Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Onyo la Russia kwa chokochoko za Israel dhidi ya Syria

    Onyo la Russia kwa chokochoko za Israel dhidi ya Syria

    Jan 14, 2019 23:11

    Balozi wa Russia mjini Beirut ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuendelea kuishambulia Syria kwa kutumia visingizio mbalimbali.

  • Russia: EU haijafuzu mtihani wa utekelezaji kivitendo makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Russia: EU haijafuzu mtihani wa utekelezaji kivitendo makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Jan 12, 2019 00:00

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema, Umoja wa Ulaya haujafaulu mtihani wa kuonyesha kuwa uko huru kivitendo katika kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Russia yatilia shaka tangazo la Marekani la kuanza kuondoa askari wake Syria

    Russia yatilia shaka tangazo la Marekani la kuanza kuondoa askari wake Syria

    Jan 11, 2019 12:37

    Russia imetilia shaka tamko la Marekani kwamba imeanza mchakato wa kuondoa vikosi vyake nchini Syria.

  • Russia kufungua kituo cha kijeshi Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Russia kufungua kituo cha kijeshi Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jan 11, 2019 12:25

    Russia inatafakari kufungua kituo cha kijeshi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, ambako tayari Moscow inaendelea kutoa mafunzo kwa wanajeshi wa nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Msemaji wa Rais wa Russia: Msisome habari za vyombo vya habari vya Israel

    Msemaji wa Rais wa Russia: Msisome habari za vyombo vya habari vya Israel

    Jan 09, 2019 23:19

    Msemaji wa Rais wa Russia amejibu taarifa zilizotangazwa na vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba Moscow inaingilia uchaguzi wa utawala huo kwa kusema: Msisome habari za vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni.

  • Iran na Russia kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi

    Iran na Russia kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi

    Jan 07, 2019 01:18

    Kamanda wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran na Russia imepenga kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Bahari ya Kaspi.

  • Russia: Magaidi karibu laki moja wameuawa Syria

    Russia: Magaidi karibu laki moja wameuawa Syria

    Jan 04, 2019 04:18

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa, makumi ya maelfu ya magaidi wameuawa katika operesheni zilizofanywa na jeshi la nchi hiyo nchini Syria.

  • Saudia yatishia kuwaadhibu raia wake waliokwenda Russia na kukataa kurudi nyumbani

    Saudia yatishia kuwaadhibu raia wake waliokwenda Russia na kukataa kurudi nyumbani

    Dec 28, 2018 03:31

    Ubalozi wa Saudia mjini Moscow umetishia kuwa, Riyadh itawaadhibu vikali raia wa nchi hiyo waliokwenda kwenye mashindano ya fainali za kombe la dunia la mpira wa miguu nchini Russia na hadi hivi sasa wanang'ang'ania kubakia huko huko hawataki kurudi nchini Saudi Arabia.

  • Upinzani wa Berlin dhidi ya kuwekwa makombora ya nyuklia ya Marekani nchini Ujerumani

    Upinzani wa Berlin dhidi ya kuwekwa makombora ya nyuklia ya Marekani nchini Ujerumani

    Dec 28, 2018 02:57

    Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 20 Oktoba mwaka huu alitangaza kuwa, nchi hiyo itajiondoa katika mkataba wa makombora ya nyuklia ya masafa ya kati maarufu kwa kifupi kwa jina la INF.

  • Kushadidi mivutano baina ya Russia na Ukraine; vikwazo na makabiliano ya kijeshi

    Kushadidi mivutano baina ya Russia na Ukraine; vikwazo na makabiliano ya kijeshi

    Dec 26, 2018 05:05

    Tangu mwaka 2014 wakati hatamu za uongozi wa nchi ya Ukraine ziliposhikwa na serikali yenye mielekeo ya Kimagharibi na kuunganishwa eneo la Cremia na ardhi ya Russia, uhusiano wa Moscow na Kiev uliporomoka sana na kutawaliwa na mivutano mingi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS