-
Marekani na NATO zafanya mazoezi ya kijeshi karibu na mipaka ya Russia
May 16, 2022 22:34Mazoezi ya kijeshi ya pamoja baina ya Marekani na Jeshi la Nchi za Magharibi NATO yanaendelea hivi sasa katika ardhi ya Estonia, karibu na kambi za kijeshi za Russia.
-
Russia: Tumeteketeza vituo 104 vya kiijeshi vya Ukraine hadi hivi sasa
May 16, 2022 06:16Wizara ya Ulinzi wa Russia imetangaza kuwa, hadi hivi sasa operesheni maalumu ya kijeshi ya nchi hiyo huko Ukraine iimeshateketeza vituo 104 vya kijeshi vya Ukraine.
-
Iran na Russia zaanzisha kituo cha pamoja cha teknolojia
May 14, 2022 06:42Jamhuri ya Kiislamu ya Ira na Russia zimeanzisha kituo cha pamoja cha teknolojia kwa ajili ya kuendesha miraji ya pamoja ya ustawi na maendeleo katika uga huo.
-
Jamhuri ya Czech yachukua nafasi ya Russia katika Baraza la Haki za Binadamu la UN
May 11, 2022 03:14Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limeipa Jamhuri ya Czech nafasi ya Russia baada ya kufuta uanachama wa Moscow kwenye baraza hilo.
-
Moscow yasisitiza: Marekani inashiriki moja kwa moja katika vita vya Ukraine
May 08, 2022 21:57Vyacheslav Volodin, mkuu wa Duma ya Russia, ameandika kwenye mtandao wa Telegram kwamba Merekani inashiriki moja kwa moja katika operesheni za kijeshi za Ukraine.
-
Kuongezeka upinzani barani Ulaya dhidi ya kuwekewa vikwazo vya mafuta Russia
May 05, 2022 22:07Licha ya vitisho vya Umoja wa Ulaya kuhusiana na kuiwekea vikwazo vya mafuta Russia katika fremu ya kifurushi cha sita cha vikwazo dhidi ya nchi hiyo, lakini jambo hilo linaonekana kukabiliwa na upinzani mkali barani humo na hata baadhi ya viongozi wa Marekani kutoa onyo dhidi ya hatua hiyo.
-
Russia yawafukuza wanadiplomasia 7 wa Denmark kulipiza kisasi
May 05, 2022 22:03Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetoa taarifa na kutangaza kuwa, nchi hiyo inawatambua wanadiplomasia saba wa ubalozi wa Denmark huko Moscow kuwa watu wasiofaa na imechukua uamuzi wa kuwafukuza nchini humo.
-
Russia: Mamluki wa Kizayuni wanapigana bega kwa bega na Waukraine
May 04, 2022 21:53Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, mamluki wa Israel wanapigana bega kwa bega na vikosi vya jeshi la Ukraine
-
Putin atia saini amri ya kuiwekea vikwazo vya ulipizaji kisasi kambi ya Magharibi
May 04, 2022 21:45Ikulu ya Kremlin imetangaza Jumanne kuwa, Rais Vladimir Putin wa Russia ametia saini amri ya kukabiliana na 'hatua zisizo za kirafiki za baadhi ya nchi za kigeni na mashirika ya kimataifa." Dikrii hiyo inasisitiza hatua za kulipiza kisasi dhidi ya nchi ambazo zimetajwa kuwa 'zisizo za kirafiki'. Kwa mujibu wa amri hiyo Russia itaziwekea vikwazo baadhi ya nchi na taasisi za kimataifa.
-
Mivutano inayoongezeka katika uhusiano kati ya Russia na utawala wa Kizayuni wa Israel
May 03, 2022 22:03Uhusiano kati ya Russia na utawala wa Kizayuni wa Israel umeingia katika kipindi kipya na cha wasiwasi na mivutano baada ya kuanza mashambulizi ya Russia dhidi ya Ukraine kutokana na misimamo ya Tel Aviv ya kuwa pamoja na nchi za Magharibi na kuchukua misimamo dhidi ya Russia.