Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qarebagh

  • Mousavi: Iran ina hamu ya kuona utulivu na amani inatawala katika eneo hili zima

    Mousavi: Iran ina hamu ya kuona utulivu na amani inatawala katika eneo hili zima

    Nov 24, 2020 07:18

    Msemaji wa zamani wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye sasa ni balozi wa Iran nchini Azerbaijan amesema kuwa, Tehran ina hamu ya kuona utulivu na amani ya kudumu inapatikana katika eneo hili zima.

  • Mambo yasiyo na uwazi katika mpango wa amani wa Russia kuhusu mgogoro wa Karabakh

    Mambo yasiyo na uwazi katika mpango wa amani wa Russia kuhusu mgogoro wa Karabakh

    Nov 16, 2020 10:19

    Mambo ya kutiliwa shaka na yasiyofahamika vizuri katika mkataba wa amani wa Russia kuhusu mgogoro wa Azerbaijan na Armenia juu ya eneo la Nagorno Karabakh, yamenyamaziwa kimya na viongozi wa Azerbaijan na Uturuki.

  • Vikosi vya kulinda amani vya Russia vyawasili katika eneo la Nagorno-Karabakh

    Vikosi vya kulinda amani vya Russia vyawasili katika eneo la Nagorno-Karabakh

    Nov 13, 2020 07:46

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa vikosi vya kulinda amani vya nchi hiyo vimeshawasili katika eneo la Nagorno-Karabakh.

  • Onyo la Lavrov kuhusu uwepo wa mamluki 2000 wa kitakfiri huko Karabakh

    Onyo la Lavrov kuhusu uwepo wa mamluki 2000 wa kitakfiri huko Karabakh

    Nov 05, 2020 03:58

    Russia daima imekuwa ikitahadharisha kuhusu hatari ya uwepo wa makundi ya kigaidi yenye misimamo ya kupindukia mpaka katika nchi hiyo na nchi nyingine za Caucasia na Asia ya Kati na kusisitiza udharura wa kupambana na makundi hayo.

  • Kukiukwa makubaliano ya kusitisha vita ya Moscow dakika chache baada ya kutekelezwa

    Kukiukwa makubaliano ya kusitisha vita ya Moscow dakika chache baada ya kutekelezwa

    Oct 12, 2020 04:52

    Makubaliano ya kusitisha vita baina ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia yaliyofikiwa kwa upatanishi wa Russia yamekiukwa dakika 5 tu baada ya kuanza kutekelezwa.

  •  Iran yaunga mkono mapatano ya usitishwaji vita katika eneo la Nagorno-Karabakh

    Iran yaunga mkono mapatano ya usitishwaji vita katika eneo la Nagorno-Karabakh

    Oct 10, 2020 12:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekaribisha mapatano ya usitishwaji vita katika eneo la Nagorno-Karabakh.

  • Amir Abdollahian: Magenge ya kigaidi katika eneo la Karabakh ni tishio kwa usalama

    Amir Abdollahian: Magenge ya kigaidi katika eneo la Karabakh ni tishio kwa usalama

    Oct 03, 2020 02:40

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Iran (yaani Bunge) katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, vita vinavyoendelea hivi sasa kwenye eneo la Nagorno-Karabakh vinaoensha kuwa magenge ya kigaidi yanayoshiriki kwenye vita hivyo ni tishio kwa usalama na amani ya eneo hili zima.

  • Macron: Uturuki imetuma mamluki wa Kisyria kupigana Nagorno-Karabakh

    Macron: Uturuki imetuma mamluki wa Kisyria kupigana Nagorno-Karabakh

    Oct 01, 2020 11:13

    Ufaransa imeituhumu Uturuki kwamba imetuma mamluki wa Kisyria kupigana vita katika mzozo wa Nagorno-Karabakh na kusema Paris inashirikiana na Russia kwa ajili ya kusitisha mapigano kati ya majeshi ya Azerbaijan na Armenia.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS