-
Mjumbe wa Rais wa Korea Kusini mjini Pyongyang aanza safari kuimarisha mahusiano zaidi
Mar 05, 2018 04:53Mjumbe maalumu wa Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini amefanya safari nchini Korea Kaskazini ambapo pia amesema kuwa akiwa Pyongyang atajadiliana na viongozi wa nchi hiyo kuhusiana na masuala ya silaha za nyuklia.
-
Uchaguzi wa Somalia kufanyika mwezi Julai mwaka huu
Feb 17, 2016 22:41Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia amesema, viongozi wa baadhi ya majimbo nchini humo wamekubaliana na pendekezo la serikali kuu la kufanyika uchaguzi mwezi Julai mwaka huu.