Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia na Sudan kusaini mkataba wa kijeshi hivi karibuni

    Russia na Sudan kusaini mkataba wa kijeshi hivi karibuni

    Sep 14, 2021 02:26

    Balozi mdogo wa Sudan nchini Russia ameashiria baadhi ya marekebisho katika makubaliano ya kijeshi kati ya nchi yake na Russia na kukadhibisha madai kwamba Khartoum itapokea msaada wa kiuchumi kutoka Moscow na akasema: makubaliano ya kijeshi ya Sudan na Russia yatasaniwa muda si mrefu ujao.

  • Russia yaionya Israel isiendelee kufanya mashambulio nchini Syria

    Russia yaionya Israel isiendelee kufanya mashambulio nchini Syria

    Sep 09, 2021 03:02

    Mwandishi wa televisheni ya al Mayadeen mjini Moscow amefichua kuwa viongozi wa Russia wamekusudia kutoa onyo kwa waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni ili Israel isifanye tena mashambulizi nchini Syria.

  • Russia: Jeshi la Syria limetungua makombora 21 kati ya 24 ya Israeli

    Russia: Jeshi la Syria limetungua makombora 21 kati ya 24 ya Israeli

    Sep 04, 2021 22:10

    Jeshi la Russia linasema makombora ya ulinzi wa anga ya Jeshi la Syria yametungua aghalabu ya makombora ya Israeli yaliyokuwa yamevurumishwa kuelekea kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Damascus hivi karibuni.

  • Putin alaani vikwazo vya Wamagharibi katika kivuli cha janga la Corona Iran

    Putin alaani vikwazo vya Wamagharibi katika kivuli cha janga la Corona Iran

    Sep 03, 2021 21:55

    Rais wa Russia amesema Iran inahitaji usaidizi katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa COVID-19, lakini nchi za Magharibi zimekataa katakata kuiondolea vikwazo na vizuizi Jamhuri ya Kiislamu.

  • Lavrov: Kuondoka Marekani huko Afghanistan ni mwisho wa kipindi cha kulazimisha demokrasia kwa mtutu wa bunduki

    Lavrov: Kuondoka Marekani huko Afghanistan ni mwisho wa kipindi cha kulazimisha demokrasia kwa mtutu wa bunduki

    Sep 02, 2021 22:35

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Afghanistan kuna maana ya mwisho wa kulazimisha demokrasia kwa kutumia nguvu za kijeshi.

  • Lavrov: Russia inapinga kuwepo wanajeshi wa Marekani katikati mwa Asia

    Lavrov: Russia inapinga kuwepo wanajeshi wa Marekani katikati mwa Asia

    Aug 25, 2021 03:23

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa, nchi hiyo inapinga suala la kupelekwa wanajeshi wa Marekani katika eneo la katikati mwa Asia.

  • Lavrov: Mchakato wa kupunguza mvutano kati ya Russia na Marekani ni mgumu mno

    Lavrov: Mchakato wa kupunguza mvutano kati ya Russia na Marekani ni mgumu mno

    Aug 24, 2021 08:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, nchi yake inaamini kuwa mchakato wa kupunguza mvutano na Marekani ni mgumu mno.

  • Russia: Mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA yataanza tena karibuni mjini Vienna

    Russia: Mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA yataanza tena karibuni mjini Vienna

    Aug 21, 2021 08:16

    Mwakilishi wa Russia katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao Vienna amejibu madai yaliyotolewa na afisa mmoja wa Marekani kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusema, mazungumzo kuhusu makubaliano hayo yataanza tena hivi karibuni katiika mji mkuu huo wa Austria.

  • Kupinga Putin ombi la Biden la kuasisi kituo cha kijeshi karibu na Afghanistan

    Kupinga Putin ombi la Biden la kuasisi kituo cha kijeshi karibu na Afghanistan

    Aug 21, 2021 05:42

    Gazeti linalochapishwa nchini Marekani la Wall Street Journal limeandika kuwa, Rais Vladimir Putin wa Russia katka mazungumzo ya tarehe 16 Juni aliyofanya na Rais wa Marekani amepinga ombi la Biden la kutaka Washington kuwa na nafasi yoyote katika nchi za Asia ya Kati.

  • Iran, China na Russia zina maslahi na dukuduku zinazofanana kuhusu masuala ya kimataifa

    Iran, China na Russia zina maslahi na dukuduku zinazofanana kuhusu masuala ya kimataifa

    Aug 19, 2021 04:31

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na wenzake wa Russia na China akisisitiza kuwa suala la kustawishwa na kuimarishwa uhusiano baina ya Tehran na nchi hizo mbili ni miongoni mwa vipaumbele vya serikali mpya ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS