Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • IPU: Uamuzi wa Marekani dhidi ya Golan ya Syria unakiuka azimio la UN

    IPU: Uamuzi wa Marekani dhidi ya Golan ya Syria unakiuka azimio la UN

    Apr 11, 2019 09:24

    Jumuiya ya Kimataifa ya Mabunge (IPU) imelaani uamuzi wa upande mmoja wa rais wa Marekani kuutambua utawala wa Kizayuni wa Israel kama mmiliki wa Miinuko ya Golan ya Syria na kusema uamuzi huo unapingana waziwazi na azimio nambari 497 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Misri yajiondoa katika muungano dhidi ya Iran, Marekani yachanganyikiwa

    Misri yajiondoa katika muungano dhidi ya Iran, Marekani yachanganyikiwa

    Apr 11, 2019 03:36

    Serikali ya Misri imetangaza uamuzi wa kujiondoa katika muungano dhidi ya Iran unaojulikana kama "NATO ya Kiarabu" ambao unaongozwa na Marekani.

  • Misri yajiondoa katika muungano dhidi ya Iran, Marekani yachanganyikiwa

    Misri yajiondoa katika muungano dhidi ya Iran, Marekani yachanganyikiwa

    Apr 11, 2019 01:46

    Serikali ya Misri imetangaza uamuzi wa kujiondoa katika muungano dhidi ya Iran unaojulikana kama "NATO ya Kiarabu" ambao unaongozwa na Marekani.

  • Licha ya Trump kumtaja Kim Jong-un kuwa ni rafiki yake, Pompeo amtaja kuwa ni mtu muovu

    Licha ya Trump kumtaja Kim Jong-un kuwa ni rafiki yake, Pompeo amtaja kuwa ni mtu muovu

    Apr 10, 2019 20:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo, amemtaja Kim Jong-un, kiongozi wa Korea Kaskazini kuwa ni mtu muovu, licha ya kwamba rais wa Marekani, Donald Trump alimtaja kiongozi huyo kijana kuwa ni rafiki yake.

  • Jamii ya kimataifa yaendelea kukosoa tangazo la Trump dhidi ya IRGC ya Iran

    Jamii ya kimataifa yaendelea kukosoa tangazo la Trump dhidi ya IRGC ya Iran

    Apr 10, 2019 03:27

    Nchi mbalimbali duniani zimeendelea kukosoa hatua ya Rais Donald Trump ya kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC katika orodha ya Marekani ya makundi ya kigaidi.

  • Bunge la US lamtaka Trump asaini azimio la kutojihusisha nchi hiyo na vita Yemen

    Bunge la US lamtaka Trump asaini azimio la kutojihusisha nchi hiyo na vita Yemen

    Apr 10, 2019 03:14

    Spika wa Bunge la Wawakilishi la Marekani amemtaka Rais Donald Trump alisaini kuwa sheria azimio linaloitaka serikali ya nchi hiyo ihitimishe uungaji mkono wake kwa muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen.

  • Ilhan Omar: Hatua ya Trump dhidi ya IRGC itawaweka hatarini askari wa US

    Ilhan Omar: Hatua ya Trump dhidi ya IRGC itawaweka hatarini askari wa US

    Apr 09, 2019 21:57

    Mbunge Muislamu katika Baraza la Wawakilishi la Marekani, Ilhan Omar amekosoa hatua ya Rais Donald Trump ya kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC katika orodha ya Marekani ya makundi ya kigaidi na kusema kuwa, kitendo hicho hakitakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuchochea zaidi taharuki.

  • Kiongozi: Ukhabithi wa Marekani dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu hautafika popote

    Kiongozi: Ukhabithi wa Marekani dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu hautafika popote

    Apr 09, 2019 10:41

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani inahasimiana na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kwa sababu jeshi hilo limekuwa mstari wa mbele katika kuilinda Iran na Mapinduzi ya Kiislamu na kuongeza kuwa: "Kwa miaka 40 sasa, Marekani na maadui wengine wajinga wamekuwa wakifanya kila wawezalo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lakini wameshindwa."

  • Rais Rouhani: Marekani imeitaja IRGC kuwa kundi la kigaidi ili kufidia kushindwa kwake

    Rais Rouhani: Marekani imeitaja IRGC kuwa kundi la kigaidi ili kufidia kushindwa kwake

    Apr 09, 2019 10:39

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limefanikiwa kung'oa mizizi ya ugaidi katika eneo na kuongeza kuwa: "Uistikbari wa kimataifa na Marekani wanalenga kufidia kushindwa katika makabiliano na taifa la Iran kwa kulitaja Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu eti ni kundi la kigaidi."

  • Kikao cha G7, wigo mwingine wa kudhihiri hitilafu baina ya nchi za Magharibi

    Kikao cha G7, wigo mwingine wa kudhihiri hitilafu baina ya nchi za Magharibi

    Apr 09, 2019 06:44

    Kikao cha kundi la G7 nchini Ufaransa kimekumbwa na changamoto nyingi ikiwemo kutohudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani na kushindwa kufikiwa makubaliano kati ya wanachama kuhusiana na masuala yanayohusu Mashariki ya Kati hususan kadhia ya Palestina na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS