Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Viongozi wa Russia, Iran na Uturuki watoa taarifa mwishoni mwa kikao chao cha mjini Sochi

    Viongozi wa Russia, Iran na Uturuki watoa taarifa mwishoni mwa kikao chao cha mjini Sochi

    Feb 14, 2019 23:22

    Viongozi wa nchi tatu za Iran, Russia na Uturuki wamesisitiza kuhusu azma yao ya kuimarisha ushirikiano kwa ajili ya kupeleka mbele gurudumu la mchakato wa kisiasa nchini Syria, kurejeshwa makwao wakimbizi na kuijenga upya nchi hiyo.

  • Russia: Iran ina haki ya kuimarisha teknolojia yake ya makombora

    Russia: Iran ina haki ya kuimarisha teknolojia yake ya makombora

    Feb 12, 2019 23:38

    Serikali ya Russia imesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran in haki ya kuimarisha teknolojia yake ya makombora.

  • Russia: Mpango wa makombora wa Iran haukiuki sheria za kimataifa

    Russia: Mpango wa makombora wa Iran haukiuki sheria za kimataifa

    Feb 12, 2019 00:59

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesisitiza kuwa Iran ina haki ya kujilinda, na mpango wake wa makombora haukiuki sheria za kimataifa.

  • Lavrov: Russia imejiandaa kukabiliana na siasa za kibeberu za Magharibi

    Lavrov: Russia imejiandaa kukabiliana na siasa za kibeberu za Magharibi

    Feb 09, 2019 21:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amesema kuwa Moscow imejiandaa kukabiliana na siasa za kutwisha za madola ya Magharibi.

  • Russia yaionya Marekani isithubutu kuingia kijeshi Venezuela

    Russia yaionya Marekani isithubutu kuingia kijeshi Venezuela

    Feb 07, 2019 11:21

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imeionya Marekani kuhusu hatari ya chokochoko zake za kutaka kuivamia kijeshi Venezuela.

  • Kujibu mapigo Russia; amri ya Putin ya kusimamishwa utekelezaji wa mkataba wa silaha za nyuklia wa INF

    Kujibu mapigo Russia; amri ya Putin ya kusimamishwa utekelezaji wa mkataba wa silaha za nyuklia wa INF

    Feb 03, 2019 04:23

    Tarehe 20 Oktoba 2018, katika mwendelezo wa sera zake kuu za kujitoa kwenye mikataba na makubaliano ya kimataifa, Rais Donald Trump wa Marekani alitangaza kuwa nchi yake itajiondoa pia kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati, kwa kifupi INF.

  • Russia yajibu mapigo baada ya Marekani kujiondoa INF

    Russia yajibu mapigo baada ya Marekani kujiondoa INF

    Feb 02, 2019 11:22

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametangaza kuindoa Russia kwa muda katika mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF), baada ya Marekani kufanya hivyo jana Ijumaa.

  • Marekani yajiondoa rasmi 'kwa muda' katika mkataba wa INF

    Marekani yajiondoa rasmi 'kwa muda' katika mkataba wa INF

    Feb 01, 2019 10:45

    Serikali ya Marekani imetangaza rasmi kusimamisha kwa muda utekelezaji wa mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF).

  • Onyo la Russia kuhusu kuingilia kijeshi Marekani mgogoro wa Venezuela

    Onyo la Russia kuhusu kuingilia kijeshi Marekani mgogoro wa Venezuela

    Jan 30, 2019 09:24

    Matukio ya kisiasa yaliyojiri karibuni katika nchi yenye utajiri mkubwa wa mafuta ya Venezuela na makabiliano yanayozidi kupamba moto baina ya wapinzani na serikali ya mrengo wa kushoto ya nchi hiyo yameingia kwenye awamu nyeti na hasasi.

  • Russia: Nchi za Magharibi zisifikirie kuingilia kijeshi Venezuela

    Russia: Nchi za Magharibi zisifikirie kuingilia kijeshi Venezuela

    Jan 30, 2019 03:01

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana usiku alizitaka nchi za Magharibi kuachana na mpango, fikra au dhana yoyote kwamba ipo haja ya kuingilia kijeshi huko Venezuela.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS