Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Marekani yakiri kushindwa suluhisho la kijeshi kwa mgogoro wa Ukraine

    Marekani yakiri kushindwa suluhisho la kijeshi kwa mgogoro wa Ukraine

    Dec 04, 2023 23:08

    Jenerali Charles Brown Jr, Mkuu wa Kamandi ya Pamoja ya Jeshi la Marekani, huku akibainisha kwamba vita daima humalizika kwa makubaliano ya kidiplomasia, amesisitiza kuwa mzozo wa Ukraine hauwezi kutatuliwa kwa njia za kijeshi.

  • Zelensky akosoa upuuzaji wa nchi za Magharibi kwa Ukraine

    Zelensky akosoa upuuzaji wa nchi za Magharibi kwa Ukraine

    Dec 02, 2023 06:54

    Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amezikosoa nchi za Magharibi chini ya uongozi wa Marekani kwa kuisahau Ukraine na kuipunguzia misaada nchi hiyo katika vita na Russia.

  • Mahakama ya Russia yaupiga marufuku ufuska wa LGBT, yasema 'umefurutu mpaka'

    Mahakama ya Russia yaupiga marufuku ufuska wa LGBT, yasema 'umefurutu mpaka'

    Dec 01, 2023 06:54

    Mahakama ya Juu ya Russia imelipiga marufuku "vuguvugu la kimataifa la LGBT" na kulitaja kuwa ni kundi lenye "kufurutu mpaka". Uamuzi huo unaathiri pia matawi ya harakati hiyo ya ufuska na mahusiano machafu ya kingono ya watu wa jinsia moja.

  • Russia yailaumu Marekani kwa mgogoro wa Gaza

    Russia yailaumu Marekani kwa mgogoro wa Gaza

    Nov 30, 2023 00:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema Marekani inapasa kubebeshwa dhima ya mgogoro baina ya Palestina na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Mwanadiplomasia wa Russia alaani uvumi wa kufukuzwa nchi hiyo katika Baraza la Usalama.

    Mwanadiplomasia wa Russia alaani uvumi wa kufukuzwa nchi hiyo katika Baraza la Usalama.

    Nov 25, 2023 03:26

    Naibu mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amelaani uvumi unaoenezwa kuhusu kufukuzwa nchi hiyo katika Baraza la Usalama.

  • Russia yataka kurejea Marekani na Troika ya Ulaya kwenye makubaliano ya nyuklia na Iran

    Russia yataka kurejea Marekani na Troika ya Ulaya kwenye makubaliano ya nyuklia na Iran

    Nov 24, 2023 03:51

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika taasisi za kimataifa ameeleza kuwa, Moscow inazitaka Marekani na kundi la Troika ya Ulaya zirejee katika Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran.

  • Sputnik: Asilimia 50 ya vikosi vya jeshi la Ukraine ni mamluki wa nchi ajinabi

    Sputnik: Asilimia 50 ya vikosi vya jeshi la Ukraine ni mamluki wa nchi ajinabi

    Nov 18, 2023 23:38

    Shirika la habari la Sputnik la Russia limeripoti kuwa matokeo kadhaa ya hujuma za redio katika masafa ya jeshi la Ukraine yanaonyesha kuwa asilimia 50 ya vikosi vya jeshi la Ukraine ni mamluki wa kigeni.

  • Kremlin: Russia haiwezi kushindwa katika medani ya vita

    Kremlin: Russia haiwezi kushindwa katika medani ya vita

    Nov 09, 2023 23:22

    Msemaji wa Ofisi ya Rais wa Russia (Kremlin) amesema ni muhali kwa jeshi la Russia kushindwa katika medani ya vita.

  • Kiongozi wa upinzani: Zelensky atakuwa rais wa mwisho wa Ukraine

    Kiongozi wa upinzani: Zelensky atakuwa rais wa mwisho wa Ukraine

    Nov 03, 2023 23:33

    Kiongozi wa zamani wa upinzani wa Ukraine amekosoa vikali mienendo ya Rais wa nchi hiyo, Volodymyr Zelensky na kusema kuwa, yumkini mwanasiasa huyo atakakuwa rais wa mwisho wa Ukraine.

  • EU yapata hasara ya dola trilioni 1.5 kwa vikwazo dhidi ya Russia

    EU yapata hasara ya dola trilioni 1.5 kwa vikwazo dhidi ya Russia

    Nov 03, 2023 08:56

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya zimepoteza takriban dola trilioni 1.5 kutokana na vikwazo vya Wamagharibi dhidi ya Moscow.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS