-
Indhari kali ya Putin kwa Washington; kuimarisha nguvu ya nyuklia ya Russia
Dec 19, 2018 07:58Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 20 Oktoba mwaka huu alitangaza kuwa nchi yake itajitoa katika makubaliano ya silaha za nyuklia za masafa ya kati (INF). Kisingizio kikuu cha Marekani cha kutaka kujitoa kwenye mkataba huo wa kiistratijia na wenye umuhimu mkubwa ni madai kwamba Russia imekiuka vipengee vya makubaliano hayo.
-
Guterres atahadharisha kuhusu vitisho vya mfumo wa kambi kadhaa
Dec 18, 2018 03:15Baada ya kusambaratika Urusi ya zamani na kumalizika kipindi cha Vita Baridi hapo mwaka 1991 mfumo wa kambi mbili za Mashariki na Magharibi pia ulitoweka na kumalizika.
-
Wasiwasi wa kuongezeka misaada ya Magharibi kwa magaidi wa Syria
Dec 15, 2018 02:55Tangu mwaka 2011 yalipoanzishwa machafuko nchini Syria hadi hivi sasa, nchi za Magharibi hasa Marekani, Uingereza na Ufaransa pamoja na vibaraka wao baadhi ya nchi za Kiarabu zimekuwa zikiyaunga mkono kwa hali na mali magenge ya kigaidi kwa tamaa ya kuipindua serikali iliyoko madarakani kihalali nchini Syria.
-
Msimamo makini wa Russia, wa kupinga JCPOA kuhusishwa na masuala mengine ya Iran
Dec 13, 2018 23:12Baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mnamo mwezi Mei mwaka huu wa 2018, kila mara imekuwa ikijaribu kufanya kila njia kuzishusisha shughuli za nyuklia za Iran na masuala mengine, ili kutetea na kuhalalisha uamuzi wake wa kujitoa kwenye makubaliano hayo.
-
Ujerumani yapinga kuongezwa vikwazo vya nchi za Ulaya dhidi ya Russia
Dec 08, 2018 23:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini amegusia mapigano ya hivi karibuni baina ya Russia na Ukraine na kusema kuwa suala la kuongeza vikwazo vya nchi za Ulaya dhidi ya Moscow haliingii akilini.
-
Mkutano wa maspika wa mabunge ya nchi sita wamalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa
Dec 08, 2018 12:07Maspika wa mabunge ya nchi sita za Iran, Russia, Uturuki, China, Pakistan na Afghanistan umemalizika leo hapa mjini Tehran kwa taarifa ya pamoja ya kuimarisha uhusiano katika kupambana na ugaidi na kuongeza ushirikiano wao wa kieneo.
-
Marekani yatangaza rasmi kusimamisha utekelezaji wa mkataba wa INF na Russia, Putin aionya
Dec 05, 2018 12:54Serikali ya Marekani imeitaarifu rasmi Russia uamuzi wa kusimamisha utekelezaji wa mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF).
-
Russia yazionya nchi za Magharibi kwa kuchochea mzozo kati yake na Ukraine
Nov 29, 2018 10:01Serikali ya Russia kupitia Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo imetoa onyo kwa nchi za Magharibi kuacha kuchochea mzozo kati ya Moscow na Kiev.
-
Jitihada za ulaya za kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Nov 28, 2018 23:35Mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji, JCPOA, ambayo yalifikiwa Julai mwaka 2015 baina ya Iran na kundi la 5+1 yalikuwa mapatano muhimu sana katika uga wa kulinda amani na usalama wa kimataifa.
-
Rais wa Ukraine: Kuna uwezekano tukaingia vitani na Russia
Nov 28, 2018 12:12Sambamba na Rais Petro Poroshenko wa Ukraine kusema kuwa, Russia imeimarisha zaidi kuwepo kwake kijeshi katika mpaka wa nchi hiyo, ameeleza kuwa, kuna uwezekano kukatokea vita kamili kati ya nchi yake na Russia.