-
Onyo la Russia kwa chokochoko za Israel dhidi ya Syria
Jan 14, 2019 23:11Balozi wa Russia mjini Beirut ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuendelea kuishambulia Syria kwa kutumia visingizio mbalimbali.
-
Russia: EU haijafuzu mtihani wa utekelezaji kivitendo makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Jan 12, 2019 00:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema, Umoja wa Ulaya haujafaulu mtihani wa kuonyesha kuwa uko huru kivitendo katika kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Russia yatilia shaka tangazo la Marekani la kuanza kuondoa askari wake Syria
Jan 11, 2019 12:37Russia imetilia shaka tamko la Marekani kwamba imeanza mchakato wa kuondoa vikosi vyake nchini Syria.
-
Russia kufungua kituo cha kijeshi Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jan 11, 2019 12:25Russia inatafakari kufungua kituo cha kijeshi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, ambako tayari Moscow inaendelea kutoa mafunzo kwa wanajeshi wa nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Msemaji wa Rais wa Russia: Msisome habari za vyombo vya habari vya Israel
Jan 09, 2019 23:19Msemaji wa Rais wa Russia amejibu taarifa zilizotangazwa na vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba Moscow inaingilia uchaguzi wa utawala huo kwa kusema: Msisome habari za vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni.
-
Iran na Russia kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi
Jan 07, 2019 01:18Kamanda wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran na Russia imepenga kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Bahari ya Kaspi.
-
Russia: Magaidi karibu laki moja wameuawa Syria
Jan 04, 2019 04:18Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa, makumi ya maelfu ya magaidi wameuawa katika operesheni zilizofanywa na jeshi la nchi hiyo nchini Syria.
-
Saudia yatishia kuwaadhibu raia wake waliokwenda Russia na kukataa kurudi nyumbani
Dec 28, 2018 03:31Ubalozi wa Saudia mjini Moscow umetishia kuwa, Riyadh itawaadhibu vikali raia wa nchi hiyo waliokwenda kwenye mashindano ya fainali za kombe la dunia la mpira wa miguu nchini Russia na hadi hivi sasa wanang'ang'ania kubakia huko huko hawataki kurudi nchini Saudi Arabia.
-
Upinzani wa Berlin dhidi ya kuwekwa makombora ya nyuklia ya Marekani nchini Ujerumani
Dec 28, 2018 02:57Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 20 Oktoba mwaka huu alitangaza kuwa, nchi hiyo itajiondoa katika mkataba wa makombora ya nyuklia ya masafa ya kati maarufu kwa kifupi kwa jina la INF.
-
Kushadidi mivutano baina ya Russia na Ukraine; vikwazo na makabiliano ya kijeshi
Dec 26, 2018 05:05Tangu mwaka 2014 wakati hatamu za uongozi wa nchi ya Ukraine ziliposhikwa na serikali yenye mielekeo ya Kimagharibi na kuunganishwa eneo la Cremia na ardhi ya Russia, uhusiano wa Moscow na Kiev uliporomoka sana na kutawaliwa na mivutano mingi.