Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

muqawama

  • Mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrallah kuhusu duru mpya ya vita vya Marekani dhidi ya muqawama kupitia vyombo vya habari

    Mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrallah kuhusu duru mpya ya vita vya Marekani dhidi ya muqawama kupitia vyombo vya habari

    Jul 07, 2021 06:40

    Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Jumatatu alitoa hotuba akiashiria hatua ya Marekani kuteka na kufunga tovuti za habari zinazofungamana na harakati za muqawama au mapamabano ya Kiislamu ambapo ametoa sababu kadha za uhasama huo wa Marekani.

  • Muqawama wa Palestina wamtahadharisha tena adui Mzayuni

    Muqawama wa Palestina wamtahadharisha tena adui Mzayuni

    Jun 22, 2021 03:47

    Brigedi ya Mashahidi wa al Aqsa imeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa, muqawama utaanzisha duru mpya ya mapigano na mashambulizi ya roketi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu iwapo utawala huo hautafungua vivuko vya Ukanda wa Ghaza.

  • Amir Abdolahian: Siri ya ushindi wa matawalia wa kambi ya muqawama, ni umoja

    Amir Abdolahian: Siri ya ushindi wa matawalia wa kambi ya muqawama, ni umoja

    May 27, 2021 06:52

    Msaidizi Maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) katika masuala ya kimataifa amesisitiza kuwa, siri ya ushindi wa mfululizo wa kambi ya muqawama ni umoja na mshikamano wake.

  • Kufika ukingoni subira ya makundi ya muqawama ya Iraq kuhusu wanajeshi wa Marekani

    Kufika ukingoni subira ya makundi ya muqawama ya Iraq kuhusu wanajeshi wa Marekani

    May 24, 2021 21:47

    Kituo cha Uratibu wa Makundi ya Muqawama ya Iraq kimetoa taarifa kikisema muhula waliokuwa wamepewa askari vamizi wa Marekani kuondoka Iraq umefika ukingoni na sambamba na hilo kumeshadidishwa oparesheni dhidi ya maeneo waliko magaidi hao wa Marekani nchini Iraq.

  • Wazayuni wakiri kipigo, wameshapata hasara ya dola milioni 160 kwa mashambulio ya muqawama

    Wazayuni wakiri kipigo, wameshapata hasara ya dola milioni 160 kwa mashambulio ya muqawama

    May 13, 2021 07:23

    Chama cha Wazalishaji Bidhaa cha utawala wa Kizayuni kimetangaza kuwa, tangu yalipoanza mashambulizi ya makombora wanamapambano wa Palestina siku chache zilizopita hadi hivi sasa, sekta ya uzalishaji bidhaa ya Israel imeshapata hasara ya dola miliioni 160.

  • Pigo la kiusalama kwa Israel, ngao yake ya makombora ya 'Kuba la Chuma'  yafeli

    Pigo la kiusalama kwa Israel, ngao yake ya makombora ya 'Kuba la Chuma' yafeli

    Apr 25, 2021 21:58

    Katika siku za Jumatano na Alkhamisi wiki iliyopita, kulijiri matukio mawili ya kiusalama katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimpeachikwa jina bandia la Israel. Matukio hayo yaliweka wazi udhaifu mkubwa wa kiusalama, kijeshi, na kijasusi wa utawala wa wa Kizayuni wa Israel.

  • Makundi ya muqawama ya Palestina: Quds na msikiti wa Al Aqsa ni mstari mwekundu

    Makundi ya muqawama ya Palestina: Quds na msikiti wa Al Aqsa ni mstari mwekundu

    Apr 24, 2021 08:36

    Kitengo cha pamoja cha makundi ya muqawama ya Palestina kimetangaza kuwa, Quds na msikiti wa Al Aqsa ni mstari mwekundu; na uamuzi wa mwisho kuhusu matukufu mawili hayo utaamuliwa na muqawama.

  • Katibu Mkuu wa Hizbullah: Marekani imo katika awamu ya kwanza ya kuporomoka

    Katibu Mkuu wa Hizbullah: Marekani imo katika awamu ya kwanza ya kuporomoka

    Apr 01, 2021 02:05

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani si ile ya miaka iliyopita na kwa sasa imo katika awamu ya kwanza ya kusambaratika, na kwamba Israel, sawa kabisa na bwana wake, inaelekea kusambaratika na kutoweka.

  • Makundi ya muqawama Iraq yaapa kujibu chokochoko mpya za Marekani

    Makundi ya muqawama Iraq yaapa kujibu chokochoko mpya za Marekani

    Feb 27, 2021 08:33

    Harakati za muqawama za Iraq zimelaani vikali mashambulizi ya anga ya jeshi la Marekani yaliyolenga kambi za makundi hayo ya kupambana na ugaidi katika mpaka wa Iraq na Syria, na kusisitiza kuwa, chokochoko hizo mpya za Washington hazitapita bila kupewa jibu kali.

  • Maulamaa wa Muqawama: Ushindi katika kuikomboa Quds hauna shaka

    Maulamaa wa Muqawama: Ushindi katika kuikomboa Quds hauna shaka

    Feb 25, 2021 04:07

    Mkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama amesisitiza kuwa, kwa kudumisha Waislamu umoja na mshikamano, mapamban ya kuuikomboa Baytul- Muqaddas yatapa ushindi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS