-
Russia yamuonya, mpinzani wa Venezuela aliyejitangaza kuwa rais
Feb 21, 2019 04:23Serikali ya Russia kupitia Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Sargey Lavrov imemuonya Juan Guaidó, mpinzani wa serikali ya Venezuela aliyejitangaza kuwa rais wa nchi hiyo kwa hatua yake ya kuruhusu uingiliaji wa kigeni ndani ya taifa hilo.
-
Putin atahadharisha kuhusu uwezekano wa kuwekwa barani Ulaya makombora ya nyuklia ya Marekani
Feb 20, 2019 10:54Rais wa Russia amesema kuwa Moscow ipo tayari kutoa jibu kwa hatua yoyote itakayochukuliwa ya kuwekwa makombora ya nyuklia ya Marekani barani Ulaya.
-
Marekani yapinga kushirikishwa Russia katika utatuzi wa masuala mbalimbali ya kimataifa
Feb 18, 2019 03:00Katika fremu ya nara yake ya "Marekani Kwanza" inayotoa kipaumbele kwa maslahi ya Marekani na kupuuza maslahi ya nchi nyingine duniani, Rais Donald Trump wa Marekani anaamini kuwa siasa za kuchukua maamuzi za upande mmoja na za kibinafsi za Washington zitazidisha nguvu za nchi hiyo dhidi ya wapinzani wake.
-
Viongozi wa Russia, Iran na Uturuki watoa taarifa mwishoni mwa kikao chao cha mjini Sochi
Feb 14, 2019 23:22Viongozi wa nchi tatu za Iran, Russia na Uturuki wamesisitiza kuhusu azma yao ya kuimarisha ushirikiano kwa ajili ya kupeleka mbele gurudumu la mchakato wa kisiasa nchini Syria, kurejeshwa makwao wakimbizi na kuijenga upya nchi hiyo.
-
Russia: Iran ina haki ya kuimarisha teknolojia yake ya makombora
Feb 12, 2019 23:38Serikali ya Russia imesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran in haki ya kuimarisha teknolojia yake ya makombora.
-
Russia: Mpango wa makombora wa Iran haukiuki sheria za kimataifa
Feb 12, 2019 00:59Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesisitiza kuwa Iran ina haki ya kujilinda, na mpango wake wa makombora haukiuki sheria za kimataifa.
-
Lavrov: Russia imejiandaa kukabiliana na siasa za kibeberu za Magharibi
Feb 09, 2019 21:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amesema kuwa Moscow imejiandaa kukabiliana na siasa za kutwisha za madola ya Magharibi.
-
Russia yaionya Marekani isithubutu kuingia kijeshi Venezuela
Feb 07, 2019 11:21Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imeionya Marekani kuhusu hatari ya chokochoko zake za kutaka kuivamia kijeshi Venezuela.
-
Kujibu mapigo Russia; amri ya Putin ya kusimamishwa utekelezaji wa mkataba wa silaha za nyuklia wa INF
Feb 03, 2019 04:23Tarehe 20 Oktoba 2018, katika mwendelezo wa sera zake kuu za kujitoa kwenye mikataba na makubaliano ya kimataifa, Rais Donald Trump wa Marekani alitangaza kuwa nchi yake itajiondoa pia kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati, kwa kifupi INF.
-
Russia yajibu mapigo baada ya Marekani kujiondoa INF
Feb 02, 2019 11:22Rais Vladimir Putin wa Russia ametangaza kuindoa Russia kwa muda katika mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF), baada ya Marekani kufanya hivyo jana Ijumaa.