kuwapeleka hadi Libya.
-
Hamas: Witkoff aliahidi kuondoa mzingiro wa Gaza mkabala wa kuachiwa Edan Alexander
May 17, 2025 06:57Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa, mjumbe maalumu wa Marekani Steve Witkoff alilihakikishia kundi hilo la Muqawama la Palestina kwamba, Washington itaishinikiza Israel kukomesha mzingiro wa Gaza na kuruhusu ufikishaji wa misaada ya kibinadamu ndani ya siku mbili baada ya kumwachilia huru mwanajeshi wa Israel, Edan Alexander, raia wa Marekani.
-
Trump azitaka kampuni za US zitengeneze droni kama za Iran
May 16, 2025 03:31Rais wa Marekani, Donald Trump amesema ameziomba kampuni za Marekani kutengeneza ndege zisizo na rubani zinazofanana na droni za Iran, ambazo si ghali sana bali zina kasi ya juu na hatari.
-
NATO inayoongozwa na Marekani yakumbwa na sakata la ufisadi
May 16, 2025 03:18Imefichuka kuwa, nchi nyingi duniani zimeanzisha uchunguzi wa rushwa katika mfumo wa ununuzi wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) linaloongozwa na Marekani.
-
Iran: Hakuna haja ya kuendelea na mazungumzo iwapo Marekani....
May 14, 2025 08:00Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi amesisitiza kuwa haki ya Jamhuri ya Kiislamu ya kurutubisha madini ya urani ni "mstari mwekundu" wa taifa hili, akisisitiza kuwa, kufikiwa makubaliano na Marekani kuhusu mpango wa amani wa nyuklia wa nchi hii kunategemea kufuata kanuni hizo.
-
Misri yafurahia kurejeshwa turathi nyingi zilizoibwa na Marekani
May 13, 2025 23:15Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza habari ya kurejeshwa nchini humo kutoka Marekani turathi 25 za kihistoria na za kisanii, zilizotwaliwa enzi za ustaarabu wa kale wa Misri.
-
Witkoff: Amani haiwezi kupatikana Ukraine bila ridhaa ya Putin
May 13, 2025 23:14Steve Witkoff, Mjumbe maalumu wa Rais wa Marekani, Donald Trump amesema utatuzi wa amani wa mzozo wa Ukraine hauwezekani bila idhini na ridhaa ya Rais wa Russia, Vladimir Putin.