-
Marekani yakiri kushindwa suluhisho la kijeshi kwa mgogoro wa Ukraine
Dec 04, 2023 23:08Jenerali Charles Brown Jr, Mkuu wa Kamandi ya Pamoja ya Jeshi la Marekani, huku akibainisha kwamba vita daima humalizika kwa makubaliano ya kidiplomasia, amesisitiza kuwa mzozo wa Ukraine hauwezi kutatuliwa kwa njia za kijeshi.
-
Zelensky akosoa upuuzaji wa nchi za Magharibi kwa Ukraine
Dec 02, 2023 06:54Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amezikosoa nchi za Magharibi chini ya uongozi wa Marekani kwa kuisahau Ukraine na kuipunguzia misaada nchi hiyo katika vita na Russia.
-
Mahakama ya Russia yaupiga marufuku ufuska wa LGBT, yasema 'umefurutu mpaka'
Dec 01, 2023 06:54Mahakama ya Juu ya Russia imelipiga marufuku "vuguvugu la kimataifa la LGBT" na kulitaja kuwa ni kundi lenye "kufurutu mpaka". Uamuzi huo unaathiri pia matawi ya harakati hiyo ya ufuska na mahusiano machafu ya kingono ya watu wa jinsia moja.
-
Russia yailaumu Marekani kwa mgogoro wa Gaza
Nov 30, 2023 00:22Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema Marekani inapasa kubebeshwa dhima ya mgogoro baina ya Palestina na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Mwanadiplomasia wa Russia alaani uvumi wa kufukuzwa nchi hiyo katika Baraza la Usalama.
Nov 25, 2023 03:26Naibu mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amelaani uvumi unaoenezwa kuhusu kufukuzwa nchi hiyo katika Baraza la Usalama.
-
Russia yataka kurejea Marekani na Troika ya Ulaya kwenye makubaliano ya nyuklia na Iran
Nov 24, 2023 03:51Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika taasisi za kimataifa ameeleza kuwa, Moscow inazitaka Marekani na kundi la Troika ya Ulaya zirejee katika Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran.
-
Sputnik: Asilimia 50 ya vikosi vya jeshi la Ukraine ni mamluki wa nchi ajinabi
Nov 18, 2023 23:38Shirika la habari la Sputnik la Russia limeripoti kuwa matokeo kadhaa ya hujuma za redio katika masafa ya jeshi la Ukraine yanaonyesha kuwa asilimia 50 ya vikosi vya jeshi la Ukraine ni mamluki wa kigeni.
-
Kremlin: Russia haiwezi kushindwa katika medani ya vita
Nov 09, 2023 23:22Msemaji wa Ofisi ya Rais wa Russia (Kremlin) amesema ni muhali kwa jeshi la Russia kushindwa katika medani ya vita.
-
Kiongozi wa upinzani: Zelensky atakuwa rais wa mwisho wa Ukraine
Nov 03, 2023 23:33Kiongozi wa zamani wa upinzani wa Ukraine amekosoa vikali mienendo ya Rais wa nchi hiyo, Volodymyr Zelensky na kusema kuwa, yumkini mwanasiasa huyo atakakuwa rais wa mwisho wa Ukraine.
-
EU yapata hasara ya dola trilioni 1.5 kwa vikwazo dhidi ya Russia
Nov 03, 2023 08:56Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya zimepoteza takriban dola trilioni 1.5 kutokana na vikwazo vya Wamagharibi dhidi ya Moscow.