Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Utendaji tata wa Trump katika siku 100 za kwanza za urais wake

    Utendaji tata wa Trump katika siku 100 za kwanza za urais wake

    May 02, 2025 09:29

    Zimepita siku 100 tangu Donald Trump aingie Ikulu ya White House nchini Marekani.

  •  Juhudi za Bunge la Marekani kuongeza bajeti ya silaha za nyuklia na kijeshi

    Juhudi za Bunge la Marekani kuongeza bajeti ya silaha za nyuklia na kijeshi

    May 01, 2025 23:32

    Ofisi ya Bajeti ya Bunge la Marekani (CBO), taasisi ya shirikisho isiyoegemea upande wowote, imetangaza kwamba ikiwa Marekani inataka kuendelea kutumia uwezo wa vikosi vyake vya silaha za nyuklia, itahitaji kuongeza bajeti yake kwa kiwango kikubwa.

  • Ismail Baqaei: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vimegonga mwamba

    Ismail Baqaei: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vimegonga mwamba

    May 01, 2025 10:03

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria uraibu wa Marekani wa kuwekea vikwazo mataifa mengine na kubainisha kwamba, vikwazo vya Washington dhidi ya Tehran vimeshindwa na kutokuwa na natija.

  • Amnesty International: Siku 100 za kwanza za urais wa Trump zimekuwa janga kwa haki za binadamu

    Amnesty International: Siku 100 za kwanza za urais wa Trump zimekuwa janga kwa haki za binadamu

    Apr 30, 2025 03:20

    Katibu Mkuu wa Amnesty International ametangaza kuwa siku 100 za kwanza za urais wa Donald Trump zimekuwa janga kwa haki za binadamu nchini Marekani na kimataifa.

  • Euro-Med: Marekani inatenda kazi kama nguvu iliyo juu ya sheria nchini Yemen

    Euro-Med: Marekani inatenda kazi kama nguvu iliyo juu ya sheria nchini Yemen

    Apr 30, 2025 03:17

    Shirika la Kutetea Haki za Kibinadamu la Euro-Mediterania limesema kuwa Marekani inafanya kazi kama mamlaka iliyo juu ya sheria za kimataifa nchini Yemen na inakaidi kanuni za uwajibikaji wa kimataifa.

  • Misri yakosoa wito wa Trump wa kutaka meli za US kupita mfereji wa Suez bila malipo

    Misri yakosoa wito wa Trump wa kutaka meli za US kupita mfereji wa Suez bila malipo

    Apr 29, 2025 23:00

    Wito wa hivi karibuni wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kutaka meli za nchi hiyo zipitie bila malipo kwenye Mfereji wa Suez umezusha shutuma nyingi nchini Misri, ambapo wataalamu wa masuala ya sheria, viongozi wa kisiasa na wananchi wamekosoa vikali matamshi hayo, wakisema kuwa hayana msingi kisheria, na ni tishio kubwa kwa nidhamu ya kimataifa.

  • China: Kusalimu amri kutachochea zaidi uchu wa Marekani

    China: Kusalimu amri kutachochea zaidi uchu wa Marekani

    Apr 29, 2025 23:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi amesema kusalimu amri na kufikia makubaliano na Marekani katika vita vya kibiashara vya Washington hakutakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuchochea zaidi uchu na uroho wa Marekani.

  • Trump, Rais wa Marekani anayechukiwa zaidi katika miaka 70 iliyopita

    Trump, Rais wa Marekani anayechukiwa zaidi katika miaka 70 iliyopita

    Apr 28, 2025 22:46

    Donald Trump, rais wa Marekani, alirejea kwa mara ya pili Ikulu ya White House akiwa na kiwango cha juu zaidi cha umaarufu tangu kuanza safari yake ya kisiasa. Hata hivyo, utafiti mpya wa mtandao wa habari wa Marekani, CNN, unaonyesha kuwa umaarufu wa Trump umeshuka hadi kiwango cha chini kabisa karibu na siku ya 100 ya kurejea kwake madarakani.

  • Ni suluhu au ushindani wa kiuchumi? Kongo, Rwanda na maslahi ya kimkakati ya Marekani

    Ni suluhu au ushindani wa kiuchumi? Kongo, Rwanda na maslahi ya kimkakati ya Marekani

    Apr 27, 2025 22:52

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Rwanda wametia saini makubaliano ya kimsingi ya amani, kwa upatanishi wa Marekani.

  • Yemen yakishambulia kwa kombora la

    Yemen yakishambulia kwa kombora la "Palestina 2" kituo cha anga cha Nevatim cha jeshi la utawala wa Kizayuni

    Apr 26, 2025 23:05

    Msemaji wa vikosi vya ulinzi vya Yemen ametangaza kuwa vikosi hivyo imekishambulia kwa kombora kituo cha jeshi la anga la utawala wa Kizayuni cha Navatim katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS