-
Mafunzo ya Qur'ani katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Gambia
Dec 15, 2016 01:00Kituo cha Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Gambia (GQMC) kinachofungamana na Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Intaneti cha Gambia kimeandaa masomo ya kuhifadhi Qur'ani kupitia intaneti kwa lengo la kutoa mafunzo kwa Waislamu kona zote za dunia.
-
Daesh wazidi kupata pigo Iraq, watega mabomu ndani ya Qur'ani karibu na Mosul
Dec 07, 2016 00:26Wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) wameanza tena kutega mabomu ndani ya nakala za Qur'ani Tukufu na kuziacha mabarabarani na nje ya majumba katika kijiji cha Kanous, karibu na mji wa Mosul nchini Iraq.
-
Ubalozi wa Saudia Morocco wavunjia heshima nakala za Qur'ani Tukufu
Oct 03, 2016 23:28Ubalozi wa Saudia Arabia nchini Morocco umekosolewa vikali na Waislamu baada ya kuenea picha za kuvunjiwa heshima nakala za Qur'ani Tukufu katika ubalozi huo.
-
Vikao 400 vya Qur'ani Tukufu kote Iran
Jun 11, 2016 23:27Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeandaa vikao 400 maalumu vya usomaji Qur'ani kote Iran katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
-
Vikao 400 vya Qur'ani Tukufu kufanyika kote nchini Iran
Jun 11, 2016 11:00Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeandaa vikao 400 maalumu vya usomaji Qur'ani kote nchini katika mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani.
-
Iraq: Daesh inatega mabomu ndani ya nakala za Qur'ani
Jun 09, 2016 23:19Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh linatumia nakala za Qur'ani tukufu kutekeleza mashambulizi yake ya mabomu katika mji wa Fallujah nchini Iraq.
-
Iran yafadhili mashindano ya Qur'ani katika Televisheni ya Uganda
May 28, 2016 23:43Kitengo cha Utamaduni cha Iran nchini Uganda kimefadhili mashindano ya Qur'ani Tukufu katika Televisheni ya Taifa ya nchi hiyo, UBC.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Nguvu kwa Msingi wa Uislamu
May 19, 2016 02:38Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei Jumatano alikutana na washiriki wa Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran na kusema, 'Qur'ani Tukufu ni mhimili wa Umoja wa Umma wa Kiislamu.
-
Vijana wa Afrika Mashariki washiriki Mashindani ya Kimataifa ya Qurani ya Iran
May 14, 2016 10:24Vijana kutoka kanda ya Afrika Mashariki ni miongoni mahuffadh na maqari wanaoshiriki duru ya 33 ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani inayofanyika hapa mjini Tehran.
-
Mashindano ya Qur'ani Tukufu yaanza rasmi Tehran
May 12, 2016 11:07Baada ya Dk Ali Larijani, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) kufungua duru ya 33 ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu jana Jumatano, mashindano hayo yameanza rasmi leo.