Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yamuonya, mpinzani wa Venezuela aliyejitangaza kuwa rais

    Russia yamuonya, mpinzani wa Venezuela aliyejitangaza kuwa rais

    Feb 21, 2019 04:23

    Serikali ya Russia kupitia Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Sargey Lavrov imemuonya Juan Guaidó, mpinzani wa serikali ya Venezuela aliyejitangaza kuwa rais wa nchi hiyo kwa hatua yake ya kuruhusu uingiliaji wa kigeni ndani ya taifa hilo.

  • Putin atahadharisha kuhusu uwezekano wa kuwekwa barani Ulaya makombora ya nyuklia ya Marekani

    Putin atahadharisha kuhusu uwezekano wa kuwekwa barani Ulaya makombora ya nyuklia ya Marekani

    Feb 20, 2019 10:54

    Rais wa Russia amesema kuwa Moscow ipo tayari kutoa jibu kwa hatua yoyote itakayochukuliwa ya kuwekwa makombora ya nyuklia ya Marekani barani Ulaya.

  • Marekani yapinga kushirikishwa Russia katika utatuzi wa masuala mbalimbali ya kimataifa

    Marekani yapinga kushirikishwa Russia katika utatuzi wa masuala mbalimbali ya kimataifa

    Feb 18, 2019 03:00

    Katika fremu ya nara yake ya "Marekani Kwanza" inayotoa kipaumbele kwa maslahi ya Marekani na kupuuza maslahi ya nchi nyingine duniani, Rais Donald Trump wa Marekani anaamini kuwa siasa za kuchukua maamuzi za upande mmoja na za kibinafsi za Washington zitazidisha nguvu za nchi hiyo dhidi ya wapinzani wake.

  • Viongozi wa Russia, Iran na Uturuki watoa taarifa mwishoni mwa kikao chao cha mjini Sochi

    Viongozi wa Russia, Iran na Uturuki watoa taarifa mwishoni mwa kikao chao cha mjini Sochi

    Feb 14, 2019 23:22

    Viongozi wa nchi tatu za Iran, Russia na Uturuki wamesisitiza kuhusu azma yao ya kuimarisha ushirikiano kwa ajili ya kupeleka mbele gurudumu la mchakato wa kisiasa nchini Syria, kurejeshwa makwao wakimbizi na kuijenga upya nchi hiyo.

  • Russia: Iran ina haki ya kuimarisha teknolojia yake ya makombora

    Russia: Iran ina haki ya kuimarisha teknolojia yake ya makombora

    Feb 12, 2019 23:38

    Serikali ya Russia imesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran in haki ya kuimarisha teknolojia yake ya makombora.

  • Russia: Mpango wa makombora wa Iran haukiuki sheria za kimataifa

    Russia: Mpango wa makombora wa Iran haukiuki sheria za kimataifa

    Feb 12, 2019 00:59

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesisitiza kuwa Iran ina haki ya kujilinda, na mpango wake wa makombora haukiuki sheria za kimataifa.

  • Lavrov: Russia imejiandaa kukabiliana na siasa za kibeberu za Magharibi

    Lavrov: Russia imejiandaa kukabiliana na siasa za kibeberu za Magharibi

    Feb 09, 2019 21:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amesema kuwa Moscow imejiandaa kukabiliana na siasa za kutwisha za madola ya Magharibi.

  • Russia yaionya Marekani isithubutu kuingia kijeshi Venezuela

    Russia yaionya Marekani isithubutu kuingia kijeshi Venezuela

    Feb 07, 2019 11:21

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imeionya Marekani kuhusu hatari ya chokochoko zake za kutaka kuivamia kijeshi Venezuela.

  • Kujibu mapigo Russia; amri ya Putin ya kusimamishwa utekelezaji wa mkataba wa silaha za nyuklia wa INF

    Kujibu mapigo Russia; amri ya Putin ya kusimamishwa utekelezaji wa mkataba wa silaha za nyuklia wa INF

    Feb 03, 2019 04:23

    Tarehe 20 Oktoba 2018, katika mwendelezo wa sera zake kuu za kujitoa kwenye mikataba na makubaliano ya kimataifa, Rais Donald Trump wa Marekani alitangaza kuwa nchi yake itajiondoa pia kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati, kwa kifupi INF.

  • Russia yajibu mapigo baada ya Marekani kujiondoa INF

    Russia yajibu mapigo baada ya Marekani kujiondoa INF

    Feb 02, 2019 11:22

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametangaza kuindoa Russia kwa muda katika mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF), baada ya Marekani kufanya hivyo jana Ijumaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS