Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Sheikh Qassim: Vita vya Saif al Quds vimezidisha umoja wa wanamapambano Palestina

    Sheikh Qassim: Vita vya Saif al Quds vimezidisha umoja wa wanamapambano Palestina

    Jun 11, 2021 22:20

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, vita vya Saif al Quds (Panga la Quds) vimepelekea kuwepo umoja na mshikamano wa muqawama kote Palestina.

  • Hamas yapongeza mapambano ya jana ya Wapalestina dhidi ya Wazayuni huko Jenin

    Hamas yapongeza mapambano ya jana ya Wapalestina dhidi ya Wazayuni huko Jenin

    Jun 10, 2021 21:42

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amepongeza mapambano ya jana ya askari usalama wa Palestina dhidi ya wanajeshi wa utawala vamizi wa Israel kwenye Ukingo wa Magharibi na kuyataja kuwa ni hatua ya kishujaa.

  • Maafisa usalama 3 wa Palestina wauawa shahidi na jeshi la Israel

    Maafisa usalama 3 wa Palestina wauawa shahidi na jeshi la Israel

    Jun 10, 2021 07:54

    Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limevamia mji wa Jenin ulioko kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuua shahidi maafisa usalama watatu wa Palestina.

  • Uungaji mkono wa nchi za Ulaya kwa utawala wa Kizayuni, wapungua

    Uungaji mkono wa nchi za Ulaya kwa utawala wa Kizayuni, wapungua

    Jun 10, 2021 02:21

    Jinai zilizofanywa na utawala wa Kizayuni katika mashambulizi ya hivi karibuni kwenye Ukanda wa Ghaza huko Palestina zimepelekea kupungua uungaji mkono wa nchi za Ulaya kwa dola katili la Israel.

  • Israel yabomoa makumi ya nyumba za Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Israel yabomoa makumi ya nyumba za Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Jun 08, 2021 03:40

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limebomoa madazeni ya nyumba za Wapalestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Kambi ya muqawama haitaruhusu kuvunjiwa heshima al-Aqsa

    Kambi ya muqawama haitaruhusu kuvunjiwa heshima al-Aqsa

    Jun 07, 2021 22:17

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema wananchi wa Palestina na kambi ya muqawama katu hawataruhusu kuvunjiwa heshima Masjidul Aqsa.

  • Mwaka wa 54 wa kumbukumbu ya Siku ya Naksa; kuanzia ushindi mkabala na nchi tatu za Kiarabu hadi kushindwa katika vita vya siku 12

    Mwaka wa 54 wa kumbukumbu ya Siku ya Naksa; kuanzia ushindi mkabala na nchi tatu za Kiarabu hadi kushindwa katika vita vya siku 12

    Jun 06, 2021 22:02

    Jumamosi tarehe 5 Juni ilisadifiana na maadhimisho ya mwaka wa 54 wa kumbukumbu ya Siku ya Naksa huko Palestina.

  • Maandamano ya kuunga mkono Palestina yafanyika Italia

    Maandamano ya kuunga mkono Palestina yafanyika Italia

    Jun 06, 2021 08:14

    Watu wa Italia wameshiriki katika maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Roma kwa lengo la kutangaza uungaji mkono wao kwa taifa linalodhulumiwa la Palestina sambamba na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wapalestina milioni moja wametiwa nguvuni na Israel tangu mwaka 1967

    Wapalestina milioni moja wametiwa nguvuni na Israel tangu mwaka 1967

    Jun 05, 2021 22:42

    Jumuiya ya Mateka na Wafungwa wa Palestina imetangaza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umewatia nguvuni zaidi ya Wapalestina milioni moja tangu mwaka 1967.

  • Maelfu waandamana katika bandari ya Oakland, Marekani kuiunga mkono Palestina

    Maelfu waandamana katika bandari ya Oakland, Marekani kuiunga mkono Palestina

    Jun 05, 2021 02:28

    Maandamano ya maelfu ya watu ya kuiunga mkono Palestina na kuonyesha mshikamano na wananchi wa Palestina yamefanywa kwa kushirikiana na Muungano wa Wafanyakazi wa Bandari za Marekani. Maandamano hayo yamefanikiwa kuzuia meli ya utawala wa Kizayuni wa Israel kukaribia bandari hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS