Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Jordan yatahadharisha kuhusu mapigano iwapo Israel itateka maeneo ya  Ukingo wa Magharibi

    Jordan yatahadharisha kuhusu mapigano iwapo Israel itateka maeneo ya Ukingo wa Magharibi

    May 16, 2020 03:28

    Mfalme Abdullah wa Pili wa Jordan ameutahadharisha utawala wa Israel kuwa utaraji mapigano makubwa iwapo utasonga mbele na mpango wake wa kuteka zaidi ardhi za Palestina katika Ukingo wa Magharibi na Bonde la Jordan.

  • Ofisi ya Sheikh Zakzaky: Israel ni COVID ya mwaka 1948

    Ofisi ya Sheikh Zakzaky: Israel ni COVID ya mwaka 1948

    May 15, 2020 22:34

    Ofisi ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetoa ujumbe kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuasisiwa utawala pandikizi wa Kizayuni uliopachikwa jina bandia katika ardhi walizoporwa Wapalestina na kusema kuwa, Israel ni "COVID-1948."

  • Jihadul Islami: Haki ya taifa la Palestina si ya kupigwa mnada

    Jihadul Islami: Haki ya taifa la Palestina si ya kupigwa mnada

    May 15, 2020 21:59

    Harakati ya Muqawama ya Jihadul-Islami ya Palestina imesema kwamba, haki ya taifa la Palestina si ya kupigwa mnada wala kutolewa zawadi na kwamba na njia pekee ya kufikia usalama, ni kuondoka wavamizi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina.

  • Wapalestina wakusanyika Nablus, Ufukwe wa Magharibi kupinga safari ya Pompeo

    Wapalestina wakusanyika Nablus, Ufukwe wa Magharibi kupinga safari ya Pompeo

    May 15, 2020 03:40

    Wananchi wa Palestina wamekusanyika katika mji wa Nablus ulioko kaskazini mwa Ufukwe wa Magharibu wa Mto Jordan kupinga safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo katika ardhi zao zinazokaliwa kwa mabavu zilizopewa jina la 'Israel'.

  • Rouhani: Jamii ya kimataifa inapaswa kukomesha jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Rouhani: Jamii ya kimataifa inapaswa kukomesha jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    May 14, 2020 19:59

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jamii ya kimataifa ina wajibu wa kuchukua hatua za kivitendo za kukomesha jinai dhidi ya binadamu, ukandamizaji na dhulma wanazofanyiwa Wapalestina na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Amnesty yaikosoa Marekani kwa kuungo mkono uporaji wa ardhi za Wapalestina

    Amnesty yaikosoa Marekani kwa kuungo mkono uporaji wa ardhi za Wapalestina

    May 14, 2020 19:58

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuunga mkono uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa kulinyakua eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuliunganisha na ardhi zingine unazozikalia kwa mabavu za Palestina (Israel).

  • Sayyid Nasrullah: Utawala wa Kizayuni umejiingiza kwenye vita vya kwenye ndoto na Iran

    Sayyid Nasrullah: Utawala wa Kizayuni umejiingiza kwenye vita vya kwenye ndoto na Iran

    May 14, 2020 03:28

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, washauri wa Kiirani walioko nchini Syria si wanajeshi na kwamba utawala wa Kizayuni umejiingiza kwenye vita vya kwenye ndogo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Ziara ya Pompeo katika ardhi za Palestina na malengo yake kadhaa

    Ziara ya Pompeo katika ardhi za Palestina na malengo yake kadhaa

    May 13, 2020 23:20

    Uhusiano wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel umepanuka sana kwa namna ambayo haijawahi kutokea katika wakati huu wa urais wa Donald Trump huko Marekani ambaye amechukua hatua nyingi za kutekeleza kivitendo matakwa haramu ya 'Israel.'

  • Vyama vya siasa na mashirika ya Norway yataka kuhitimishwa mzingiro wa Gaza

    Vyama vya siasa na mashirika ya Norway yataka kuhitimishwa mzingiro wa Gaza

    May 10, 2020 19:53

    Vyama vya kisiasa na mashirika 58 ya Norway yametoa mwito wa kufutwa haraka mzingiro wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza, hususan katika kipindi hiki cha janga la corona.

  • Haniyah: Kuufanya wa kawaida uhusiano na Israel ni kosa lisilosameheka

    Haniyah: Kuufanya wa kawaida uhusiano na Israel ni kosa lisilosameheka

    May 09, 2020 08:03

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema njama zozote zinazolenga kuufanya wa kawaida uhusiano baina ya mataifa ya Kiarabu na utawala haramu wa Israel ni kosa ambalo halina msahama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS