Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mtume Muhammad SAW

  • Maulidi ya Mtume SAW yaadhimishwa kwa sherehe kubwa Somalia, yatangazwa sikukuu rasmi ya kitaifa

    Maulidi ya Mtume SAW yaadhimishwa kwa sherehe kubwa Somalia, yatangazwa sikukuu rasmi ya kitaifa

    Sep 05, 2025 14:45

    Maelfu ya Waislamu nchini Somalia jana Alkhamisi, waliandamana mitaani katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu kuadhimisha siku aliyozaliwa Bwana Mtume Muhammad SAW, huku Wizara ya Kazi na Masuala ya Kijamii ikiitangaza kuwa ni sikukuu ya kitaifa na siku rasmi ya mapumziko kuadhimisha tukio hilo.

  • Kiongozi Muadhamu: Mazazi ya Mtume (SAW) yalifungua ukurasa mpya wa maisha ya mwanadamu

    Kiongozi Muadhamu: Mazazi ya Mtume (SAW) yalifungua ukurasa mpya wa maisha ya mwanadamu

    Oct 24, 2021 15:17

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuzaliwa Mtume mtukufu Muhammad (SAW) kulifungua ukurasa mpya katika maisha ya mwanadamu.

  • Mbunge wa chama cha Leba ataka sheria ya kuwaadhibu wanaomvunjia heshima Mtume (saw)

    Mbunge wa chama cha Leba ataka sheria ya kuwaadhibu wanaomvunjia heshima Mtume (saw)

    Jul 11, 2021 04:42

    Mbunge wa Uingereza ametetea heshima ya Mtume Muhammad (saw) katika hotuba ya kupendeza kwenye Bunge la nchi hiyo, akiangazia mashinikizo ya kiroho na madhara yaliyosababishwa kwa Waislamu ulimwenguni kote kutokana na katuni na picha zinazochapishwa mara kwa mara barani Ulaya zikimvunjia heshima Nabii huyo wa Mwenyezi Mungu.

  • Pakistan yasikitishwa na Charlie Hebdo kumvunjia tena heshima Mtume SAW

    Pakistan yasikitishwa na Charlie Hebdo kumvunjia tena heshima Mtume SAW

    Sep 02, 2020 07:57

    Pakistan imelaani vikali uamuzi wa jarida linalochapishwa nchini Ufaransa la Charlie Hebdo wa kuchapisha tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW).

  • Mfalme wa Morocco awaachia huru mamia ya wafungwa kwa mnasaba wa Maulidi

    Mfalme wa Morocco awaachia huru mamia ya wafungwa kwa mnasaba wa Maulidi

    Nov 10, 2019 07:23

    Mfalme Muhammad wa Sita wa Morocco ametangaza msahama kwa wafungwa 300 kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mazazi ya Mtume Muhammad (SAW).

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS