Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Obama

  • Obama kuhutubia kuhusu mpango wake wa bima ya afya kwa ujira wa dola laki nne

    Obama kuhutubia kuhusu mpango wake wa bima ya afya kwa ujira wa dola laki nne

    Apr 26, 2017 07:51

    Aliyekuwa rais wa Marekani Barack Obama atapokea donge nono la fedha kwa hotuba yake ya kwanza atakayotoa kwa malipo katika mkutano wa huduma ya afya utakaofanyika mwezi Septemba mwaka huu.

  • Uungaji mkono kwa Trump waendelea kupungua licha ya madai yake dhidi ya Obama

    Uungaji mkono kwa Trump waendelea kupungua licha ya madai yake dhidi ya Obama

    Mar 21, 2017 03:16

    Taasisi ya uchunguzi wa maoni ya Gallup nchini Marekani imetangaza kuwa uungaji mkono wa wananchi kwa rais wa nchi hiyo Donald Trump unaendelea kupungua sambamba na kuendelea kuibuka kashfa zinazohusiana na sakata la kuwepo mawasiliano kati ya timu yake ya kampeni na Russia katika kipindi cha kampeni za uchaguzi uliopita na vilevile kuhusu madai yake ya kudukuliwa mazungumzo yake ya simu na mtangulizi wake Barack Obama.

  • Trump asema Obama anaongoza maandamano, uvujaji siri

    Trump asema Obama anaongoza maandamano, uvujaji siri

    Feb 28, 2017 16:12

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema mtangulizi wake, Barack Obama, ndiye binafsi anayesimamia uvujishaji wa sira za serikali na maandamano dhidi yake yanayoendelea kote katika nchi hiyo.

  • Nouri al-Maliki: Kundi la ISIS ni mzawa wa serikali ya Barack Obama

    Nouri al-Maliki: Kundi la ISIS ni mzawa wa serikali ya Barack Obama

    Jan 19, 2017 14:04

    Nouri al-Maliki, Mkuu wa Muungano wa Utawala wa sheria na makamu wa rais wa Iraq amesema kuwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh, ni mzaliwa wa serikali ya Rais Barack Obama wa Marekani anayeondoka madarakani.

  • White House yakiri, Obama ameshindwa kufunga gereza la Guantanamo

    White House yakiri, Obama ameshindwa kufunga gereza la Guantanamo

    Jan 19, 2017 02:56

    Ikulu ya Marekani White House imekiri kuwa Rais Barack Obama wa nchi hiyo ameshindwa kufunga gereza la kutisha la Guantanamo mwishoni mwa muhula wake huu wa pili kama alivyoahidi.

  • Obama aaga, asema ubaguzi dhidi ya Waislamu nchini Marekani haukubaliki

    Obama aaga, asema ubaguzi dhidi ya Waislamu nchini Marekani haukubaliki

    Jan 11, 2017 15:14

    Rais Barack Obama wa Marekani ametahadharisha kuhusu mwenendo wa kudumishwa mifarakano na ubaguzi katika nchi hiyo.

  • Trump amuonya Obama dhidi ya kuwahamisha wafungwa wa Gitmo

    Trump amuonya Obama dhidi ya kuwahamisha wafungwa wa Gitmo

    Jan 04, 2017 07:25

    Rais mteule wa Marekani Donald Trump amemuonya rais anayeondoka wa nchi hiyo Barack Obama juu ya kuwahamisha wafungwa wa jela ya Guantanamo iliyoko nchini Cuba.

  • Trump amshukuru Putin kwa kutowafukuza wanadiplomasia wa Marekani

    Trump amshukuru Putin kwa kutowafukuza wanadiplomasia wa Marekani

    Dec 31, 2016 07:02

    Donald Trump, Rais mteule wa Marekani jana Ijumaa kupitia ujumbe wa Twitter alimshukuru Rais Vladimir Putin wa Russia kwa kutolipiza kisasi kitendo cha kufukuzwa wanadiplomasia wa nchini hiyo huko Marekani ambacho kilichukuliwa na serikali ya Washington siku ya Alkhamisi, na kusema kuwa daima amekuwa akimtambua Putin kuwa ni kiongozi anayetumia busara.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia na kisingizio cha kuhujumu uchaguzi wa rais wa nchi hiyo

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia na kisingizio cha kuhujumu uchaguzi wa rais wa nchi hiyo

    Dec 30, 2016 15:22

    Serikali ya Marekani imewafukuza wanadiplomasia 35 wa Russia na kuzidisha vikwazo dhidi ya nchi hiyo kwa kisingizio kwamba Moscow iliingilia zoezi la uchaguzi wa rais wa Marekani.

  • Kushadidi vita vya maneno baina ya Donald Trump na Rais Obama

    Kushadidi vita vya maneno baina ya Donald Trump na Rais Obama

    Dec 29, 2016 11:03

    Sambamba na kukaribia siku ya kuapishwa rais mpya wa Marekani yaani tarehe 20 ya mwezi ujao wa Januari kumeshadidi vita vya maneno baina ya Donald Trump Rais mteule wa Marekani na Barack Obama rais wa nchi hiyo anayemaliza muda wake wa uongozi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS