Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Hotuba ya Amir wa Qatar katika Baraza Kuu la UN; ukosoaji wa wazi wa mapatano na Israel

    Hotuba ya Amir wa Qatar katika Baraza Kuu la UN; ukosoaji wa wazi wa mapatano na Israel

    Sep 25, 2020 22:59

    Amir wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani amelaani hatua za Israel dhidi ya Palestina na akaeleza kwamba jamii ya kimataifa imeshindwa kukabiliana na "ukichwangumu" wa Israel.

  • Qatar nayo yakataa kuchukua uwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Qatar nayo yakataa kuchukua uwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Sep 25, 2020 07:47

    Serikali ya Qatar imekataa kuchukua uwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League badala ya Palestina ambayo nayo ilikataa uwenyekiti huo ikilalamikia hatua ya baadhi ya mataifa ya jumuiya hiyo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Amir wa Qatar na Mfalme wa Jordan wataka kuundwa taifa huru la Palestina

    Amir wa Qatar na Mfalme wa Jordan wataka kuundwa taifa huru la Palestina

    Sep 23, 2020 03:43

    Amir wa Qatar na Mfalme wa Jordan wamesisitiza udharura wa kuundwa taifa huru la Palestina, huku wakikosoa kimya cha jamii ya kimataifa mkabala wa ukaliaji mabavu wa ardhi za Wapalestina.

  • Abdullah Abdullah: Mazungumzo ya amani na Taliban ni magumu

    Abdullah Abdullah: Mazungumzo ya amani na Taliban ni magumu

    Sep 18, 2020 23:58

    Mkuu wa Baraza la Maslahi ya Taifa la Afghanistan amesema, mazungumzo ya amani baina ya Waafghani wanayofanya wao na kundi la Taliban ni magumu.

  • Uturuki, Qatar na Libya kushirikiana kijeshi

    Uturuki, Qatar na Libya kushirikiana kijeshi

    Aug 18, 2020 10:13

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya imesema imefikiana na Uturuki na Qatar juu ya kutia saini mkataba wa pande tatu wa ushirikiano wa kijeshi na kwamba miongoni mwa nukta muhimu za ushirikiano huo ni kujenga kituo cha kijeshi cha Uturuki katika Bandari ya Misrata nchini Libya.

  • Radiamali ya Qatar kwa njama ya Saudia ya kupanga kuishambulia kijeshi nchi hiyo

    Radiamali ya Qatar kwa njama ya Saudia ya kupanga kuishambulia kijeshi nchi hiyo

    Aug 09, 2020 23:56

    Qatar imejibu taarifa iliyofichuliwa na jarida la Foreign Policy linalochapishwa nchini Marekani kuhusu pendekeo lililotolewa na Saudi Arabia kwa Marekani la kuiomba iishambulie Qatar na kutangaza kuwa kutokanusha suala hilo kunamaanisha kuwa Saudi Arabia ilikuwa kweli na nia ya kuishambulia Qatar.

  • Qatar: Kutokanusha Saudia ni ithibati kwamba ilikuwa na mpango wa kutushambulia kijeshi

    Qatar: Kutokanusha Saudia ni ithibati kwamba ilikuwa na mpango wa kutushambulia kijeshi

    Aug 09, 2020 03:43

    Kufuatia ripoti ya jarida la Foreign Policy iliyofichua kwamba Saudi Arabia ilikuwa na mpango wa kuishambulia kijeshi Qatar, Mkuu wa ofisi ya habari katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar amesema, kutokadhibishwa habari hiyo na Saudia kunathibitisha ukweli wa suala hilo.

  • Uamuzi wa mahakama ya ICJ ni ushindi kwa Qatar na kushindwa kwingine kwa Saudia

    Uamuzi wa mahakama ya ICJ ni ushindi kwa Qatar na kushindwa kwingine kwa Saudia

    Jul 15, 2020 22:06

    Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ICJ, yenye makao makuu yake huko The Hague nchini Uholanzi imetoa hukumu kwa maslahi ya Qatar katika mzozo wa anga baina yake na nchi nyingine nne za Kiarabu.

  • Qatar: Uhurusiano wetu na Iran utaendelea kuwa mzuri licha ya mashinikizo ya Marekani

    Qatar: Uhurusiano wetu na Iran utaendelea kuwa mzuri licha ya mashinikizo ya Marekani

    Jun 26, 2020 20:02

    Balozi wa Qatar mjini Washington Marekani amesema kuwa, uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni jambo la dharura na ameituhumu Saudi Arabia na waitifaki wake kwa siasa chafu na kufanya mambo yawe mazito.

  • Sisitizo la Qatar la kufanya mazungumzo na nchi nne za Kiarabu bila ya masharti

    Sisitizo la Qatar la kufanya mazungumzo na nchi nne za Kiarabu bila ya masharti

    Jun 09, 2020 04:24

    Mwakilishi wa Qatar katika Umoja wa Mataifa amepokea vizuri juhudi za Kuwait za kujaribu kutatua mzozo uliopo baina ya Qatar na nchi nne za Kiarabu na kusisitiza kuwa, kuheshimiwa haki ya kujitawala Qatar ndilo sharti kuu la Doha la kufanya mazungumzo na nchi nne za Kiarabu za Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), Bahrain na Misri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS