-
Qatar yazitaka nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi zifanye mazungumzo na Iran
Jan 19, 2021 04:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amezitaka nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi zifanye mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Makubaliano ya AI-Ula Saudi Arabia na engo zake tofauti
Jan 08, 2021 23:09Kikao cha Baraza na Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi kilifanyika Jumanne iliyopita ya tarehe 5 Januari katika mji wa Al-Ula Saudi Arabia na kuhitimishwa mzingiro dhidi ya Qatar uliodumu kwa zaidi ya miaka mitatu.
-
Qatar: Mapatano na Saudia hayabadilishi uhusiano wetu na Iran
Jan 07, 2021 23:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema mapatano ya nchi yake na Saudia Arabia pamoja na waitifaki wake hayatabadilisha uhusiano mzuri ulioko baina ya Qatar na nchi zingine ikiwemo Iran.
-
Kumalizika mzingiro wa Qatar, suluhu inayoyumbayumba
Jan 06, 2021 08:52Makubaliano ya kukomeshwa mzingiro wa nchi kadhaa za Kiarabu dhidi ya Qatar yametiwa saini katika kikao cha al Ula nchini Saudi Arabia bila ya kuhudhuriwa na viongozi wa nchi za Imarati, Misri, Bahrain na Oman.
-
Ansarullah: Kusalimu amri Saudia mbele ya Qatar kunaonesha uvamizi na mzingiro umefeli
Jan 06, 2021 01:11Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema hatua ya Saudi Arabia kuondoa mzingiro na kufungua tena mipaka yake ya anga, nchi kavu na baharini na Qatar inaonesha wazi kuwa sera za uvamizi na mzingiro zimefeli na kugonga mwamba.
-
Amir wa Qatar kuhudhuria mkutano wa GCC leo baada ya Saudia kuifungulia Doha mipaka yake yote
Jan 05, 2021 03:43Qatar imethibitisha kuwa kiongozi wa nchi hiyo Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani atahudhuria mkutano wa 41 wa wakuu wa nchi wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC) unaofanyika leo katika mji wa Al-Ula nchini Saudi Arabia.
-
Qatar yaliandikia barua Baraza la Usalama ikilalamika Bahrain kuingia katika anga yake bila ruhusa
Dec 24, 2020 23:00Qatar imeandika barua kwa Baraza la Usalama na kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ikiwafahamisha kuhusu kitendo cha ndege nne za Bahrain cha kukiuka anga ya Qatar.
-
Bin Salman na Bin Zayed wafanya kikao cha faragha kuijadili Qatar
Dec 20, 2020 10:28Baadhi ya duru za kuaminika zimeripoti kuwa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia na mwenzake wa Imarati (UAE) wamefanya kikao cha faragha cha kuzungumzia kadhia ya Qatar.
-
Utata mwingi kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mzozo wa mataifa ya Kiarabu
Dec 18, 2020 23:30Katika kipindi cha mwezi mmoja wa hivi karibuni kumekuwa kukiripotiwa habari kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mgogoro baina ya Qatar na mataifa manne ya Kiarabu ya Saudi Arabia, Imarati, Misri na Bahrain.
-
Ugomvi baina ya nchi nne za Kiarabu na Qatar hauna dalili za kumalizika
Dec 10, 2020 23:25Ugomvi baina ya nchi nne za Kiarabu za Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri dhidi ya nchi ndogo ya Qatar hauna dalili ya kumalizika baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri kutoa matamshi makali dhidi ya siasa za mambo ya nje za Doha.