-
Russia yafichua njama ya magaidi ya kutumia silaha za kemikali Syria
Oct 13, 2018 12:25Russia imetangaza kuwa, ina habari za kipelelezi kuhusu njama inayopangwa na magaidi kwa ajili ya kutumia silaha za kemikali katika eneo la Idlib huko kaskazini magharibi mwa Syria.
-
Waziri wa Nishati wa Russia ajibu madai ya mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia
Oct 10, 2018 22:58Waziri wa Nishati wa Russia amepinga madai ya mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia kuhusu mafuta.
-
Russia yasisitiza, Iran ina mchango mkubwa katika kupambana na ugaidi
Oct 10, 2018 03:27Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, askari wa Iran wana mchango mkubwa katika mapambano dhidi ya ugaidi nchini Syria.
-
Sisitizo la Russia na India la kutekelezwa kikamilifu mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Oct 07, 2018 23:03India na Russia wakiwa wanachama wa kundi la BRICS ambao wanataka mabadiliko katika muundo wa kimataifa utakao kuwa mbali na udhibiti wa Magharibi hususan Marekani, zimetangaza tena uungaji mkono wao kwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Safari ya Putin nchini India, mapambano ya Moscow na New Delhi dhidi ya vikwazo vya Marekani
Oct 05, 2018 03:07Russia na India zimeimarisha zaidi uhusiano wao katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijeshi na silaha za nyuklia katika kipindi cha baada ya Vita Baridi na wakati huo huo zikiwa wanachama wa kundi la Brics, zinafnya jitihada za kupanua zaidi ushirikiano wa pande mbili.
-
Uungaji mkono imara wa Russia na China kwa JCPOA na hatua za pamoja kwa ajili ya kuyalinda makubaliano hayo
Sep 30, 2018 04:04Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akiyakosoa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ambayo yalitiwa saini Julai 2015 baina ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo Marekani akiyataja kuwa makubaliano mabaya kabisa.
-
Sergey Lavrov: Kuondoka mashirika ya Ulaya nchini Iran ni kosa kubwa
Sep 29, 2018 21:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, sambamba na kuunga mkono ubunifu wa Umoja wa Ulaya kwa ajili ya kuanzisha mfumo wa mabadilishano ya kifedha pamoja na Iran, amesema kuwa kuondoka mashirika ya Ulaya nchini Iran, ni kosa kubwa.
-
Ubeberu wa Marekani haubakishi mtu, sasa ni zamu ya Algeria
Sep 29, 2018 11:14Msemaji wa ubalozi wa Marekani mjini Algiers amesema kuwa, Washington hivi sasa inachunguza uwezekano wa kuiwekea vikwazo Algeria kutokana na kununua silaha kutoka Russia.
-
Vyombo vya habari vya Kizayuni: Jinamizi la mfumo wa makombora wa ulinzi wa anga wa S-300 linainyemelea Israel
Sep 26, 2018 00:36Vyombo vya habari vya Israel vimesema uamuzi wa serikali ya Russia wa kulipatia jeshi la Syria mfumo wa makombora ya ulinzi wa anga wa S-300 ni jinamizi kwa utawala huo wa Kizayuni.
-
Kiongozi wa upinzani nchini Russia atiwa mbaroni kwa mara nyingine
Sep 24, 2018 22:53Kiongozi wa upinzani nchini Russia ametiwa mbaroni kwa mara nyingine baada ya kushikiliwa kwa muda wa mwezi mmoja na kuachiliwa.