-
Brigedia Jenerali Momeni: Iran imekamata tani 806 za mihadarati mwaka 2018
Mar 09, 2019 03:41Katibu Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Mihadarati nchini Iran amesema kuwa, mwaka 2018 Tehran ilikamata tani 806 za madawa ya kulevya.
-
Kufichuliwa na Maduro lengo halisi la Marekani la kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela
Mar 09, 2019 00:50Wakati mgogoro wa kisiasa ukiwa unaendelea nchini Venezuela sambamba na kuongezeka harakati za Juan Guaido, kiongozi wa wapinzani aliyejitangaza rais, za kushadidisha mgogoro huo, njama na hatua za serikali ya Marekani za kutaka kubadilisha hali ya mambo katika nchi hiyo ya Amerika ya Latini, nazo pia zimezidi kupamba moto.
-
Uturuki: Wanachama wa NATO wasiingilie maamuzi yetu juu ya ununuzi wa mfumo wa S 400
Mar 07, 2019 00:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amewataka wanachama wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) waache kuingilia kwa namna yoyote ile maamuzi yanayochukuliwa na serikali ya nchi hiyo.
-
Sisitizo la Ulaya la kulinda makubaliano ya JCPOA na kukosolewa uamuzi wa Marekani
Mar 06, 2019 23:22Hata kama makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA, ni mapatano muhimu kwa ajili ya kulinda amani na usalama wa kimataifa, lakini Marekani ilichukua uamuazi wa upande mmoja wa kujitoa katika mapatano hayo tarehe 8 mwezi Mei mwaka uliopita.
-
Malengo ya safari ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi
Mar 05, 2019 10:45Sergei Lavrov, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia, Jumatatu ya tarehe 4 Machi alianza safari yake ya siku nne katika nchi nne za Qatar, Saudi Arabia, Kuwait na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Putin aamuru kusimamishwa kwa muda utekelezaji wa mkataba wa silaha za nyuklia wa INF
Mar 05, 2019 03:33Rais Vladimir Putin wa Russia ametangaza kuwa, Moscow itasimamisha utekelezaji wa Mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati maarufu kwa kifupi kama INF.
-
Syria: Marekani na Uturuki zinajua mahali alipo kiongozi wa DAESH (ISIS), Abu Bakr al-Baghdadi
Mar 02, 2019 22:56Syria imesema, Marekani na Uturuki zina taarifa za mahali alipo kiongozi wa kundi la kigaidi la DAESH (ISIS) Ibrahim al-Samarrai, anayejulikana pia kama Abdu Bakr al-Baghdadi.
-
Russia na China zamuunga mkono Rais Maduro dhidi ya njama za Marekani
Feb 23, 2019 00:15China na Russia zimetangaza uungaji mkono wao kwa Venezuela na kuonya kuhusu hatua yoyote ya kuishambulia nchi hiyo ya Amerika ya Latini ambako wapinzani wanamejiandaa kupokea vifurushi vya misaada kutoka Marekani.
-
Russia yasisitiza kushirikiana na Iran katika sekta ya nishati ya nyuklia
Feb 23, 2019 00:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ametangaza kuwa, Moscow itaendelea kushirikiana kwa pande zote na Iran ikiwa ni pamoja na katika sekta ya nishati ya nyuklia.
-
Onyo kali na lisilo la kawaida la Rais wa Russia kwa Marekani
Feb 21, 2019 07:46Uhusiano wa Russa na Marekani umekuwa ukizorota kila siku tokea alipoingia madarakani Rais Donald Trump mnamo Januari 2017.