Jan 29, 2017 03:51
Kwa mujibu wa amri iliyotiwa saini na Rais Donald Trump wa Marekani chini ya anwani ya kulinda taifa mbele ya kuingia magaidi wa kigeni katika ardhi ya Marekani, ni marufuku kutolewa viza za kuingia Marekani kwa raia wa nchi ambazo eti zina madhara kwa maslahi ya Marekani kwa kipindi cha siku 90.