Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia: Tuna shaka kama Marekani imeamua kweli kuondoa vikosi vya jeshi lake nchini Syria

    Russia: Tuna shaka kama Marekani imeamua kweli kuondoa vikosi vya jeshi lake nchini Syria

    Dec 25, 2018 23:10

    Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika makao ya Umoja wa Mataifa ya mjini Geneva amesema: Haijabainika wazi tangazo la Marekani kuwa inaondoka nchini Syria lina ukweli kwa kiwango gani.

  • Russia: Marekani inawapa hifadhi magaidi katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu Syria

    Russia: Marekani inawapa hifadhi magaidi katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu Syria

    Dec 21, 2018 05:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema Marekani inakwamisha juhudi za kutatua mgogoro wa Syria kwa kuendelea kuyakalia kwa mabavu baadhi ya maeneo ya nchi hiyo na kwamba magaidi wanapewa hifadhi katika maeneo yanayodhibitiwa na Marekani.

  • Baraza Kuu la UN lapasisha azimio dhidi ya Marekani

    Baraza Kuu la UN lapasisha azimio dhidi ya Marekani

    Dec 21, 2018 01:08

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio linaloitaka Marekani kukomesha hatua zilizo kinyume na sheria dhidi ya wawakilishi na maeneo ya kidiplomasia ya Russia nchini humo.

  • Indhari kali ya Putin kwa Washington; kuimarisha nguvu ya nyuklia ya Russia

    Indhari kali ya Putin kwa Washington; kuimarisha nguvu ya nyuklia ya Russia

    Dec 19, 2018 07:58

    Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 20 Oktoba mwaka huu alitangaza kuwa nchi yake itajitoa katika makubaliano ya silaha za nyuklia za masafa ya kati (INF). Kisingizio kikuu cha Marekani cha kutaka kujitoa kwenye mkataba huo wa kiistratijia na wenye umuhimu mkubwa ni madai kwamba Russia imekiuka vipengee vya makubaliano hayo.

  • Guterres atahadharisha kuhusu vitisho vya mfumo wa kambi kadhaa

    Guterres atahadharisha kuhusu vitisho vya mfumo wa kambi kadhaa

    Dec 18, 2018 03:15

    Baada ya kusambaratika Urusi ya zamani na kumalizika kipindi cha Vita Baridi hapo mwaka 1991 mfumo wa kambi mbili za Mashariki na Magharibi pia ulitoweka na kumalizika.

  • Wasiwasi wa kuongezeka misaada ya Magharibi kwa magaidi wa Syria

    Wasiwasi wa kuongezeka misaada ya Magharibi kwa magaidi wa Syria

    Dec 15, 2018 02:55

    Tangu mwaka 2011 yalipoanzishwa machafuko nchini Syria hadi hivi sasa, nchi za Magharibi hasa Marekani, Uingereza na Ufaransa pamoja na vibaraka wao baadhi ya nchi za Kiarabu zimekuwa zikiyaunga mkono kwa hali na mali magenge ya kigaidi kwa tamaa ya kuipindua serikali iliyoko madarakani kihalali nchini Syria.

  • Msimamo makini wa Russia, wa kupinga JCPOA kuhusishwa na masuala mengine ya Iran

    Msimamo makini wa Russia, wa kupinga JCPOA kuhusishwa na masuala mengine ya Iran

    Dec 13, 2018 23:12

    Baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mnamo mwezi Mei mwaka huu wa 2018, kila mara imekuwa ikijaribu kufanya kila njia kuzishusisha shughuli za nyuklia za Iran na masuala mengine, ili kutetea na kuhalalisha uamuzi wake wa kujitoa kwenye makubaliano hayo.

  • Ujerumani yapinga kuongezwa vikwazo vya nchi za Ulaya dhidi ya Russia

    Ujerumani yapinga kuongezwa vikwazo vya nchi za Ulaya dhidi ya Russia

    Dec 08, 2018 23:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini amegusia mapigano ya hivi karibuni baina ya Russia na Ukraine na kusema kuwa suala la kuongeza vikwazo vya nchi za Ulaya dhidi ya Moscow haliingii akilini.

  • Mkutano wa maspika wa mabunge ya nchi sita wamalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa

    Mkutano wa maspika wa mabunge ya nchi sita wamalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa

    Dec 08, 2018 12:07

    Maspika wa mabunge ya nchi sita za Iran, Russia, Uturuki, China, Pakistan na Afghanistan umemalizika leo hapa mjini Tehran kwa taarifa ya pamoja ya kuimarisha uhusiano katika kupambana na ugaidi na kuongeza ushirikiano wao wa kieneo.

  • Marekani yatangaza rasmi kusimamisha utekelezaji wa mkataba wa INF na Russia, Putin aionya

    Marekani yatangaza rasmi kusimamisha utekelezaji wa mkataba wa INF na Russia, Putin aionya

    Dec 05, 2018 12:54

    Serikali ya Marekani imeitaarifu rasmi Russia uamuzi wa kusimamisha utekelezaji wa mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS