-
Ukosoaji wa Rais Vladmir Putin kuhusiana na miamala mibovu ya Marekani kimataifa
Apr 26, 2019 00:12Siasa za upande mmoja za Rais Donald Trump wa Marekani, zimeibua mizozo mingi katika ngazi za kimataifa.
-
Marekani yatishia kuiwekea Uturuki vikwazo vipya ikinunua mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia
Apr 23, 2019 02:32Uhusiano wa Marekani na Uturuki umekumbwa na msuguano mkubwa hasa baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli ya Julai 2016. Baada ya Uturuki kusambaratisha mapinduzi hayo, ilisema kuwa Marekani ilihusika katika njama hiyo na kwa msingi huo uhusiano wa nchi hizo mbili uliingia baridi.
-
Russia yakosoa vikali kitendo cha kutiwa mbaroni mwasisi wa mtandao wa kufichua siri wa WikiLeaks
Apr 12, 2019 03:29Serikali ya Russia imekosoa vikali kitendo cha kutiwa mbaroni mjini London, Uingereza mwasisi wa mtandao unaojishughulisha na kufichua siri na kashfa wa WikiLeaks.
-
Sisitizo la Rais Putin la kuweko juhudi za pamoja za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria
Apr 10, 2019 02:09Mgogoro wa Syria na vita vya ndani vya kutwishwa nchi hiyo vilivyoanza 2011, ulipelekea Syria kugeuka na kuwa medani ya makabiliano baina ya Wamagharibi na waitifaki wao wa Kiarabu pamoja na Uturuki hapo awali dhidi ya mhimili wa muqawama ukijumuisha na Russia.
-
Kuchukua wigo wa kimataifa mgogoro wa kisiasa wa Venezuela
Apr 07, 2019 02:33Mgogoro wa kisiasa wa sasa nchini Venezuela ulianza 10 Januari mwaka huu wakati Rais Nicolas Maduro alipoapishwa baada ya kushinda katika uchaguzi wa Rais uliosusiwa na wapinzani na hivyo kuchukua usukani wa kuiongoza nchi hiyo katika duru ya pili.
-
Iran na Russia zaazimia kukabiliana na ubeberu wa vyombo vya habari wa Magharibi
Apr 05, 2019 23:26Mkuu wa Kitengo cha Kimataifa cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran IRIB, amesema, kustawishwa ushirikiano wa vyombo vya habari kati ya Iran na Russia ni hatua yenye taathira kubwa katika kuhitimisha ukiritimba na ubeberu wa vyombo vya habari wa Magharibi.
-
Kushadidi mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela na kukabiliana na Russia na China
Apr 05, 2019 01:55Katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, Marekani ikiwa na lengo la kusukuma mbele gurudumu la siasa zake huko Venezuela, imechukua hatua zenye lengo la kuiangusha serikali ya mrengo wa kushoto ya Rais Nicolas Maduro aliyechaguliwa kihalali na kwa njia ya demokrasia.
-
Ankara: Marekani ichague ama kushirikiana na Uturuki au magaidi
Apr 04, 2019 03:23Makamu wa Rais wa Uturuki amejibu matamshi ya Makamu wa Rais wa Marekani Mike Pence, ambaye aliitaka Ankara inunue ndege za kivita za F-35 kutoka Marekani badala ya kununua mfumo wa kujilinda na mashambulizi ya makombora wa S-400 kutoka kwa Russia.
-
Russia: Huwenda hatutoyatambua matokeo ya uchaguzi wa rais nchini Ukraine
Apr 02, 2019 09:02Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Baraza la Shirikisho la Russia ameashiria uwepo wa ripoti zinazoonyesha kutokuwepo uzingatiaji wa sheria katika uchaguzi wa rais nchini Ukraine na kusema kuwa, huwenda serikali ya Moscow isitambue matokeo ya uchaguzi huo.
-
Radiamali ya Caracas dhidi ya vitisho vya Marekani kuhusiana na uwepo wa Russia nchini Venezuela
Mar 30, 2019 21:57Katika miaka mitatu ya hivi karibuni, serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ikiwa na lengo la kusukuma mbele gurudumu la siasa zake huko Venezuela, imechukua hatua zenye lengo la kuiangusha serikali ya mrengo wa kushoto ya Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo.