Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Biden: Si sahihi kuiruhusu Israel iuteke Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    Biden: Si sahihi kuiruhusu Israel iuteke Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    May 07, 2020 08:47

    Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrats amesema kuwa, si sahihi kuiruhusu Israel iuteke Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuuingiza katika ardhi nyingine za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni zilizopachikwa jina bandia la Israel.

  • HAMAS yatahadharisha kuhusu njama za kuiyahudisha Palestina

    HAMAS yatahadharisha kuhusu njama za kuiyahudisha Palestina

    May 07, 2020 03:23

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeutaja mpango wa kuunganisha Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) kama njama hatari zaidi ya kuziyahudisha ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Vyama vya Palestina na Lebanon vyatoa radiamali kufuatia hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah

    Vyama vya Palestina na Lebanon vyatoa radiamali kufuatia hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah

    May 02, 2020 06:22

    Vyama na makundi tofauti ya Lebanon, Syria na Palestina vimeitaja hatua ya Ujerumani ya kuitangaza Harakati ya Muqawama ya Lebanon Hizbullah kuwa ni kundi la kigaidi ni kusalimu amri kwa njia ya kujidhalilisha nchi hiyo ya Magharibi kwa amri za Marekani na utawala haramu wa Kizayuni.

  • Hamas yatungua 'drone' ya jeshi la Israel Ukanda wa Gaza

    Hamas yatungua 'drone' ya jeshi la Israel Ukanda wa Gaza

    Apr 28, 2020 02:44

    Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imefanikiwa kutungua ndege isiyo na rubani ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • UN yaonya kuhusu njama za Wazayuni za kuunganisha na Israel, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    UN yaonya kuhusu njama za Wazayuni za kuunganisha na Israel, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    Apr 24, 2020 02:38

    Mratibu maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Asia Magharibi ametahadharisha kuhusu siasa za kivamizi za utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina na kusema kuwa, siasa hizo ni uvunjaji wa wazi wa sheria za kimataifa.

  • Ulazima wa kuachiliwa maelfu ya mateka Wapalestina wanaoshikiliwa na utawala wa Kizayuni

    Ulazima wa kuachiliwa maelfu ya mateka Wapalestina wanaoshikiliwa na utawala wa Kizayuni

    Apr 20, 2020 03:24

    Makao makuu ya kudumu ya Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina katika Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu , Bunge la Iran, imetoa taarifa kwa mnasaba wa 'Siku ya Mateka Wapalestina', na kusisitiza ulazima wa kuachiliwa bila masharti mateka 5000 wa Palestina wanaoshikiliwa katika jela za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Bunge la Jordan: Mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya Israel waachiliwe huru

    Bunge la Jordan: Mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya Israel waachiliwe huru

    Apr 12, 2020 07:47

    Bunge la Jordan limetoa wito wa kuachiliwa huru mateka wote wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya kutisha ya utawala haramu wa Israel.

  • Hamas: Tutakubali kubadilishana wafungwa na Israel kwa masharti

    Hamas: Tutakubali kubadilishana wafungwa na Israel kwa masharti

    Apr 09, 2020 03:51

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema harakati hiyo imeazimia kuhakikisha kuwa wafungwa wa Kipalestina walioko katika jela za Israel wanaachiwa huru katika mpango wa kubadilishana wafungwa na utawala huo wa Kizayuni.

  • Arab League yatahadharisha kuhusu hatari ya corona kwa wafungwa wa Kipalestina huko Israel

    Arab League yatahadharisha kuhusu hatari ya corona kwa wafungwa wa Kipalestina huko Israel

    Apr 06, 2020 22:20

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetahadharisha kuhusu hatari kubwa inayotishia uhai wa wafungwa karibu elfu tano wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika korokoro za utawala haramu wa Israel kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.

  • Tunisia yasema iko tayari kuisaidia Palestina kukabiliana na Corona

    Tunisia yasema iko tayari kuisaidia Palestina kukabiliana na Corona

    Mar 28, 2020 07:17

    Serikali ya Tunisia imetangaza uungaji mkono wake kwa raia wa Palestina katika kukabiliana na virusi vya Corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS