-
Sisitizo la Russia la wajibu wa kukabiliana vilivyo na vikwazo vya Marekani
Mar 30, 2019 02:56Marekani ina historia ndefu na mbaya zaidi ya kutumia vikwazo dhidi ya nchi nyingine kwa ajili ya kuendeleza malengo yake ya kibeberu. Kwa kweli viongozi wa ngazi za juu wa Marekani wanaamini kuwa, vikwazo dhidi ya nchi nyingine ndio wenzo bora kwao wa kuweza kufanikishia malengo yao.
-
Jibu la Moscow kwa vitisho vya Marekani dhidi ya uhusiano wa Russia na Venezuela
Mar 28, 2019 06:57Marekani ingali inaendeleza sera zake kuhusu Venezuela zinazolenga kuipindua serikali na kumwondoa madarakani rais wa nchi hiyo Nicolas Maduro anayefuata siasa za mrengo wa kushoto.
-
Malalamiko ya Wademocrat wa Marekani kwa ripoti ya Mike Mueller
Mar 26, 2019 22:08Ushindi wa ghafla na uliojaa utata alioupata Donald Trump katika uchaguzi wa rais wa Marekani wa mwezi Novemba 2016 ulipokewa kwa hasira kubwa na chama cha Democrat cha nchi hiyo.
-
Mikwaruzano inazidi kushadidi kati ya Marekani na Russia kuhusiana na Venezuela
Mar 26, 2019 02:24Kauli za tuhuma na uafriti wa Marekani dhidi ya Russia na Venezuela vimezidi kupamba moto kufuatia hatua ya Moscow kutuma shehena ya misaada nchini Venezuela.
-
Ndege za Russia zilizobeba shehena ya misaada zatua Venezuela zikiwa na maafisa wa kijeshi
Mar 25, 2019 03:20Ndege mbili za Russia zilizobeba tani elfu 35 za misaada zimetua mjini Caracas, mji mkuu wa Venezuela.
-
Russia, Syria na Human Rights Watch wakanusha madai ya Trump kuhusu ISIS
Mar 24, 2019 10:47Russia, Syria na Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch wamepinga madai ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kwamba magaidi wa Daesh (ISIS) wameshasambaratishwa kikamilifu katika nchi za Iraq na Syria.
-
Russia: Marekani isijaribu kuingilia kijeshi Venezuela, tutahakikisha tunalinda maslahi yetu
Mar 20, 2019 12:43Serikali ya Russia imeionya vikali Marekani isijaribu kufanya uingiliaji wa aina yoyote wa kijeshi nchini Venezuela na kusisitiza kwamba Moscow italinda maslahi yake nchini humo.
-
Russia: Magaidi wote wa kigeni Syria wanapaswa kukabidhiwa kwa serikali ya Damascus
Mar 16, 2019 01:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, kinyume na matakwa ya Marekani, magaidi wote wa nchi za kigeni walioko Syria wanapaswa kukabidhiwa kwa serikali ya Damascus.
-
Russia yaionya Marekani isijaribu kuyawekea vikwazo mashirika yake nchini Venezuela
Mar 13, 2019 23:00Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetoa onyo kwa Marekani isijaribu kuyawekea vikwazo mashirika ya nchi hiyo yanayofanya kazi nchini Venezuela.
-
Radiamali kali ya Russia kufuatia kushtadi mashinikizo ya Marekani kwa Uturuki kuhusu ngao ya S 400
Mar 10, 2019 07:56Uhusiano wa Marekani na Uturuki katika miaka ya hivi karibuni, yaani baada ya kujiri mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli ya tarehe 15 Julai 2016, umekuwa na mizozo mingi.