-
Utawala wa Kizayuni waendelea kufanya wizi katika ardhi za Wapalestina
Apr 24, 2021 03:01Chombo kimoja cha Palestina kimelalamikia vikali jinai ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuendelea kupora ardhi za Wapalestina hususan katika mji wa Quds Mashariki.
-
Ismail Hania: Quds haitasalimu amri katika vita vya utambulisho mbele ya Wazayuni
Apr 23, 2021 07:34Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, Quds haitasalimu amri katika vita vya utambulisho mbele ya utawala haramu wa Israel na siasa zake za ubaguzi.
-
‘Quds’, mhimili mkuu katika uchaguzi wa Bunge la Palestina
Apr 23, 2021 05:38Utawala wa Kizayuni wa Israel unajaribu kuvuruga mchakato wa uchaguzi wa Bunge la Palestina katika mji wa Quds (Jerusalem) hatua ambayo imekabiliwa na tahadhari kutoka kwa makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina.
-
Israel yaishambulia Syria baada ya hujuma karibu na kituo cha nyuklia cha Dimona
Apr 22, 2021 06:42Jeshi la Anga la Syria limetungua makombora ya utawala haramu wa Israel ambayo yalikuwa yamelenga eneo moja la Damascus.
-
Arab League: Maazimio ya Baraza la Usalama la UN kuhusu ulazima kuondoka maghasibu huko Palestina yatekelezwe
Apr 20, 2021 21:59Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amesisitiza udharura wa kutekelezwa maazimio yote ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa yanayotaka kukomeshwa uvamizi wa Israel na kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina.
-
Mufti wa Quds ataka kuchukuliwa hatua za kukabiliana na hujuma dhidi ya Masjdul-Aqswa
Apr 15, 2021 03:49Mufti wa Quds na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amewataka viongozi wa mataifa ya Kiarabu, ya Kiislamu na wananchi wa mataifa hayo kuchukua hatua za haraka za kusitisha hujuma za utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa.
-
Wapalestina wakasirishwa na kitendo chha Wazayuni cha kuzuia adhana kwa kutumia vipaza sauti
Apr 14, 2021 06:59Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimelaani vikali hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukata nyaya za vipaza sauti katika Msikiti wa al-Aqswa na kuzuia kuadhiniwa kwa kutumia vipaza sauti.
-
Amnesty: Israel inazuia kupelekwa chanjo ya corona kwa Wapalestina
Apr 07, 2021 22:40Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, hatua za kihasama za utawala wa Israel zinazuia operesheni ya kutumwa chanjo ya virusi vya corona huko Palestina.
-
Askari wa Israel wamuua shahidi dereva wa Kipalestina Ukingo wa Magharibi
Apr 06, 2021 23:03Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemuua shahidi dereva Mpalestina kwa kumpiga risasi akiwa ndani ya gari lake katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Palestina: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu ni jinai
Apr 05, 2021 00:00Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetangaza kuwa, ujenzi wa vitongozi vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni jinai dhidi ya taifa la Palestina.