-
Vikao 400 vya Qur'ani Tukufu kote Iran
Jun 12, 2016 03:57Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeandaa vikao 400 maalumu vya usomaji Qur'ani kote Iran katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
-
Vikao 400 vya Qur'ani Tukufu kufanyika kote nchini Iran
Jun 11, 2016 15:30Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeandaa vikao 400 maalumu vya usomaji Qur'ani kote nchini katika mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani.
-
Wakazi wa Ukanda wa Ghaza waishukuru Iran kwa misaada katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Jun 09, 2016 14:15Wakazi wa Ukanda wa Ghaza wamewashukuru wananchi na serikali ya Iran kwa misaada ya kibinadamu wanayowapatia katika mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
-
China yawazuia tena Waislamu wa Xinjiang kufunga Saum ya Ramadhani
Jun 08, 2016 03:59Serikali ya China, kwa mara nyingine, imewaamuru wanafunzi, wafanya kazi wa umma na hata wakaazi wa kawaida katika eneo lenye Waislamu wengi la Xinjiang kutofunga Saum ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
-
Ramadhani, mwezi wa ibada na toba (1)
Jun 06, 2016 11:12Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kufika kwenye mwezi mwingine mtukufu wa Ramadhani ili tupate fursa nyingine ya kunufaika na fadhila, baraka na neema zake. Mwezi wa Ramadhani umeingia taratibu ili kutupa fursa nyingine ya kunong'ona na Mwenyezi Mungu na hivyo kutufanya tuwe karibu na neema pamoja na rehema zake zisizo na mwisho.
-
Mabasi ya London yana mabango ya 'Subhan Allah' katika Kampeni ya Mwezi wa Ramadhani
May 11, 2016 04:17Shirika moja la kutoa misaada nchini Uingereza limeanzisha kampeni ya matangazo yenye mabango ya 'Subhan Allah' kwa ajili ya kushajiisha watu watoe misaada katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.