Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Marekani, adui wa amani na usalama wa dunia

    Marekani, adui wa amani na usalama wa dunia

    Oct 25, 2018 23:04

    Uamuzi uliochukuliwa na Rais Donald Trump wa Marekani wa kujiondoa katika mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati (INF) ambao umechukuliwa katika fremu ya sera za Trump za kujiondoa katika mikataba ya kimataifa, umekabiliwa na upinzani mkubwa wa viongozi wa nchi na jumuiya mbalimbali za kimataifa.

  • Balozi wa Iran Russia: Nchi nyingi zinajitenga na utegemezi wa kiuchumi wa Marekani

    Balozi wa Iran Russia: Nchi nyingi zinajitenga na utegemezi wa kiuchumi wa Marekani

    Oct 23, 2018 23:22

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Russia amesema kuwa, nchi nyingi za dunia kwa kutegemea uchumi wao wa kitaifa, zinafanya juhudi za kuacha kutegemea uchumi wa Marekani.

  • Malengo halisi ya Marekani ya kujiondoa kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati

    Malengo halisi ya Marekani ya kujiondoa kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati

    Oct 23, 2018 09:46

    Tangazo la Marekani la kujiondoa kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati lililotolewa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo limekabiliwa na radiamali nyingi hasi katika uga wa kimataifa.

  • Russia yakanusha madai ya Marekani kuhusu mkataba wa makombora ya nyuklia

    Russia yakanusha madai ya Marekani kuhusu mkataba wa makombora ya nyuklia

    Oct 22, 2018 23:30

    Msemaji wa Rais wa Russia amesema kuwa madai yanayotolewa na Marekani dhidi ya Russia kwamba imekiuka mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati ni urongo na hayana msingi wowote.

  • Lavrov ataka kuharakishwa uchunguzi kuhusu mauaji ya Khashoggi

    Lavrov ataka kuharakishwa uchunguzi kuhusu mauaji ya Khashoggi

    Oct 21, 2018 11:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesisitiza ulazima wa kuharakishwa uchunguzi kuhusu mauaji ya mwandishi habari mkosoaji wa utawala wa Saudi Arabia.

  • Marekani na nia yake ya kujiondoa kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati

    Marekani na nia yake ya kujiondoa kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati

    Oct 21, 2018 04:47

    Miongoni mwa nyanja muhimu za mivutano ya mara kwa mara baina ya Russia na Marekani hususan katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo ni masuala ya kijeshi na silaha. Hivi sasa na baada ya Marekani kujiondoa katika mikataba kadhaa ya kimataifa kumeongezeka wasiwasi kwamba, yumkini nchi hiyo ikajiondoa pia katika baadhi ya mikataba wa silaha.

  • Iran, Uturuki, Russia na India zaitisha kikao Ankara kuipiga teke sarafu ya dola ya Marekani

    Iran, Uturuki, Russia na India zaitisha kikao Ankara kuipiga teke sarafu ya dola ya Marekani

    Oct 19, 2018 21:39

    Kikao cha "Changamoto na Fursa za Biashara kwa Fedha za Taifa" kilifanyika jana Ijumaa mjini Ankara Uturuki na kushirikisha maafisa na wataalamu kutoka nchi za Iran, Uturuki, Russia na India.

  • Rais Putin: Russia itatoa jibu kali kwa shambulio lolote la nyuklia dhidi yake

    Rais Putin: Russia itatoa jibu kali kwa shambulio lolote la nyuklia dhidi yake

    Oct 19, 2018 01:09

    Rais Vladimir Putin wa Rusia ameyaonya madola ya Magharibi akiyaambia kwamba, shambulio lolote lile la nyuklia dhidi ya nchi hiyo litakabiliwa na jibu kali na lisiloepukika.

  • Russia: Mkataba wa marufuku ya majaribio ya silaha za nyuklia duniani utekelezwe

    Russia: Mkataba wa marufuku ya majaribio ya silaha za nyuklia duniani utekelezwe

    Oct 17, 2018 03:18

    Waziri wa Mambo ya nje wa Russia amesisitiza tena ulazima wa kupigwa marufuku majaribio ya silaha za nyuklia kote duniani na kuanza kutekelezwa mkataba wa marufuku ya majaribio ya silaha hizo haraka iwezekanavyo.

  • Russia yataka uchunguzi ufanyike kuhusu muungano wa Marekani kutumia silaha zilizopigwa marufuku nchini Syria

    Russia yataka uchunguzi ufanyike kuhusu muungano wa Marekani kutumia silaha zilizopigwa marufuku nchini Syria

    Oct 14, 2018 04:19

    Baada ya kuzuka machafuko na vita vya ndani nchini Syria Marekani imekuwa ikishirikiana kwa karibu na magaidi wa kitakfiri pamoja na nchi kadhaa za Kiarabu kwa ajili ya kuing'oa madarakani serikali halali ya Rais Bashar al-Asad wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS