-
Russia yazionya nchi za Magharibi kwa kuchochea mzozo kati yake na Ukraine
Nov 29, 2018 10:01Serikali ya Russia kupitia Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo imetoa onyo kwa nchi za Magharibi kuacha kuchochea mzozo kati ya Moscow na Kiev.
-
Jitihada za ulaya za kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Nov 28, 2018 23:35Mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji, JCPOA, ambayo yalifikiwa Julai mwaka 2015 baina ya Iran na kundi la 5+1 yalikuwa mapatano muhimu sana katika uga wa kulinda amani na usalama wa kimataifa.
-
Rais wa Ukraine: Kuna uwezekano tukaingia vitani na Russia
Nov 28, 2018 12:12Sambamba na Rais Petro Poroshenko wa Ukraine kusema kuwa, Russia imeimarisha zaidi kuwepo kwake kijeshi katika mpaka wa nchi hiyo, ameeleza kuwa, kuna uwezekano kukatokea vita kamili kati ya nchi yake na Russia.
-
Malengo halisi ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia
Nov 18, 2018 03:32Uhusiano wa Marekani na Russia tangu baada ya kumalizika Vita Baridi umekuwa na pandashuka nyingi na mivutano ya mara kwa mara. Tangu mwaka 2011 Marekani imekuwa ikiiwekea vikwazo Russia kwa kutumia visingizio mbalimbali.
-
Russia: Wakimbizi 270,000 wa Syria wamerejea nyumbani
Nov 16, 2018 11:23Jeshi la Russia limetangaza habari ya kurejea nyumbani wakimbizi zaidi ya laki mbili na 70 elfu wa Syria ndani ya miezi michache iliyopita.
-
Nchi 13 zinashindana kununua mfungo wa makombora wa Russia wa S-400
Nov 16, 2018 04:13Licha ya Marekani kutishia kuiwekea vikwazo zaidi Russia, tayari mataifa 13 yameonyesha utayarifu wao kwa ajili ya manunuzi ya ngao ya makombora ya S-400 ya nchi hiyo.
-
Russia na OIC zakubaliana kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi
Nov 10, 2018 11:01Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na pande mbili kukubaliana juu ya kushirikiana katika kupambana na ugaidi.
-
Mpango wa China na Russia wa kukabiliana na siasa za upande mmoja za Marekani
Nov 09, 2018 23:09Mawaziri Wakuu wa China na Russia wamesisitiza juu ya azma ya nchi mbili ya kukabiliana na siasa za upande mmoja za Marekani katika ngazi za kimataifa.
-
Mawaziri Wakuu wa China na Russia waazimia kukabiliana na siasa za upande mmoja za Marekani
Nov 09, 2018 10:54Mawaziri Wakuu wa China na Russia wameazimia kukabiliana na siasa za upande mmoja za Marekani duniani.
-
Lavrov atahadharisha kuhusu hatari ya ugaidi duniani
Nov 08, 2018 04:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema ugaidi ungali upo kote ulimwenguni na ni jambo la hatari kwa nchi zote licha ya mafanikio yaliyopatikana katika mapambano dhidi ya janga hilo.