Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Kundi la Brics linataka kuweko mfumo wa mabadilishano ya fedha usiotegemea Magharibi

    Kundi la Brics linataka kuweko mfumo wa mabadilishano ya fedha usiotegemea Magharibi

    Aug 26, 2023 02:21

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, kundi la kiuchumi la BRICS linapigania kuweko mfumo mpya wa mabadilishano ya fedha ambao hautategemea madola ya Magharibi.

  • Mkuu wa Wagner aaga dunia katika ajali ya ndege nchini Russia

    Mkuu wa Wagner aaga dunia katika ajali ya ndege nchini Russia

    Aug 24, 2023 07:17

    Kiongozi wa kundi la wanamgambo wa Wagner, Yevgeny Prigozhin ameripotiwa kuaga dunia katika ajali ya ndege huko kaskazini magharibi ya Russia.

  • Russia: Kundi la BRICS linapaswa kuwa nguzo ya mfumo mpya wa utawala duniani

    Russia: Kundi la BRICS linapaswa kuwa nguzo ya mfumo mpya wa utawala duniani

    Aug 22, 2023 02:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametilia mkazo wajibu wa kulifanya kundi la BRICS kuwa nguzo madhubuti ya mfumo mpya wa utawala duniani.

  • Raisi na Putin wasisitiza kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili na kimataifa

    Raisi na Putin wasisitiza kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili na kimataifa

    Aug 18, 2023 04:37

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamefanya mazungumzo ya simu na kubadilishana mawazo kuhusu masuala ya kieneo na kimataifa.

  • Putin na Kim watilia mkazo kuwepo uhusiano wa karibu zaidi kati ya Russia na Korea Kaskazini

    Putin na Kim watilia mkazo kuwepo uhusiano wa karibu zaidi kati ya Russia na Korea Kaskazini

    Aug 16, 2023 02:48

    Rais Vladimir Putin wa Russia na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un wameahidi kujenga ushirikiano wa karibu zaidi kati ya nchi zao mbili katika mawasiliano waliyofanya kwa barua kwa manasaba wa maadhimisho ya Siku ya Taifa ya Ukombozi wa Korea Kaskazini.

  • Kukataa Misri ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine

    Kukataa Misri ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine

    Aug 13, 2023 10:31

    Misri imekataa ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine ikiwa ni katika sehemu ya mkakati wa Cairo ya kutopendelea upande wowote kwenye vita vya Ukraine na Russia.

  • Russia yatungua droni 11 za Ukraine karibu na eneo la Crimea

    Russia yatungua droni 11 za Ukraine karibu na eneo la Crimea

    Aug 11, 2023 02:18

    Russia imesema imefanikiwa kutungua ndege 11 zisizo na rubani za Ukraine karibu na eneo la Crimea, na nyingine mbili zilizokuwa zinaelekea Moscow.

  • Uamuzi wa Russia na Qatar wa kutumia sarafu zao za taifa katika miamala ya kibiashara

    Uamuzi wa Russia na Qatar wa kutumia sarafu zao za taifa katika miamala ya kibiashara

    Aug 11, 2023 02:17

    Katika muendelezo wa sera ya kufuta sarafu ya dola katika miamala ya kibiashara kati ya nchi mbalimbali, Qatar pia imeondoa matumizi ya dola katika mabadilishano yake ya kibiashara na Russia, ambapo biashara baina ya nchi hizo mbili, sasa itafanyika kwa kutumia sarafu za taifa.

  • Russia: Marekani ndiyo ya kulaumiwa kwa kutotekelezwa JCPOA

    Russia: Marekani ndiyo ya kulaumiwa kwa kutotekelezwa JCPOA

    Aug 09, 2023 11:26

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema mustakabali wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA upo mikononi mwa Marekani na nchi za Ulaya, huku akitilia shaka azma ya Wamagharibi ya kuyahuisha mapatano hayo kikamilifu.

  • Moscow yasisitiza kuwa itatimiza malengo yake ya kijeshi huko Ukraine

    Moscow yasisitiza kuwa itatimiza malengo yake ya kijeshi huko Ukraine

    Aug 09, 2023 03:13

    Dmitry Medvedev, Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia, amesema kuwa nchi yake ina vikosi vya jeshi vya kutosha kutekeleza majukumu yote ya operesheni maalumu ya kijeshi nchini Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS