Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yatahadharisha kuhusu uingiliaji kijeshi huko Niger

    Russia yatahadharisha kuhusu uingiliaji kijeshi huko Niger

    Aug 06, 2023 10:36

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetahadharisha kuhusu hatua yoyote ya kuingia kijeshi nchini Niger.

  • Saudia yaitisha mkutano wa nchi 40 kujadili vita vya Ukraine bila kuialika Russia

    Saudia yaitisha mkutano wa nchi 40 kujadili vita vya Ukraine bila kuialika Russia

    Aug 06, 2023 02:30

    Saudi Arabia imeitisha mkutano mjini Jeddah, ambao umehudhuriwa na maafisa waandamizi kutoka nchi zipatazo 40, pasi na kuishirikisha Russia, lengo likiwa ni kupendekeza kanuni kuu za kuhitimisha vita kati ya nchi hiyo na Ukraine.

  • Sisitizo la Rais wa Brazil la kupigwa teke sarafu ya dola katika biashara za kimataifa

    Sisitizo la Rais wa Brazil la kupigwa teke sarafu ya dola katika biashara za kimataifa

    Aug 05, 2023 03:56

    Rais Luiz Inácio Lula da Silva wa Brazil ametaka kupigwa teke na kuwekwa pembeni matumizi ya sarafu ya dola katika biashara za kimataifa na kutafutwa sarafu nyingine za kuziba nafasi ya sarafu hiyo ya Marekani.

  • Wawakilishi wa nchi 12 wakutana Moscow kulaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani barani Ulaya

    Wawakilishi wa nchi 12 wakutana Moscow kulaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani barani Ulaya

    Aug 04, 2023 12:10

    Mabalozi na wanadiplomasia wa nchi 12 za Kiislamu na zisizo za Kiislamu wamekutana katika kikao kilichoandaliwa na ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Russia na kulaani vitendo vinavyofanyika katika baadhi ya nchi za Magharibi vya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu.

  • Moscow yawaonya magaidi wasijaribu kushambulia wanajeshi wa Russia na Syria

    Moscow yawaonya magaidi wasijaribu kushambulia wanajeshi wa Russia na Syria

    Aug 04, 2023 02:34

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema kuwa, Moscow ina taarifa kwamba magenge ya kigaidi yanapanga njama za kutumia magaidi wa kujiripua kwa mabomu dhidi ya wanajeshi wa Russia na Syria na kwamba inatoa onyo mapema kuhusu njama hizo.

  • Zakharova: Shambulizi la Ukraine dhidi ya Moscow linafanana na la 9/11

    Zakharova: Shambulizi la Ukraine dhidi ya Moscow linafanana na la 9/11

    Aug 02, 2023 02:19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ameashiria shambulio la karibuni la ndege zisizo na rubani za Kiev kwenye eneo la biashara mjini Moscow na kusema kuwa, hujuma hiyo inashabihiana na mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 mjini New York, Marekani.

  • Makamanda wa majeshi ya majini ya Afrika Kusini na Venezuela wasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran

    Makamanda wa majeshi ya majini ya Afrika Kusini na Venezuela wasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran

    Jul 31, 2023 11:06

    Makamanda wa vikosi vya wanamaji vya majeshi ya Afrika Kusini na Venezuela wamesisitiza udharura wa kuimarishwa uhusiano wa kiulinzi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao chao na Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu.

  • Msisitizo wa Russia katika kupanua uhusiano wa kina na nchi za Afrika

    Msisitizo wa Russia katika kupanua uhusiano wa kina na nchi za Afrika

    Jul 30, 2023 02:30

    Vladimir Putin, Rais wa Rusia, amesisitiza udharura wa kupanuliwa uhusiano wa kina na nchi za Kiafrika akisema: Russia itatuma nafaka za bure kwa nchi 6 za Afrika katika miezi michache ijayo.

  • Putin: Russia itazipatia nafaka nchi sita za Kiafrika ndani ya muda wa miezi michache ijayo

    Putin: Russia itazipatia nafaka nchi sita za Kiafrika ndani ya muda wa miezi michache ijayo

    Jul 28, 2023 07:49

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema nchi yake inaweza kuchukua nafasi ya Ukraine ya usambazaji wa nafaka kwa bara la Afrika na kutangaza kuwa Moscow itatuma nafaka bila malipo kwa nchi sita za Kiafrika katika kipindi cha miezi michache ijayo.

  • Russia: Dunia haiwezi tena kuvumilia sera za kutii amri za Marekani

    Russia: Dunia haiwezi tena kuvumilia sera za kutii amri za Marekani

    Jul 25, 2023 07:08

    Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema dunia ya sasa haivumilii tena sera za kufuata amri za Marekani na inaelekea kwenye mfumo wa kambi kadhaa, mchakato ambao haukubaliwi na nchi za Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS