-
Sheikh Qassim: Vita vya Saif al Quds vimezidisha umoja wa wanamapambano Palestina
Jun 11, 2021 22:20Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, vita vya Saif al Quds (Panga la Quds) vimepelekea kuwepo umoja na mshikamano wa muqawama kote Palestina.
-
Hamas yapongeza mapambano ya jana ya Wapalestina dhidi ya Wazayuni huko Jenin
Jun 10, 2021 21:42Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amepongeza mapambano ya jana ya askari usalama wa Palestina dhidi ya wanajeshi wa utawala vamizi wa Israel kwenye Ukingo wa Magharibi na kuyataja kuwa ni hatua ya kishujaa.
-
Maafisa usalama 3 wa Palestina wauawa shahidi na jeshi la Israel
Jun 10, 2021 07:54Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limevamia mji wa Jenin ulioko kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuua shahidi maafisa usalama watatu wa Palestina.
-
Uungaji mkono wa nchi za Ulaya kwa utawala wa Kizayuni, wapungua
Jun 10, 2021 02:21Jinai zilizofanywa na utawala wa Kizayuni katika mashambulizi ya hivi karibuni kwenye Ukanda wa Ghaza huko Palestina zimepelekea kupungua uungaji mkono wa nchi za Ulaya kwa dola katili la Israel.
-
Israel yabomoa makumi ya nyumba za Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Jun 08, 2021 03:40Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limebomoa madazeni ya nyumba za Wapalestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Kambi ya muqawama haitaruhusu kuvunjiwa heshima al-Aqsa
Jun 07, 2021 22:17Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema wananchi wa Palestina na kambi ya muqawama katu hawataruhusu kuvunjiwa heshima Masjidul Aqsa.
-
Mwaka wa 54 wa kumbukumbu ya Siku ya Naksa; kuanzia ushindi mkabala na nchi tatu za Kiarabu hadi kushindwa katika vita vya siku 12
Jun 06, 2021 22:02Jumamosi tarehe 5 Juni ilisadifiana na maadhimisho ya mwaka wa 54 wa kumbukumbu ya Siku ya Naksa huko Palestina.
-
Maandamano ya kuunga mkono Palestina yafanyika Italia
Jun 06, 2021 08:14Watu wa Italia wameshiriki katika maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Roma kwa lengo la kutangaza uungaji mkono wao kwa taifa linalodhulumiwa la Palestina sambamba na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wapalestina milioni moja wametiwa nguvuni na Israel tangu mwaka 1967
Jun 05, 2021 22:42Jumuiya ya Mateka na Wafungwa wa Palestina imetangaza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umewatia nguvuni zaidi ya Wapalestina milioni moja tangu mwaka 1967.
-
Maelfu waandamana katika bandari ya Oakland, Marekani kuiunga mkono Palestina
Jun 05, 2021 02:28Maandamano ya maelfu ya watu ya kuiunga mkono Palestina na kuonyesha mshikamano na wananchi wa Palestina yamefanywa kwa kushirikiana na Muungano wa Wafanyakazi wa Bandari za Marekani. Maandamano hayo yamefanikiwa kuzuia meli ya utawala wa Kizayuni wa Israel kukaribia bandari hiyo.