Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yazionya nchi za Magharibi kwa kuchochea mzozo kati yake na Ukraine

    Russia yazionya nchi za Magharibi kwa kuchochea mzozo kati yake na Ukraine

    Nov 29, 2018 10:01

    Serikali ya Russia kupitia Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo imetoa onyo kwa nchi za Magharibi kuacha kuchochea mzozo kati ya Moscow na Kiev.

  • Jitihada za ulaya za kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Jitihada za ulaya za kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Nov 28, 2018 23:35

    Mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji, JCPOA, ambayo yalifikiwa Julai mwaka 2015 baina ya Iran na kundi la 5+1 yalikuwa mapatano muhimu sana katika uga wa kulinda amani na usalama wa kimataifa.

  • Rais wa Ukraine: Kuna uwezekano tukaingia vitani na Russia

    Rais wa Ukraine: Kuna uwezekano tukaingia vitani na Russia

    Nov 28, 2018 12:12

    Sambamba na Rais Petro Poroshenko wa Ukraine kusema kuwa, Russia imeimarisha zaidi kuwepo kwake kijeshi katika mpaka wa nchi hiyo, ameeleza kuwa, kuna uwezekano kukatokea vita kamili kati ya nchi yake na Russia.

  • Malengo halisi ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia

    Malengo halisi ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia

    Nov 18, 2018 03:32

    Uhusiano wa Marekani na Russia tangu baada ya kumalizika Vita Baridi umekuwa na pandashuka nyingi na mivutano ya mara kwa mara. Tangu mwaka 2011 Marekani imekuwa ikiiwekea vikwazo Russia kwa kutumia visingizio mbalimbali.

  • Russia: Wakimbizi 270,000 wa Syria wamerejea nyumbani

    Russia: Wakimbizi 270,000 wa Syria wamerejea nyumbani

    Nov 16, 2018 11:23

    Jeshi la Russia limetangaza habari ya kurejea nyumbani wakimbizi zaidi ya laki mbili na 70 elfu wa Syria ndani ya miezi michache iliyopita.

  • Nchi 13 zinashindana kununua mfungo wa makombora wa Russia wa S-400

    Nchi 13 zinashindana kununua mfungo wa makombora wa Russia wa S-400

    Nov 16, 2018 04:13

    Licha ya Marekani kutishia kuiwekea vikwazo zaidi Russia, tayari mataifa 13 yameonyesha utayarifu wao kwa ajili ya manunuzi ya ngao ya makombora ya S-400 ya nchi hiyo.

  • Russia na OIC zakubaliana kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi

    Russia na OIC zakubaliana kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi

    Nov 10, 2018 11:01

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na pande mbili kukubaliana juu ya kushirikiana katika kupambana na ugaidi.

  • Mpango wa China na Russia wa kukabiliana na siasa za upande mmoja za Marekani

    Mpango wa China na Russia wa kukabiliana na siasa za upande mmoja za Marekani

    Nov 09, 2018 23:09

    Mawaziri Wakuu wa China na Russia wamesisitiza juu ya azma ya nchi mbili ya kukabiliana na siasa za upande mmoja za Marekani katika ngazi za kimataifa.

  • Mawaziri Wakuu wa China na Russia waazimia kukabiliana na siasa za upande mmoja za Marekani

    Mawaziri Wakuu wa China na Russia waazimia kukabiliana na siasa za upande mmoja za Marekani

    Nov 09, 2018 10:54

    Mawaziri Wakuu wa China na Russia wameazimia kukabiliana na siasa za upande mmoja za Marekani duniani.

  • Lavrov atahadharisha kuhusu hatari ya ugaidi duniani

    Lavrov atahadharisha kuhusu hatari ya ugaidi duniani

    Nov 08, 2018 04:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema ugaidi ungali upo kote ulimwenguni na ni jambo la hatari kwa nchi zote licha ya mafanikio yaliyopatikana katika mapambano dhidi ya janga hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS