Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Qatar yatoa masharti ya kushiriki kwenye mazungumzo ya kutatua mgogoro wa Ghuba ya Uajemi

    Qatar yatoa masharti ya kushiriki kwenye mazungumzo ya kutatua mgogoro wa Ghuba ya Uajemi

    Jun 08, 2020 07:39

    Mwakilishi wa Kudumu wa Qatar katika Umoja wa Mataifa amesiistiza kuwa nchi hiyo iko tayari kufanya mazungumzo kuhusu kuupatia ufumbuzi mgogoro wa eneo la Ghuba ya Uajemi kwa sharti kuwa mazungumzo hayo yawe katika fremu ya kuheshimu mamlaka ya kitaifa ya Qatar na kutoingiliwa masuala yake ya ndani.

  • Mwaka wa tatu wa mzozo baina ya nchi za Kiarabu

    Mwaka wa tatu wa mzozo baina ya nchi za Kiarabu

    Jun 05, 2020 08:17

    Ijumaa Juni tano 2020 imesadifiana na kuingia mwaka wa nne tangu uanze mgogoro baina ya nchi kadhaa za Kiarabu.

  • Rais Rouhani aitahadharisha Marekani kuhusu kutatiza meli za mafuta za Iran

    Rais Rouhani aitahadharisha Marekani kuhusu kutatiza meli za mafuta za Iran

    May 24, 2020 03:19

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria baadhi ya chokochoko za Marekani katika eneo la Bahari ya Caribbean na kusema: "Iwapo meli za mafuta za Iran zitakabliwa na tatizo lolote kutoka Marekani, basi Iran nayo itawaibulia matatizo."

  • Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Qatar wajadili matukio ya Afghanistan

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Qatar wajadili matukio ya Afghanistan

    Apr 25, 2020 21:46

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Qatar wamejadili katika mazungumzo yao kwa njia ya simu matukio ya hivi karibuni nchini Afghanistan.

  • Rouhani: Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani

    Rouhani: Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani

    Apr 25, 2020 06:05

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani na kuongeza kuwa: "Iran katu haitakuwa muanzishaji wa taharuki na mapigano katika eneo."

  • Rais Rouhani: Inapasa nchi zote zitangaze misimamo yao kuhusu hatua za kiuadui za Marekani

    Rais Rouhani: Inapasa nchi zote zitangaze misimamo yao kuhusu hatua za kiuadui za Marekani

    Apr 21, 2020 22:44

    Rais Hassan Rouhani amesema: Katika mazingira maalumu ya hivi sasa yanayotokana na kuenea virusi vya corona duniani, nchi zote zinapaswa kuwa bega kwa bega katika kupambana na kirusi hicho angamizi na kutangaza kwa uwazi kabisa misimamo yao kuhusiana na hatua za kiuadui za Marekani.

  • Kuanza tena uhusiano wa posta kati ya Misri, Saudi Arabia, Bahrain na Qatar

    Kuanza tena uhusiano wa posta kati ya Misri, Saudi Arabia, Bahrain na Qatar

    Feb 25, 2020 09:57

    Katika hatua yao mpya Misri, Saudi Arabia na Bahrain zimeamua kuanza tena kutoa huduma za posta kwa Qatar.

  • Rais wa Tunisia: Quds ni mji mkuu wa Palestina, si bidhaa ya kuuzwa

    Rais wa Tunisia: Quds ni mji mkuu wa Palestina, si bidhaa ya kuuzwa

    Feb 25, 2020 04:18

    Rais Kais Saied wa Tunisia amesema Palestina ni milki ya Wapalestina na Quds tukufu inapaswa kuwa mji mkuu wa taifa hilo la Kiarabu.

  • Mazungumzo eti ya amani kati ya Marekani na Taleban huko Qatar yavunjika

    Mazungumzo eti ya amani kati ya Marekani na Taleban huko Qatar yavunjika

    Jan 17, 2020 23:25

    Waziri wa Serikali Katika Masuala ya Afghanistan, amesema kuwa mazungumzo eti ya 'amani' kati ya Marekani na kundi la Taleban yanayofanyika nchini Qatar, yamevunjika.

  • Sababu zinazoifanya ziara ya Amir wa Qatar nchini Iran kuwa na umuhimu mkubwa

    Sababu zinazoifanya ziara ya Amir wa Qatar nchini Iran kuwa na umuhimu mkubwa

    Jan 15, 2020 02:43

    Amir wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani, Jumapili iliyopita ya tarehe 12 Januari 2020, alifanya ziara rasmi hapa mjini Tehran. Katika ziara hiyo, Sheikh Tamim alionana na viongozi wa ngazi za juu kabisa wa Iran akiwemo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei na Rais Hassan Rouhani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS