Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Marekani yajiondoa rasmi 'kwa muda' katika mkataba wa INF

    Marekani yajiondoa rasmi 'kwa muda' katika mkataba wa INF

    Feb 01, 2019 10:45

    Serikali ya Marekani imetangaza rasmi kusimamisha kwa muda utekelezaji wa mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF).

  • Onyo la Russia kuhusu kuingilia kijeshi Marekani mgogoro wa Venezuela

    Onyo la Russia kuhusu kuingilia kijeshi Marekani mgogoro wa Venezuela

    Jan 30, 2019 09:24

    Matukio ya kisiasa yaliyojiri karibuni katika nchi yenye utajiri mkubwa wa mafuta ya Venezuela na makabiliano yanayozidi kupamba moto baina ya wapinzani na serikali ya mrengo wa kushoto ya nchi hiyo yameingia kwenye awamu nyeti na hasasi.

  • Russia: Nchi za Magharibi zisifikirie kuingilia kijeshi Venezuela

    Russia: Nchi za Magharibi zisifikirie kuingilia kijeshi Venezuela

    Jan 30, 2019 03:01

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana usiku alizitaka nchi za Magharibi kuachana na mpango, fikra au dhana yoyote kwamba ipo haja ya kuingilia kijeshi huko Venezuela.

  • Kuongezeka harakati za kisiasa za Russia  Asia Magharibi; kukabiliana na hatua za Marekani

    Kuongezeka harakati za kisiasa za Russia Asia Magharibi; kukabiliana na hatua za Marekani

    Jan 27, 2019 04:38

    Katika miaka ya karibuni Russia imezidisha pakubwa harakati zake katika eneo la Asia Magharibi na kaskazini mwa Afrika. Nukta muhimu kuhusu jitihada hizo za Russia ni kuimarisha uwepo wake wa kijeshi huko Syria tangu Septemba mwaka 2015 kwa lengo la kupambana na makundi ya kigaidi na kuiunga mkono serikali halali ya Syria.

  • Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw

    Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw

    Jan 24, 2019 00:35

    Ikiwa ni katika fremu ya malengo yake inayoyafuatilia katika eneo la Mashariki ya Kati, Marekani ina mpango wa kuitisha mkutano hapo tarehe 13 na 14 mwezi ujao wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland chini ya anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".

  • Mkuu wa Rossiya Segodnya ataka kuachiwa huru Marzieh Hashemi

    Mkuu wa Rossiya Segodnya ataka kuachiwa huru Marzieh Hashemi

    Jan 21, 2019 08:59

    Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la habari la kimataifa la Rossiya Segodnya la Russia amesema kuwa kuna udharura wa vyombo vyote huru vya habari duniani kumtetea na kumuunga mkono mwandishi habari wa televisheni ya Press TV, Marzieh Hashemi anayeshikiliwa na vyombo vya usalama vya Marekani.

  • Russia yaionya Marekani na kuitaka iondoe manowari zake Bahari Nyeusi

    Russia yaionya Marekani na kuitaka iondoe manowari zake Bahari Nyeusi

    Jan 21, 2019 04:28

    Russia imeionya vikali Marekani na kuotaka iondoe meli yake ya kivita ya USS Donald Cook ambayo iko katika Bahari Nyeusi.

  • Russia yakanusha madai ya Marekani kwamba imeipatia Korea Kaskazini teknolojia ya makombora

    Russia yakanusha madai ya Marekani kwamba imeipatia Korea Kaskazini teknolojia ya makombora

    Jan 18, 2019 12:08

    Balozi wa Russia nchini Korea Kaskazini amekanusha tuhuma za viongozi wa Marekani dhidi ya nchi yake kwamba Moscow imeipatia Pyongyang teknolojia ya makombora na kuongeza kwamba, tuhuma hizo ni za kuudhi kama ambavyo hazina msingi wowote. 

  • Russia: Marekani inabeba dhima ya hatima ya mkataba wa INF

    Russia: Marekani inabeba dhima ya hatima ya mkataba wa INF

    Jan 18, 2019 00:22

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa Marekani ndiyo inayopaswa kubeba dhima ya hatima ya Mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati, (INF)

  • Ripoti: Uchumi wa China kuupiku wa Marekani mwaka ujao

    Ripoti: Uchumi wa China kuupiku wa Marekani mwaka ujao

    Jan 17, 2019 04:18

    Ripoti ya Benki ya Standard Chartered imedokeza kuwa, kuna uwezekano mkubwa China kuipiku Marekani na kuwa nchi yenye uchumi mkubwa zaidi duniani mwaka ujao wa 2020.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS