-
HAMAS yasifu msimamo wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar
Jun 11, 2017 03:33Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesifu msimamo wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar Muhammad bin Abdulrahman Al Thani wa kusisitiza kwamba Hamas ni harakati halali ya muqawama.
-
AI: Vikwazo vya Saudia na washirika wake dhidi ya Qatar vina taathira mbaya kwa raia wa Ghuba ya Uajemi
Jun 10, 2017 11:26Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limetangaza kuwa, hatua iliyochukuliwa na Saudi Arabia na washirika wake ya kuiwekea vikwazo na kuizingira Qatar ni kuchezea maisha ya maelfu ya watu wa Ghuba ya Uajemi.
-
Mgawanyiko katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu mvutano wa Qatar na Saudia
Jun 09, 2017 02:55Misimamo iliyochukuliwa na nchi wanachama katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kuhusu mivutano inayoendelea baina ya Qatar na Saudi Arabia sambamba na kudhihirisha mgawanyiko na ukosefu wa mshikamano uliopo baina ya nchi za jumuiya hiyo, vilevile umeonesha kuwa, Saudia haiungwi mkono isipokuwa na nchi ndogo na dhaifu.
-
Iran yatenga bandari tatu kuipelekea chakula Qatar
Jun 08, 2017 13:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar Muhammed bin Abdul Rahman Aal Thani amesema kuwa, Tehran imetenga bandari zake tatu kwa ajili ya kupeleka chakula nchini Qatar.
-
Saudia yaendelea kuzishawishi nchi mbalimbali kukata mahusiano yao na Qatar, mara hii ni Afrika
Jun 08, 2017 10:59Hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu zikiongozwa na Saudia ya katika kukata uhusiano na Qatar imezidi kuwa kubwa huku Riyadh ikiendelea kuzishawishi nchi za Kiafrika kujiunga nayo katika hatua hiyo.
-
Taathira za kieneo za mvutano wa Saudi Arabia na Qatar
Jun 08, 2017 10:58Mvutano katika uhusiano wa Saudi Arabia na Qatar bila shaka utakuwa na taathira kubwa hasi kwa utawala wa Riyadh katika upeo wa kieneo.
-
Mauritania nayo yakata uhusiano na Qatar, Gabon yaishutumu Doha
Jun 07, 2017 02:39Katika hatua inayoonekana ni kufuata kibubusa sera za Saudi Arabia, Mauritania imetangaza kukata uhusiano wa kidiplomasia na Qatar, siku chache baada ya nchi kadhaa za Kiarabu kuchukua hatua kama hiyo.
-
Trump aunga mkono Saudia katika mgogoro na Qatar
Jun 06, 2017 23:18Rais Donald Trump wa Marekani ameunga mkono Saudi Arabia katika mgogoro wake na Qatar na kwa njia isiyo ya moja kwa moja akaituhumu Qatari kuwa inaunga mkono ugaidi.
-
Qatar yaafiki upatanishi wa Kuwait katika mgogoro na Saudia
Jun 06, 2017 09:10Qatar imesema iko tayari kuipa Kuwait fursa kuwa mpatanishi katika mgogoro ulioibuka baada ya Saudi Arabia kuzichochea nchi kadhaa za Kiarabu kukata uhusiano na nchi hiyo.
-
Utawala wa Kizayuni waipongeza Saudia kwa kukata uhusiano na Qatar
Jun 06, 2017 03:38Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel amekaribisha hatua ya Saudi Arabia na baadhi ya nchi za Kiarabu ya kukata mahusiano yao na taifa la Qatar na kusema kuwa, hiyo ni fursa pekee kwa ajili ya Israel.