Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Mataifa ya Kiafrika yalaani uvamizi wa Wazayuni dhidi ya Masjidul-Aqswa

    Mataifa ya Kiafrika yalaani uvamizi wa Wazayuni dhidi ya Masjidul-Aqswa

    May 10, 2021 03:19

    Mataifa ya Kiislamu barani Afrika yametoa taarifa ya kulaani hujuma na uvamizi wa jeshi la utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa, kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Mustafa al-Kadhimi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaiunga mkono serikali ya Iraq

    Mustafa al-Kadhimi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaiunga mkono serikali ya Iraq

    May 10, 2021 03:19

    Mustafa al-Kadhimi, Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, Wairani ni watu wa kutazama mambo kwa uhalisia wake na kwamba, juhudi zao zinalenga kuiunga mkono serikali ya Baghdad na wala hazina nia ya kuidhoofisha.

  • Sababu za kuzuka mapigano mapya kati ya Israel na Wapalestina katika mji wa Quds

    Sababu za kuzuka mapigano mapya kati ya Israel na Wapalestina katika mji wa Quds

    May 09, 2021 04:46

    Ijumaa iliyopita tarehe 7 Mei askari wa utawala haramu wa Israel walivamia msikiti mtakatifu wa al-Asqa na kuwapiga kikatili Wapalestina waliokuwa wanatekeleza ibada zao katika msikiti huo. Shirika la Hilali Nyekundu ya Palestina limesema Wapalestina wasiopungua 205 wamejeruhiwa katika hujuma hiyo.

  • Palestina yataka kuitisha mikutano ya kimataifa kujadili uhalifu wa Israel huko Quds

    Palestina yataka kuitisha mikutano ya kimataifa kujadili uhalifu wa Israel huko Quds

    May 08, 2021 21:44

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetoa wito wa kuitisha mikutano ya dharura ya kimataifa ili kujadili uhalifu unaoendelea kufanywa na utawala ghasibu wa Israel katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Mustakbali bora wa Palestina utapatikana kwa muqawama na uungaji mkono wa wote

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Mustakbali bora wa Palestina utapatikana kwa muqawama na uungaji mkono wa wote

    May 08, 2021 04:48

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Wazayuni wanaoikalia kwa mabavu Palestina, wameigeuza nchi hiyo kuwa kambi ya kigaidi tangu siku kwanza kabisa ya kuanza kuikalia kwa mabavu.

  • Nchi tano za Ulaya zaitaka Israel isimamishe ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Nchi tano za Ulaya zaitaka Israel isimamishe ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    May 07, 2021 11:18

    Ufaransa, Ujerumani, Italia, Uhispania na Uingereza zimeutaka utawala haramu wa Kizayuni wa Israel usimamishe ujenzi wa vitongoji katika ardhi unazozikalia kwa mabavu za Palestina.

  • Profesa wa Chuo Kikuu China: Iran ni moja ya nchi chache duniani zinazothubutu kuiambia Marekani

    Profesa wa Chuo Kikuu China: Iran ni moja ya nchi chache duniani zinazothubutu kuiambia Marekani "hapana"

    May 07, 2021 10:59

    Mhadhiri wa chuo kikuu nchini China amesema, umoja na irada ya mataifa mawili ya China na Iran ya kusimama imara kukabiliana na uchu wa Marekani na utawala wa Kizayuni ni ya kupigiwa mfano.

  • Nukta za kipekee za Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka 2021

    Nukta za kipekee za Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka 2021

    May 06, 2021 21:49

    Siku ya Kimataifa ya Quds katika mwaka huu wa 2021 imewadia wakati ambao kunashuhudiwa matukio muhimu katika medani za kisiasa za muqawama au mapambano ya Kiislamu kwa upande mmoja na mikakati ya kuanzishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel katika upande wa pili.

  • Mapambano yamezuia kusahaulika kadhia ya Quds

    Mapambano yamezuia kusahaulika kadhia ya Quds

    May 05, 2021 07:09

    Mkuu wa Kongamano la Pili la Kimataifa la Quds Tukufu amesema Marekani ilijaribu kusambaratisha kadhia ya ukombozi wa Quds (Jerusalem) kupitia njama mpya katika eneo lakini imefeli kutokana na kuwepo mhimili wa muqawama au mapambano ya Kiislamu.

  • Abdollahian: Iran ina stratejia maalumu ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Abdollahian: Iran ina stratejia maalumu ya kuwaunga mkono Wapalestina

    May 05, 2021 03:02

    Mshauri maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema Iran ina stratejia maalumu, thabiti na kabambe ya kuwaunga mkono na kuwasaidia wananchi wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS