Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia: Shambulio la droni la Ukraine ni ugaidi wa kimataifa

    Russia: Shambulio la droni la Ukraine ni ugaidi wa kimataifa

    Jul 24, 2023 11:21

    Russia imelitaja shambulio la ndege zisizo na rubani (droni) za Ukraine dhidi ya Moscow kuwa ugaidi wa kimataifa.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia: Marekani inahusika katika uhalifu wa mauaji ya mwandishi habari Mrussia

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia: Marekani inahusika katika uhalifu wa mauaji ya mwandishi habari Mrussia

    Jul 24, 2023 11:04

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema Marekani inahusika katika uhalifu mpya wa Ukraine wa mauaji ya mwandishi wa habari wa Russia kwa kutuma mabomu ya vishada nchini Ukraine kwa kisingizio cha vita nchini humo.

  • Russia yatoa masharti saba ya kurudi tena kwenye mkataba wa usafirishaji nafaka

    Russia yatoa masharti saba ya kurudi tena kwenye mkataba wa usafirishaji nafaka

    Jul 23, 2023 02:17

    Russia imetangaza kuwa iko tayari kurejea kwenye na mkataba wa nafaka uliosimamiwa na Umoja wa Mataifa na Uturuki, lakini kwa sharti tu kwamba mataifa ya Magharibi na Ukraine yatimize wajibu wao wa muda mrefu kuhusiana na Moscow ambao yameshindwa kuutekeleza hadi sasa.

  • Marekani yaona fahari kutumiwa silaha zake haramu za vishada Ukraine

    Marekani yaona fahari kutumiwa silaha zake haramu za vishada Ukraine

    Jul 21, 2023 07:49

    Marekani imepongeza na kusifu uamuzi wake wa kutuma mabomu yaliyopigwa marufuku kimataifa ya vishada nchini Ukraine.

  • Russia yaruhusu kuanzishwa benki za Kiislamu katika baadhi ya maeneo

    Russia yaruhusu kuanzishwa benki za Kiislamu katika baadhi ya maeneo

    Jul 20, 2023 07:20

    Bunge la Russia (Duma) limeidhinisha muswada wa sheria inayoruhusu kuanzishwa kwa mfumo wa benki za Kiislamu katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.

  • Safari ya John Kerry mjini Beijing: Jitihada za kuzuia ukaribu wa China na Russia

    Safari ya John Kerry mjini Beijing: Jitihada za kuzuia ukaribu wa China na Russia

    Jul 18, 2023 05:19

    John Kerry, mwanadiplomasia mkongwe na mwakilishi maalum wa Marekani katika masuala ya tabianchi aliwasili China Jumapili.

  • Ukosoaji mkali wa Putin kwa hatua ya Ulaya ya kuifuata kibubusa Marekani

    Ukosoaji mkali wa Putin kwa hatua ya Ulaya ya kuifuata kibubusa Marekani

    Jul 18, 2023 02:27

    Rais Vladimir Putin wa Russia amekosoa vikali kutokuwa huru nchi za Ulaya na kuwa tayari nchi hizo kutekeleza kibubusa amri na maagizo ya Marekani.

  • Russia yasitisha ushiriki wake kwenye makubaliano ya nafaka ya Bahari Nyekundu

    Russia yasitisha ushiriki wake kwenye makubaliano ya nafaka ya Bahari Nyekundu

    Jul 17, 2023 12:09

    Ikulu ya Kremlin imetangaza kuwa Russia imesitisha ushiriki wake katika makubaliano ya kuruhusu meli ya Ukraine iliyobeba nafaka kuvuka Bahari Nyeusi kuelekea maeneo ya dunia yanayokabiliwa na njaa kwa ajili ya kufikisha bidhaa hiyo, hatua ambayo ni pigo kwa usalama wa chakula duniani, kutokana na ongezeko la bei kufuatia uvamizi wa Moscow dhidi ya Kyiv.

  • Russia yawatahadharisha Wamagharibi kuhusu kutuma mabomu ya vishada huko Ukraine

    Russia yawatahadharisha Wamagharibi kuhusu kutuma mabomu ya vishada huko Ukraine

    Jul 17, 2023 04:23

    Rais wa Russia amezitahadharisha nchi za Magharibi kuhusu kutuma mabomu ya vishada huko Ukraine kwa kisingizio cha vita. Rais Vladimir Putin amebainisha haya kufuatia uamuzi wa karibuni wa Marekani kuhusu kutuma silaha hizo zizilizopigwa marufuku kimataifa huko Ukraine.

  • Sisitizo la Russia la kuheshimu umoja wa ardhi yote ya Iran

    Sisitizo la Russia la kuheshimu umoja wa ardhi yote ya Iran

    Jul 16, 2023 08:04

    Mikhail Bogdanov, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia na mwakilishi maalumu wa rais wa nchi hiyo katika masuala ya Asia Magharibi na Afrika, amesisitiza juu ya kuheshimiwa mamlaka na umoja wa ardhi yote ya Iran kama nchi rafiki. Bogdanov ameyasema hayo katika mkutano na Kazem Jalali, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Moscow.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS