Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani: Imam Khomeini MA amewaonesha walimwengu rasilimali ya kijamii

    Rais Rouhani: Imam Khomeini MA amewaonesha walimwengu rasilimali ya kijamii

    Feb 01, 2021 08:20

    Rais Hassan Rouhani amesema kuwa, Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewaonesha walimwengu rasilimali ya kijamii ya Iran.

  • Rouhani: Taifa la Iran lilisambaratisha udikteta na ubeberu

    Rouhani: Taifa la Iran lilisambaratisha udikteta na ubeberu

    Jan 30, 2021 12:20

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Taifa la Iran kwa mapambanao na muqawama limeweza kusambaratisha ubeberu."

  • Rouhani: Ulaya haijatekeleza ahadi zake; ikirejea katika majukumu yake nasi pia tutarejea

    Rouhani: Ulaya haijatekeleza ahadi zake; ikirejea katika majukumu yake nasi pia tutarejea

    Jan 27, 2021 12:20

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Iran itarejea katika mapatano ya JCPOA kwa sharti kwamba Marekani na Ulaya nazo zitekeleze majukumu yao.

  • Rouhani: Iran kuanza kutoa chanjo ya Covid-19 ndani ya siku chache zijazo

    Rouhani: Iran kuanza kutoa chanjo ya Covid-19 ndani ya siku chache zijazo

    Jan 23, 2021 12:12

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaanza kutoa chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 hapa nchini katika kipindi cha siku chache zijazo.

  • Rouhani: Ongezeko la wawekezaji wa kigeni Iran ni ishara ya kufeli vikwazo vya Marekani

    Rouhani: Ongezeko la wawekezaji wa kigeni Iran ni ishara ya kufeli vikwazo vya Marekani

    Jan 14, 2021 13:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ongezeko la asilimia 56 ya wawekezaji wa kigeni katika maeneo ya biashara huru nchini Iran ni ishara ya kufeli sera za Marekani za ugaidi wa kiuchumi na mashinikizo ya juu kabisa.

  • Rouhani: Mwisho wa serikali ya Trump umeonyesha ubabe hauna mwisho mwema

    Rouhani: Mwisho wa serikali ya Trump umeonyesha ubabe hauna mwisho mwema

    Jan 13, 2021 14:25

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kufedheheka na kuaibika utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani katika siku zake za mwisho ni ishara kuwa, ubaguzi wa rangi na ukiukwaji sheria ni mambo ambayo hayana mwisho mwema.

  • Rouhani: Wananchi wa Iran hawawi wenzo wa kufanyia majaribio ya chanjo za nchi za kigeni

    Rouhani: Wananchi wa Iran hawawi wenzo wa kufanyia majaribio ya chanjo za nchi za kigeni

    Jan 09, 2021 13:01

    Rais Hassan Rouhani amesema, wananchi wa Iran hawatakuwa wenzo wa kufanyia majaribio chanjo za nchi za kigeni.

  • Rais Rouhani: Kama Biden atatekeleza ahadi zake, basi majibu ya Iran ni rahisi kabisa

    Rais Rouhani: Kama Biden atatekeleza ahadi zake, basi majibu ya Iran ni rahisi kabisa

    Jan 06, 2021 12:37

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amegusia kuingia madarakani serikali ya Joe Biden huko Marekani karibuni hivi na kusema kuwa, kama Biden atatekeleza ahadi zake basi majibu ya Iran yako wazi na ni mepesi kabisa.

  • Rouhani: Corona imekuwa mtihani wa kihistoria kwa mataifa na viongozi wa dunia

    Rouhani: Corona imekuwa mtihani wa kihistoria kwa mataifa na viongozi wa dunia

    Jan 02, 2021 13:16

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema corona au COVID-19 si ugonjwa wa kawaida bali ni mtihani wa kihistoria kwa mataifa na viongozi wa dunia.

  • Rais Rouhani azindua stempu ya kumbukumbu ya Shahidi Soleimani

    Rais Rouhani azindua stempu ya kumbukumbu ya Shahidi Soleimani

    Jan 02, 2021 13:04

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo amezindua stempu ya kumbukumbu ya Shahidi Qassem Soleimani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS