-
Kiongozi Muadhamu apongeza mwamko, kusimama kidete na azma ya taifa la Palestina
May 12, 2021 05:27Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei alasiri ya jana alihutubia mkutano wa wawakilishi wa jumuiya na asasi za wanachuo nchini uliofanyika kwa njia ya intaneti na kuelezea masikitiko yake makubwa kutokana na matukio mawili machungu mno ya umwagaji damu yaliyotokea karibuni katika Ulimwengu wa Kiislamu, huko Afghanistan na Palestina na kulaani jinai zilizofanyika katika nchi hizo.
-
Ayatullah Sistani ataka mataifa huru duniani yaunge mkono taifa la Palestina
May 12, 2021 03:13Marjaa mkuu wa Kishia nchini Iraq kwa mara nyingine tena ametangaza uungaji mkono wake kwa 'mapambano ya kishujaa ya taifa lenye heshima la Palestina' katika kukabiliana na Wazayuni maghasibu na kutoa wito kwa mataifa yote huru duniani kuwaunga mkono Wapalestina.
-
The Guardian: Tunajuta kuunga mkono kuundwa utawala wa kizayuni wa Israel
May 11, 2021 20:24Gazeti la The Guardian la Uingereza limeandika makala kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 200 tangu gazeti hilo linzishwe na limeeleza majuto yake kwa kuunga mkono suala la kuanzishwa utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi ya Paletina.
-
Wanachuo wakusanyika mjini Tehran kulaani jinai za Wazayuni Ukanda wa Ghaza
May 11, 2021 03:15Kundi la wanafunzi wa Iran na wa kigeni wa Chuo Kikuu cha Tehran wamekusanyika mbele ya ofisi ya Umoja wa Mataifa hapa Tehran, kulaani jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza.
-
Wapalestina wa Quds wawashukuru wenzao wa Ghaza kwa kuwapiga wanajeshi Wazayuni kwa makombora
May 11, 2021 03:12Wapalestina wa mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni wamefanya maandamano ya kutangaza kufurahishwa kwao na Wapalestina wenzao wa Ghaza kwa kuguswa na hali yao na kujibu jinai za Wazayuni huko Quds kwa kushambulia kwa makombora maeneo ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni.
-
Algeria yalitaka Baraza la Usalama la UN kuwahami Wapalestina katika Msikiti wa al Aqsa
May 10, 2021 08:05Wizara ya Mambo Nchi za Nje ya Algeria imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liwahami na kuwalinda Wapalestina wanaofanya itikafu ndani ya Msikiti wa al Aqsa.
-
Hamas: Kuichezea Quds ni moto utakaowachoma viongozi wa Israel
May 10, 2021 06:37Naibu Mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unacheza na moto kwa kuendelea kuhujumu Baitul Muqaddas na kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
Mataifa ya Kiafrika yalaani uvamizi wa Wazayuni dhidi ya Masjidul-Aqswa
May 10, 2021 03:19Mataifa ya Kiislamu barani Afrika yametoa taarifa ya kulaani hujuma na uvamizi wa jeshi la utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa, kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
Mustafa al-Kadhimi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaiunga mkono serikali ya Iraq
May 10, 2021 03:19Mustafa al-Kadhimi, Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, Wairani ni watu wa kutazama mambo kwa uhalisia wake na kwamba, juhudi zao zinalenga kuiunga mkono serikali ya Baghdad na wala hazina nia ya kuidhoofisha.
-
Sababu za kuzuka mapigano mapya kati ya Israel na Wapalestina katika mji wa Quds
May 09, 2021 04:46Ijumaa iliyopita tarehe 7 Mei askari wa utawala haramu wa Israel walivamia msikiti mtakatifu wa al-Asqa na kuwapiga kikatili Wapalestina waliokuwa wanatekeleza ibada zao katika msikiti huo. Shirika la Hilali Nyekundu ya Palestina limesema Wapalestina wasiopungua 205 wamejeruhiwa katika hujuma hiyo.