Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Iran yalaani kufunguliwa ubalozi wa Bahrain mjini Tel Aviv

    Iran yalaani kufunguliwa ubalozi wa Bahrain mjini Tel Aviv

    Apr 04, 2021 03:25

    Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, limelaani hatua ya utawala wa kifalme wa Bahrain kufungua ubalozi katika utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Katibu Mkuu wa Hizbullah: Marekani imo katika awamu ya kwanza ya kuporomoka

    Katibu Mkuu wa Hizbullah: Marekani imo katika awamu ya kwanza ya kuporomoka

    Apr 01, 2021 02:05

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani si ile ya miaka iliyopita na kwa sasa imo katika awamu ya kwanza ya kusambaratika, na kwamba Israel, sawa kabisa na bwana wake, inaelekea kusambaratika na kutoweka.

  • Morocco yakandamiza maandamano ya kuliunga mkono taifa la Palestina

    Morocco yakandamiza maandamano ya kuliunga mkono taifa la Palestina

    Mar 31, 2021 21:45

    Serikali ya Morocco imekandamiza maandamano ya wananchi wa nchi hiyo kuliunga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina, ikiwa ni hatua ya kwanza kabisa ya kuzuia kulaaniwa utawala wa Kizayuni nchini humo tangu Rabbat ilipotangaza uhusiano wa kawaida na Israel.

  • Watunisia waungana na Wapalestina kuadhimisha Siku ya Ardhi na kulaani kuanzisha uhusiano na  Israel

    Watunisia waungana na Wapalestina kuadhimisha Siku ya Ardhi na kulaani kuanzisha uhusiano na Israel

    Mar 31, 2021 07:19

    Jumuiya na makundi mbali mbali ya kisiasa na kiraia nchini Tunisia yameadhimisha Siku ya Ardhi ya Palestina na kulaani juhudi na hatua zozote zile za kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Kwa mara ya kwanza katika ulimwengu wa Kiarabu; Bahrain imejizuia kulaani ukandamizaji wanaofanyiwa Wapalestina

    Kwa mara ya kwanza katika ulimwengu wa Kiarabu; Bahrain imejizuia kulaani ukandamizaji wanaofanyiwa Wapalestina

    Mar 24, 2021 22:03

    Mwakilishi wa serikali ya Bahrain katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa amejizuia kulaani ukiukaji wa haki za binadamu na ukandamizaji unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Uafriti wa Israel wa kutaka kuvuruga uchaguzi wa Palestina

    Uafriti wa Israel wa kutaka kuvuruga uchaguzi wa Palestina

    Mar 22, 2021 22:14

    Mkuu wa shirika la usalama wa ndani la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Shin Bet amemtaka Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina aghairishe uchaguzi wa Palestina ikiwa harakati ya Hamas itashiriki katika uchaguzi huo.

  • Badran: Israel inaogopa ushindi wa Hamas katika uchaguzi ujao

    Badran: Israel inaogopa ushindi wa Hamas katika uchaguzi ujao

    Mar 21, 2021 04:12

    Mwanachama mwandamizi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umeingiwa na kiwewe na wahaka mkubwa ukifahamu vyema kuwa harakati hiyo ya muqawama itaibuka mshindi katika uchaguzi ujao wa Palestina hususan katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Makundi ya Palestina yasisitiza kufanyika uchaguzi na kuunda chombo kimoja cha uongozi

    Makundi ya Palestina yasisitiza kufanyika uchaguzi na kuunda chombo kimoja cha uongozi

    Mar 18, 2021 23:14

    Makundi ya Palestina yametoa taarifa mwishoni mwa kikao chao huko Cairo mji mkuu wa Misri yakikisisitizia kufanyika uchaguzi na kuunda chombo kimoja cha uongozi.

  • Wanamuqawama watungua 'drone' ya kijasusi ya Israel huko Gaza

    Wanamuqawama watungua 'drone' ya kijasusi ya Israel huko Gaza

    Mar 18, 2021 05:10

    Wanamuqawama wa Palestina wamefanikiwa kutungua ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni wa Israel kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Duru ya pili ya mazungumzo ya kitaifa ya Wapalestina imeanza  Cairo, Misri

    Duru ya pili ya mazungumzo ya kitaifa ya Wapalestina imeanza Cairo, Misri

    Mar 15, 2021 04:43

    Makundi ya Palestina leo Jumatatu yameanza duru yao ya pili ya mazungumzo huko Cairo mji mkuu wa Misri kuhusu suala la uchaguzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS