-
Mahakama ya Misri yafuta hukumu ya kifo dhidi ya wapinzani 149
Feb 03, 2016 10:51Mahakama ya Rufaa nchini Misri imefuta hukumu ya kifo iliyokuwa imetolewa hapo awali dhidi ya wapinzani 149 wa serikali nchini humo.
Mahakama ya Rufaa nchini Misri imefuta hukumu ya kifo iliyokuwa imetolewa hapo awali dhidi ya wapinzani 149 wa serikali nchini humo.