-
Mayahudi 300 wa Ethiopia (Mafalasha) wawasili Palestina inayokaliwa kwa mabavu na Wazayuni
Mar 12, 2021 08:33Utawala wa Kizayuni wa Israel umewahamishia katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu, Mayahudi wengine 300 wa Ethiopia ambao ni maarufu kwa jina la Mafalasha, ikiwa ni sehemu ya njama za kiuadui za Wazayuni, za kuvuruga muundo wa kijamii wa Palestina.
-
Askari wa Kizayuni wawaua shahidi Wapalestina watatu katika Ukanda wa Gaza
Mar 07, 2021 10:26Askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi wavuvi watatu Wapalestina baada ya kuifyatulia kombora boti yao ya uvuvi.
-
Jaji Mkuu Afrika Kusini atakiwa kuomba radhi kwa kutoa matamshi yanayoiunga mkono Israel
Mar 05, 2021 04:43Tume ya Mahakama za Afrika Kusini imemwamuru Jaji Mkuu wa nchi hiyo kuomba radhi na kutengua matamshi aliyotoa mwaka jana ambayo yalitambuliwa kuwa yanauunga mkono utawala ghasibu wa Isarel, katika nchi hiyo ya Kiafrika inayotetea watu wanaodhulumiwa wa Palestina.
-
ICC yaanza kuchunguza jinai za kivita za Israel huko Palestina
Mar 04, 2021 02:14Mwendesha Mashtaka wa Makakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amesema kuwa mahakama hiyo imeanza uchunguzi kuhusu jinai za kivita zilizofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina.
-
Palestina: Silaha za Israel zimetumika kuua Waislamu na wapinzani wa mapinduzi Myanmar
Mar 04, 2021 00:45Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina imeituhumu Israel kuwa inauuzia silaha utawala wa Myanmar ambazo zimetumika kuua Waislamu wa jamii ya Rohingya na vilevile kuua wapinzani wa mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini humo, licha ya marufuku ya kimataifa ya kuiuzia silaha nchi hiyo.
-
Makundi ya Kipalestina yasisitiza kufanyika duru ya pili ya mazungumzo ya kitaifa huko Cairo
Mar 03, 2021 04:31Makundi ya Kipalestina yamesisitiza juu ya udharura wa kufanyika duru ya pili ya mazungumzo ya kitaifa huko Cairo, Misri kama ilivyopangwa.
-
Wanachuo wa Mauritania wapinga upenyaji wa Wazayuni katika nchi yao
Feb 27, 2021 23:50Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia nchini Mauritania wametangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina na kupinga vikali upenyaji na ushawishi wa Wazayuni katika nchi hiyo.
-
HAMAS: Quds ni mji mkuu wa milele wa Palestina
Feb 23, 2021 23:12Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesisitiza kuwa, siasa za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuiyahudisha Quds zimeshindwa na kugonga mwamba na kwamba, Quds utabakia kuwa mji mkuu wa milele wa Palestina.
-
Vipengele vya "Hati ya Heshima ya Palestina" kwa ajili ya kukabiliana na mapatano ya kuanzisha uhusiano rasmi na Israel
Feb 22, 2021 09:07Makundi ya Kipalestina, jana Jumapili Februari 21 yalikutana Ukanda wa Gaza na kusaini "Hati ya Heshima ya Palestina" katika kuonyesha upinzani wao dhidi ya uanzishaji uhusiano wa kawaida wa vyombo vya habari na utawala haramu wa Kizayuni.
-
Hamas: Kubadilishana mateka, njia pekee ya Israel kuwapata mateka wake
Feb 19, 2021 03:41Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni itawapata wanajeshi wake waliotekwa nyara kupitia tu mpango wa kubadilishana mateka.