-
Iran yaendelea kufanya mashauriano kuhusu matukio yaliyojiri katika eneo
Jun 05, 2017 23:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Muhammad Javad Zarif, amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na mawaziri wa mambo ya nje wa Kuwait, Qatar, Lebanon, Algeria na Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya kuhusiana na matukio yanayoendelea kujiri katika eneo.
-
Saudia yazifunga ofisi za al-Jazirah, Qatar nayo yajibu kwa kufuta safari za ndege zake kwenda Saudia
Jun 05, 2017 11:09Serikali ya Saudia imesimamisha urushaji matangazo na kufunga ofisi za kanali ya televishani ya al-Jazira inayomilikiwa na Qatar nchini humo.
-
Qatar: Madai dhidi yetu si ya kweli na hayana msingi
Jun 05, 2017 03:15Baada ya Saudi Arabia, Misri, Imarati na Bahrain kukata uhusiano na Qatar mapema leo Jumatatu, wizara ya mambo ya nje wa Qatar imesema, imesikitishwa na hatua hiyo.
-
Saudia yatabiri kutokea mapinduzi ya kijeshi nchini Qatar
Jun 02, 2017 21:59Katika hali inayoonekana ni ya kuzidi kuvurugika uhusiano wa Saudi Arabia na Qatar, gazeti moja la Saudia linalochapishwa mjini Riyadh limetabiri kuwa, kuna uwezekano wa kutokea mapinduzi ya sita ya kijeshi nchini Qatar hasa kwa kuzingatia katika nchi hiyo ndogo ya Kiarabu kumetokea mapinduzi matano ya kijeshi katika kipindi cha baina ya mwaka 1971 na 2013.
-
Qatar: Nchi za Ghuba zinahitajia kuwa na uhusiano mzuri na Iran
May 18, 2017 03:08Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Qatar amesema kuwa, nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi zinahitajia kuwa na uhusiano mzuri na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Misri yailaumu vikali Qatar, (P) GCC yailalamikia serikali ya Cairo
Dec 17, 2016 00:53Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetoa taarifa ya kuilaumu tena Qatar na kuituhumu kuwa ilihusika katika tukio la kigaidi la mripuko uliotokea kwenye kanisa la Othodoksi la Saint Mark la Waqibti katika mji mkuu Cairo.
-
Rais Rouhani: Mazungumzo yatumike kutatua migogoro Mashariki ya Kati
Sep 13, 2016 02:12Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema mazungumzo ya kisiasa yanaonyesha ufahamu ndio njia pekee za kutatua matatizo ya hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati hasa katika Ghuba ya Uajemi.
-
Qatar yampa hifadhi kamanda mwandamizi wa zamani wa al-Shabab
Mar 06, 2016 21:47Aliyekuwa kamanda wa ngazi za juu wa kundi la kitakfiri la al-Shabab, Muhammed Said Atam amepewa hifadhi na serikali ya Qatar.