Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Jihad Islami: Kuondolewa Netanyahu madarakani ni miongoni mwa mafanikio ya operesheni ya

    Jihad Islami: Kuondolewa Netanyahu madarakani ni miongoni mwa mafanikio ya operesheni ya "Panga la Quds"

    Jun 04, 2021 22:01

    Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetangaza kuwa moja kati ya matunda ya opesheni ya "Panga la Quds" ni kuondolewa madarakani Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel, Benjamin Netanyahu.

  • UN: Israel ikome kuyasaidia magenge ya Wazayuni wenye silaha dhidi ya Wapalestina

    UN: Israel ikome kuyasaidia magenge ya Wazayuni wenye silaha dhidi ya Wapalestina

    Jun 03, 2021 06:51

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya jamii za waliowachache ameitaka Israel ikome kuyasaidia magenge yenye silaha dhidi ya Wapalestina wanaoishi katika ardhi zilizokaliwa kwa mabavu mwaka 1848.

  • Serikali ya Paestina yataka kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi unaofanywa na Israel

    Serikali ya Paestina yataka kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi unaofanywa na Israel

    Jun 02, 2021 23:20

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutekeleza majukumu yao mkabala na jinai za kila siku zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel za kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina.

  • HAMAS: Mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza unaelekea kuvunjika

    HAMAS: Mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza unaelekea kuvunjika

    Jun 01, 2021 03:26

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema wananchi wa Palestina wamekaribia sana kuuvunja mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza uliowekwa na utawala wa Kizayuni tokea mwaka 2007.

  • Wapalestina waandamana Ghaza wakitaka kufukuzwa Mkurugenzi wa UNRWA

    Wapalestina waandamana Ghaza wakitaka kufukuzwa Mkurugenzi wa UNRWA

    May 31, 2021 22:21

    Maelfu ya raia wa Palestina jana waliandamana katika Ukanda wa Ghaza wakitaka kufukuzwa katika eneo hilo Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada ya Kibinadamu kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA).

  • Meli ya Israel yazuiwa kutia nanga nchini Marekani kutokana na jinai za Wazayuni

    Meli ya Israel yazuiwa kutia nanga nchini Marekani kutokana na jinai za Wazayuni

    May 31, 2021 02:52

    Vyama kadhaa vya ushirika vya Marekani vimeizuia meli ya utawala wa Kizayuni isitie nanga katika bandari moja ya Auckland nchini Marekani kutokana na jinai kubwa zilizofanywa na Israel dhidi ya watoto wa Palestina.

  • Brigedia Jenerali Qaani: Wazayuni waondoke mara moja katika ardhi za Wapalestina

    Brigedia Jenerali Qaani: Wazayuni waondoke mara moja katika ardhi za Wapalestina

    May 29, 2021 08:02

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema wakati umefika kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuondoka katika ardhi za Wapalestina unaozikalia kwa mabavu haraka iwezekanavyo.

  • Maafisa usalama wa Misri wawasili katika Ukanda wa Ghaza, Palestina

    Maafisa usalama wa Misri wawasili katika Ukanda wa Ghaza, Palestina

    May 29, 2021 05:10

    Duru za habari zimetangaza kuwa ujumbe maalumu wa maafisa usalama wa Misri umewasili katika Ukanda wa Ghaza huko Palestina kwa ajili ya kufanya mazungumzo na wakuu wa makundi ya muqawama.

  • Waindonesia waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa Israel

    Waindonesia waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa Israel

    May 28, 2021 08:01

    Wananchi wa Indonesia wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Marekani na ofisi za Umoja wa Mataifa jijini Jakarta kulalamikia na kulaani uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za utawala haramu wa Israel.

  • Leo Wapalestina wanafanya maandamano makubwa ya kupinga Uzayuni

    Leo Wapalestina wanafanya maandamano makubwa ya kupinga Uzayuni

    May 27, 2021 22:11

    Vijana wa Palestina wametangaza kuwa, leo Ijumaa watafanya maandamano makubwa katika kona zote za Palestina, maandamano ambayo yatapewa jina la "Mapambazuko."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS