Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Qatar: Mapatano na Saudia hayabadilishi uhusiano wetu na Iran

    Qatar: Mapatano na Saudia hayabadilishi uhusiano wetu na Iran

    Jan 07, 2021 23:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema mapatano ya nchi yake na Saudia Arabia pamoja na waitifaki wake hayatabadilisha uhusiano mzuri ulioko baina ya Qatar na nchi zingine ikiwemo Iran.

  • Kumalizika mzingiro wa Qatar, suluhu inayoyumbayumba

    Kumalizika mzingiro wa Qatar, suluhu inayoyumbayumba

    Jan 06, 2021 08:52

    Makubaliano ya kukomeshwa mzingiro wa nchi kadhaa za Kiarabu dhidi ya Qatar yametiwa saini katika kikao cha al Ula nchini Saudi Arabia bila ya kuhudhuriwa na viongozi wa nchi za Imarati, Misri, Bahrain na Oman.

  • Ansarullah: Kusalimu amri Saudia mbele ya Qatar kunaonesha uvamizi na mzingiro umefeli

    Ansarullah: Kusalimu amri Saudia mbele ya Qatar kunaonesha uvamizi na mzingiro umefeli

    Jan 06, 2021 01:11

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema hatua ya Saudi Arabia kuondoa mzingiro na kufungua tena mipaka yake ya anga, nchi kavu na baharini na Qatar inaonesha wazi kuwa sera za uvamizi na mzingiro zimefeli na kugonga mwamba.

  • Amir wa Qatar kuhudhuria mkutano wa GCC leo baada ya Saudia kuifungulia Doha mipaka yake yote

    Amir wa Qatar kuhudhuria mkutano wa GCC leo baada ya Saudia kuifungulia Doha mipaka yake yote

    Jan 05, 2021 03:43

    Qatar imethibitisha kuwa kiongozi wa nchi hiyo Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani atahudhuria mkutano wa 41 wa wakuu wa nchi wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC) unaofanyika leo katika mji wa Al-Ula nchini Saudi Arabia.

  • Qatar yaliandikia barua Baraza la Usalama ikilalamika Bahrain kuingia katika anga yake bila ruhusa

    Qatar yaliandikia barua Baraza la Usalama ikilalamika Bahrain kuingia katika anga yake bila ruhusa

    Dec 24, 2020 23:00

    Qatar imeandika barua kwa Baraza la Usalama na kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ikiwafahamisha kuhusu kitendo cha ndege nne za Bahrain cha kukiuka anga ya Qatar.

  • Bin Salman na Bin Zayed wafanya kikao cha faragha kuijadili Qatar

    Bin Salman na Bin Zayed wafanya kikao cha faragha kuijadili Qatar

    Dec 20, 2020 10:28

    Baadhi ya duru za kuaminika zimeripoti kuwa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia na mwenzake wa Imarati (UAE) wamefanya kikao cha faragha cha kuzungumzia kadhia ya Qatar.

  • Utata mwingi kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mzozo wa mataifa ya Kiarabu

    Utata mwingi kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mzozo wa mataifa ya Kiarabu

    Dec 18, 2020 23:30

    Katika kipindi cha mwezi mmoja wa hivi karibuni kumekuwa kukiripotiwa habari kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mgogoro baina ya Qatar na mataifa manne ya Kiarabu ya Saudi Arabia, Imarati, Misri na Bahrain.

  • Ugomvi baina ya nchi nne za Kiarabu na Qatar hauna dalili za kumalizika

    Ugomvi baina ya nchi nne za Kiarabu na Qatar hauna dalili za kumalizika

    Dec 10, 2020 23:25

    Ugomvi baina ya nchi nne za Kiarabu za Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri dhidi ya nchi ndogo ya Qatar hauna dalili ya kumalizika baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri kutoa matamshi makali dhidi ya siasa za mambo ya nje za Doha.

  • Rouhani: Nia ya Iran ni kuwa na uhusiano wa kiudugu na nchi za pembezoni mwa Ghuba ya Uajemi

    Rouhani: Nia ya Iran ni kuwa na uhusiano wa kiudugu na nchi za pembezoni mwa Ghuba ya Uajemi

    Nov 26, 2020 00:24

    Rais Hassan Rouhani amesema uhusiano wa Iran na Qatar ni wa kirafiki na unaendelea kustawi na akasisitiza kwamba inachotaka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kuwa na mazungumzo, maelewano na uhusiano wa kiudugu na nchi za pembezoni mwa Ghuba ya Uajemi.

  • Amir wa Qatar asisitiza kuimarishwa uhusiano na Iran

    Amir wa Qatar asisitiza kuimarishwa uhusiano na Iran

    Nov 10, 2020 01:11

    Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad al-Thani ametaka kuimarishwa uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS