- 
          Kundi la Brics linataka kuweko mfumo wa mabadilishano ya fedha usiotegemea MagharibiAug 26, 2023 02:21Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, kundi la kiuchumi la BRICS linapigania kuweko mfumo mpya wa mabadilishano ya fedha ambao hautategemea madola ya Magharibi. 
- 
          Mkuu wa Wagner aaga dunia katika ajali ya ndege nchini RussiaAug 24, 2023 07:17Kiongozi wa kundi la wanamgambo wa Wagner, Yevgeny Prigozhin ameripotiwa kuaga dunia katika ajali ya ndege huko kaskazini magharibi ya Russia. 
- 
          Russia: Kundi la BRICS linapaswa kuwa nguzo ya mfumo mpya wa utawala dunianiAug 22, 2023 02:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametilia mkazo wajibu wa kulifanya kundi la BRICS kuwa nguzo madhubuti ya mfumo mpya wa utawala duniani. 
- 
          Raisi na Putin wasisitiza kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili na kimataifaAug 18, 2023 04:37Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamefanya mazungumzo ya simu na kubadilishana mawazo kuhusu masuala ya kieneo na kimataifa. 
- 
          Putin na Kim watilia mkazo kuwepo uhusiano wa karibu zaidi kati ya Russia na Korea KaskaziniAug 16, 2023 02:48Rais Vladimir Putin wa Russia na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un wameahidi kujenga ushirikiano wa karibu zaidi kati ya nchi zao mbili katika mawasiliano waliyofanya kwa barua kwa manasaba wa maadhimisho ya Siku ya Taifa ya Ukombozi wa Korea Kaskazini. 
- 
          Kukataa Misri ombi la Marekani la kuipa silaha UkraineAug 13, 2023 10:31Misri imekataa ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine ikiwa ni katika sehemu ya mkakati wa Cairo ya kutopendelea upande wowote kwenye vita vya Ukraine na Russia. 
- 
          Russia yatungua droni 11 za Ukraine karibu na eneo la CrimeaAug 11, 2023 02:18Russia imesema imefanikiwa kutungua ndege 11 zisizo na rubani za Ukraine karibu na eneo la Crimea, na nyingine mbili zilizokuwa zinaelekea Moscow. 
- 
          Uamuzi wa Russia na Qatar wa kutumia sarafu zao za taifa katika miamala ya kibiasharaAug 11, 2023 02:17Katika muendelezo wa sera ya kufuta sarafu ya dola katika miamala ya kibiashara kati ya nchi mbalimbali, Qatar pia imeondoa matumizi ya dola katika mabadilishano yake ya kibiashara na Russia, ambapo biashara baina ya nchi hizo mbili, sasa itafanyika kwa kutumia sarafu za taifa. 
- 
          Russia: Marekani ndiyo ya kulaumiwa kwa kutotekelezwa JCPOAAug 09, 2023 11:26Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema mustakabali wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA upo mikononi mwa Marekani na nchi za Ulaya, huku akitilia shaka azma ya Wamagharibi ya kuyahuisha mapatano hayo kikamilifu. 
- 
          Moscow yasisitiza kuwa itatimiza malengo yake ya kijeshi huko UkraineAug 09, 2023 03:13Dmitry Medvedev, Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia, amesema kuwa nchi yake ina vikosi vya jeshi vya kutosha kutekeleza majukumu yote ya operesheni maalumu ya kijeshi nchini Ukraine.